ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Subiri uchaguzi ukifika watafanya siasa, huu ni mda wa serikali kutekeleza ilani yao, sasa mtu analeta mambo ya Katiba hii sio sehemu ya ilani, kichapo kitakuwa karibu yaoSiasa ndio Uchumi bwashee!
Mwamba yupo committed sana ,nilivyoona walivyoporosha Billcanas ,wakavunja Shamba lake la maua/mboga mboga ,wakambambikizia kwamba ajalipa kodi,wakamnyima mshahara ,wakamfunga still mwamba hajaunga mkono juhudi.Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amesema chama chake hakiwezi kupokea Ruzuku inayotokana na kura za wizi.
Mbowe amesema Chadema ni chama cha watu waadilifu waliojazwa roho za uzalendo hivyo hawawezi kuwasaliti wananchi.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Kwani huko siasani kinatafutwa nini zaidi ya fedha na vyeo?Mwamba yupo committed sana ,nilivyoona walivyoporosha Billcanas ,wakavunja Shamba lake la maua/mboga mboga ,wakambambikizia kwamba ajalipa kodi,wakamnyima mshahara ,wakamfunga still mwamba hajaunga mkono juhudi.
Heche,Sugu,Msigwa ni baadhi ya wabunge walioshawishiwa waunge mkono juhudi wengine walipewa blank cheque wajaze mpunga wao wenyewe wanaotaka lakini hawajaunga!! Ukiunga mkono juhudi maana yake umejimaliza kisiasa eg Covid19,Silinde,likualibutu,nasari and the like washajimaliza kisiasa!! Ngoja wamtumikie kafiri kisha warudi mtaani kuungana na lipumba,mrema ,cheyo etc
Vyeo kwa kuuza UTU? (Samahani lakini)kwahiyo akitokea mshefa akasema akupelekee moto kwa MPALANGE akupe CHEO utakubali? Kuuza Utu kwa vipande 30 vya FEDHA ni sawa?Kwani huko siasani kinatafutwa nini zaidi ya fedha na vyeo?
Sasa mbona hapo Ufipa mnauzana kwa CCM?!Vyeo kwa kuuza UTU? (Samahani lakini)kwahiyo akitokea mshefa akasema akupelekee moto kwa MPALANGE akupe CHEO utakubali? Kuuza Utu kwa vipande 30 vya FEDHA ni sawa?
Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amesema chama chake hakiwezi kupokea Ruzuku inayotokana na kura za wizi.
Mbowe amesema Chadema ni chama cha watu waadilifu waliojazwa roho za uzalendo hivyo hawawezi kuwasaliti wananchi.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Sasa mbona hapo Ufipa mnauzana kwa CCM?!
Labda TAL aliiba kura!Mie nina swali la udadisi wa kimahesabu tu, kama ifuatavyo:
1. Chukulia kwamba, kama CDM walipata kura P walistahili ruzuku Q;
2. Kama waliibiwa kura R basi waliibiwa ruzuku S;
3. Baada ya wizi walibakiza kura T zinazoendana na ruzuku U;
4. Kwa hiyo, ruzuku U inatokana na kura za wizi au inatokana na kura halali? Jawabu ni HALALI.
5. Hivyo, ruzuku U ni haramu au halali? Jawabu ni HALALI.
Kwa hiyo, ruzuku hiyo anayoiongelea Mbowe ina tatizo gani hasa?
CCM wakifika bei hapo Ufipa hatabaki Freeman wala Sugu wote watavaa kijani!Kwenye msafara wa Mamba kenge hawakosekani Mkuu , kenge kama likualikali,silinde,kovid19 etc wameondoka wamebaki makonki Heche,Sugu,Msigwa ambao hawajakubali kununulika kwa vipande 30 vya fedha.
ZA kwenu cccm ziko wapi?kwani ruzuku zilizopita zimeenda wapi ili tuupime uadilifu wa fieldmarshal??
Ponguzo la Bei kwenye pombe ipo siku watu watasema wako USA kumbe wako tzChadema bado wspo ? I thought walifutwa
Nasikia anajiita Rais siku hiziMbowe anaongea sana siku hizi
Brilliant. Inaelekea Mbowe hajui kura halali walizopata CHADEMA na ruzuku halali wanayotakiwa kuchukua ili kubaki na utimilifu (integrity) wao.Mie nina swali la udadisi wa kimahesabu tu, kama ifuatavyo:
1. Chukulia kwamba, kama CDM walipata kura P, na hivyo wakastahili ruzuku Q;
2. Chukulia kwamba, waliibiwa kura R, na hivyo kuibiwa ruzuku S;
3. Chukulia kwamba, baada ya wizi huo walibakiza kura T zinazoendana na ruzuku U;
4. Kwa hiyo, ruzuku U inakuwa imetokana na kura halali.
5. Hivyo, ruzuku U ni halali.
SWALI: Kwa hiyo, ruzuku hiyo anayoikataa Mbowe ina tatizo gani na kwa sababu gani?
maofisi ya chama yanajengwa,maviete na wabunge wananunuliwa.ZA kwenu cccm ziko wapi?
Maiti ni yule mzee wenu mekoHata hivyo Chadema ni maiti saa hizi
Una mimba yake?ILa mwambie mdude apumzike Kwanza
Amekutapeli nini?Mbowe ni tapeli sana.