Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mchengerwa anafanya uhujumu uchumi kwa makusudiTAMISEMI inashiriki kuvunja amani na mshikamano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchengerwa anafanya uhujumu uchumi kwa makusudiTAMISEMI inashiriki kuvunja amani na mshikamano
Hii "dhamira" unayo izungumzia ni dhamira ya nani, CCM, CHADEMA au ya wananchi wa Tanzania?Kukiwa na dhamira ya dhati kabisa kabisa ya Kudai na Kupigania Katiba Mpya, Nina uhakika kabisa kwamba inaweza ikapatikana hata ndani ya Mwezi mmoja, hiyo inawezekana kabisa
Mfano wako siyo sahihi hata kidogo. ANC walikuwa kwenye mapambano tayari. Makaburu walikuwa walisha lazwa chini, hawakuwa na njia tena ya kuzuia chochote.Nakupa mfano mmoja ulio hai: Nchini Afrika ya Kusini kulikuwa na tatizo la Katiba mbaya kama unavyoona hapa Tanzania. Lakini ilipofika Mwaka 1991 Watu wa ANC walipozidisha zaidi madai yao ya kudai na kupigania Katiba Mpya katika nchi hiyo, utawala dhalimu wa Makaburu ulilazimika kuunda Serikali ya Mseto/Mpito na Kuunda Katiba ya Mpito kwa kuviondoa maraoja Vifungu vyote kabisa vilivyomo kwenye Katiba ya nchi hiyo ambavyo ANC na Watu weusi wa nchi hiyo walikuwa hawavitaki. Sheria zote kabisa kandamizi zilifutwa ndani ya kipindi kifupi kabisa kisichozidi mwezi mmoja, Katiba ya Mpito ilitumika huku Wananchi wote wa nchi hiyo wakiendelea na Utungajji wa Katiba yao ya kudumu ambayo ilipatikana Mwaka 1998
Kama ni kweli:
CHADEMA chini ya mwenyekiti mwingine, CCM watamkumbuka Mbowe.
Lissu ndio anafaa kumrithi Mbowe, ila wasipkuwa makini, uchaguzi wa Mwenyekiti unaweza kukivuruga chama. na ukawa mwanzo wa makundi ndani ya chama.
Ataechaguliwa wakati ukifika, ashinde kwa haki vinginevyo watavurugana.
Pia, CHADEMA wawe makini na mapandikizi kutoka CCM na hela za Mama Abdul kuanzia sasa mpaka siku ya uchaguzi.
Yote uliyoyaorodhesha ni lipi lililovunjwa kisheria?mimi ambae sio msimamizi wa uchguzi nitaje sifa za Chadema, right?🤣
sifa ya kwanza ya Chadema ni kulalamika bila sababu ya msingi.
sifa ya pili, ya tatu, ya nne na ya tano ni mihemko, kuporomosha matusi, kukosea kujaza fomu za uongozi, maandamano haramu, kususa na kugomea matokeo ya uchaguzi n.k🐒
huyu mbona pingamizi lake lilishakua solved gentleman? ni kwamba sio mgombea ni chadema waliokota picha yake kusikojulikana wakatengeneza mihuri eti uonekane kuna upendeleo ndio wananchi wawaonee huruma 🤣Yote uliyoyaorodhesha ni lipi lililovunjwa kisheria?
Huyu amezaliwa 2024 je ana sifa ya kugombea uchaguzi?
Kugomea matokeo utawezaje kukubali wakati unajua hujashindwa na kwanini hamfanyi uchaguzi huru na haki ili ijulikane nguvu yenu?
View attachment 3156358
Hebu tuma angalau kapicha tueni hoja yako yenye mashiko. Hakuna upotoshaji wowote huo ndio uhalisia mlionao huko lumumba. Maana mnajua tu kutaja namba ila hamjui kuzitumia.huyu mbona pingamizi lake lilishakua solved gentleman? ni kwamba sio mgombea ni chadema waliokota picha yake kusikojulikana wakatengeneza mihuri eti uonekane kuna upendeleo ndio wananchi wawaonee huruma 🤣
kwani hakuna fomu nyingine gentleman?
maana hii ya upotoshaji mmezunguka nayo kweli kweli 🤣
kesho kampeni zinaanza rasmi na Nov 27 uchaguzi wenyewe,Hebu tuma angalau kapicha tueni hoja yako yenye mashiko. Hakuna upotoshaji wowote huo ndio uhalisia mlionao huko lumumba. Maana mnajua tu kutaja namba ila hamjui kuzitumia.
Iwe hivyo nchi nzima,Singida 148 wamesharejeshwa
Upotoshaji ni upi? Kwani ninayokueleza ni uongo ?kesho kampeni zinaanza rasmi na Nov 27 uchaguzi wenyewe,
nyie zubaeni na upotoshaji huo tusije kulaumiana huko mbele 🤣
Kiulalo ulalo maana yake ni nini?🐼CCM ni wajinga sn lazima kuwanyoosha hivyo hivyo
Kupambana nao hivyo hivyoKiulalo ulalo maana yake ni nini?🐼
Kwahiyo Kiulalo Ulalo maana yake ni hivyo hivyoKupambana nao hivyo hivyo
Kwani nyie UWT mmefanikiwa?Kwahiyo Kiulalo Ulalo maana yake ni hivyo hivyo
Basi mmeshafeli kabla ya Uchaguzi 😄
Jo usiwe na haraka maana ya ulalo ulao utaifahamu na mtaifahamu ukiwadia muda sahihi.Hivi hii sentence tutakwenda nao kiulalo ulalo maana yake ni nini?
" Kiulalo ulalo"? 🐼
Nimekaa pale
Credit: Hilda Newton X