technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Kimiujiza akitaka pesa anaenda kwa samaki kuchukua .Maseremala aliyekuambia ni maskini nani? Nenda keko uone Wana Hadi maprado.Yusuf alikuwa na pesa ndio maana herode alipotaka kuua Yesu alitimka yeye na familia kwenda kuishi Misri miaka.Lkn sidhani kama alilisha kwa kununua chakula nafikiri alifanya miujiza kama wavuvi kupata samaki wengi n.k. Isitoshe kama Yesu alizaliwa kwenye Utajiri, huo utajiri ukitokea wapi kwani Baba yake Josefu alikuwa ni Seremala na siyo Mfalme, sasa huo Utajiri ulitokea wapi?
Je umaskini na unyonge ni kitu kimoja?Duniani Kote umasikini ni laana Rais wa wanyonge wakati anaiba pesa za walipa kodi" unyonge pia ni laana.
Kimiujiza akitaka pesa anaenda kwa samaki kuchukua .Maseremala aliyekuambia ni maskini nani? Nenda keko uone Wana Hadi maprado
Uongo Yusuf alikuwa na passport alikuwa Mtu international herode alipotaka kuua mtoto Yusuf selemala tajiri aliondoka na familia kuishi nje ya nchi misri akakaa miaka .Angekuwa lofa asingekuwa na Hui uwezoDunia hiyo aliyozaliwa Yesu Useremala haukuwa kazi ya kukupa Utajiri, Matajiri walikuwa ni Wafalme waliomiliki ardhi kubwa na Mahekalu, Josefu hakuwa tajiri!
Yesu hakuwa maskini. Alikuwa tajiri moyoni mwake ndiyo maana alimdharau hata shetani aliyetaka ampe utajiri alimradi tu amsujudie. Kwa nini alikataa? Kwa sababu kile ambacho shetani alitaka kumpa kilikuwa ni kidogo sana ukilinganisha na utajiri aliokuwa nao.Dunia hiyo aliyozaliwa Yesu Useremala haukuwa kazi ya kukupa Utajiri, Matajiri walikuwa ni Wafalme waliomiliki ardhi kubwa na Mahekalu, Josefu hakuwa tajiri!
Uongo Yusuf alikuwa na passport alikuwa Mtu international herode alipotaka kuua mtoto Yusuf selemala tajiri aliondoka na familia kuishi nje ya nchi misri akakaa miaka .Angekuwa lofa asingekuwa na Hui uwezo
UDp hii tena ya kuwajaza watu mapesa. Waafrika tuache siasa za kijinga kusema utakuwa tajiri. Ili utajirike fanyakazi. PERIODKwa Hilo Yuko sahihi Mia kwa mia
Yesu alizaliwa kwenye zizi la Ng’ombe na siyo ndani ya Hekalu, na yule ni ,, Mungu” kulikuwa na sababu, ...
Nchi zaxwenzetu toka zamani kuingia ilikuwa kwa visa .Lazima mtawala wa eneo akukubali.walikuwa hadi na mafuta ya taaa kumbuka mfano wa wanawali kumi pia wakikuwa na mghorofa enzi zacYesu na walivaa nguo sio magome ya miti. Na walikuwa na fedha zao Kama shekeli nkUnaongelea miaka > 2000 iliyopita unalitambua hilo lakini?
Sisi wasukuma tuna amini ng'ombe ni utajiri magari, na makorokoro mengine hayana maana kwetu kama hauna ng'ombe
Sent using Jamii Forums mobile app