Mbowe: CHADEMA tunaamini kwamba umaskini ni laana na kila mwanachadema ni tajiri rohoni mwake

Mbowe: CHADEMA tunaamini kwamba umaskini ni laana na kila mwanachadema ni tajiri rohoni mwake

senzighe,
Masikini wenzio hawa hapa
FB_IMG_1575390806699.jpg

FB_IMG_1575390800494.jpg

FB_IMG_1575390792397.jpg

FB_IMG_1575390812985.jpg
 
Wajinga ndo wanamshangilia mtu wa aina hiyo. Mbowe anakula hela zote za chama halafu anawakoga eti umaskini bhla! bhla! Foolish CHADEMA!
Kwenu chichiem umasikin ni mtaji

Sent using tecno tochi
 
Kwenu chichiem umasikin ni mtaji

Sent using tecno tochi
Sikiliza, Kuna wakati sielewi kama naweza kusikiliza hotuba ya mtu ambaye hajapitia chuo chochote cha maana na alikuwa anaendesha casino. Hawezi kuwa na akili ya kunitakia mema hata siku moja. Yeye ni mtu wa dili kama alivyoishi kwa miaka yote ya ujana.
 
Mtoa maada una matatizo! Hivi huko kwenu umaskini ni Baraka? Hii ni forum ya GT hustahili kuwemo humu!

Au wazazi na ukoo wako walikufundisha otherwise kuwa umaskini ni baraka!!!
 
Siyo kweli, Yesu alizaliwa kwenye hali Duni kwa sababu maalumu, na ndo maisha yake yote aliishi kama mtu wa kawaida na maisha Duni asiyependa makuu, aliishi na masikini, yule ni Mungu iweje ashindwe kutatua tatizo dogo kama hilo la kukosa nafasi kama alitaka kuzaliwa kwenye Hekalu kama Mfalme?
Yesu sio mungu wewe acha kupotosha.. Af mada hapa sio dini .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
johnthebaptist, Kwa ruzuku wanayopata na michango ya nguvu kutoka kwa wabunge, CHADEMA ingekuwa na ofisi na ukumbi wa mikutano yao wa mifano. Hela yote inatafunwa na anayechukia umaskini akiwaacha wenzake kwenye dimbwi la umaskini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale wale, kwanini mnawakimbia watu wenye akili zao na kwenda kijijini wasiko jitambua? Ndiyo mana jiwe huwa anasema yeye ni Raisi wa wanyonge kwani anajua wenye utimamu watamgalagaza haraka sana. Naamini hata wewe ni mnyonge pia. Omulasil,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom