Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenu chichiem umasikin ni mtajiWajinga ndo wanamshangilia mtu wa aina hiyo. Mbowe anakula hela zote za chama halafu anawakoga eti umaskini bhla! bhla! Foolish CHADEMA!
Sikiliza, Kuna wakati sielewi kama naweza kusikiliza hotuba ya mtu ambaye hajapitia chuo chochote cha maana na alikuwa anaendesha casino. Hawezi kuwa na akili ya kunitakia mema hata siku moja. Yeye ni mtu wa dili kama alivyoishi kwa miaka yote ya ujana.Kwenu chichiem umasikin ni mtaji
Sent using tecno tochi
Kwani wapi nimesema kasema masikini wamelaaniwa?Amesema umaskini ni laana .........hajasema maskini wamelaaniwa!
Mbowe alipata 0 shuleni ndio maana anaongeq vitu vya kuota ,wangekuwa matajiri wa roho wasingejiuza kwa bei ndogo
Mbowe tajiri akaiuza chadema kwa lowasa
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Yesu sio mungu wewe acha kupotosha.. Af mada hapa sio dini .Siyo kweli, Yesu alizaliwa kwenye hali Duni kwa sababu maalumu, na ndo maisha yake yote aliishi kama mtu wa kawaida na maisha Duni asiyependa makuu, aliishi na masikini, yule ni Mungu iweje ashindwe kutatua tatizo dogo kama hilo la kukosa nafasi kama alitaka kuzaliwa kwenye Hekalu kama Mfalme?
Je umaskini na unyonge ni kitu kimoja?
Huyo mbowe ni tajiri toka akiwa tumboni mwa mama yake
Na kama ulikuwa hujui baba wa taifa alipewa nauli na familia ya mbowe
Unyonge ndio hupelekea mtu kuwa maskini!
Hahahaaa...... Hahahaaa....... Wewe unaijua familia ya Mbowe?!Huyo mbowe ni tajiri toka akiwa tumboni mwa mama yake
Na kama ulikuwa hujui baba wa taifa alipewa nauli na familia ya mbowe
Ebu nawe twambie mchango wa wazazi au babu zako katika kuisaidia TANU na NyerereNauli ya kwenda marekani hata million 5 hazifiki kwa leo sasa huo utajiri unaosema ni upo au kwenu hata pesa ya kula hakuna
State agent
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuwekee hapa hilo andiko!Ebu tusome wote Ufunuo 21:27
Alafu tuendelee kushangilia pale mkuu anaposema yeye ni Rais wa wanyonge
Sent using Jamii Forums mobile app