Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Yesu alijinyenyekeza kwa jamii ili upendo alioufundisha uweze kueleweka vyema.Kukusaidia tu Yesu alilisha maelfu bure .Lofa hawezi kulisha watu maelfu Kama Yesu alivyofanya.Anayekuambia Yesu alikuwa maskini mwongo mkubwa
Hakuwa na sababu ya kuishi kitajiri kwani ujumbe wake ni wa kila mtu. He was humble.