Mbowe alipata 0 shuleni ndio maana anaongea vitu vya kuota ,wangekuwa matajiri wa roho wasingejiuza kwa bei ndogo
Mbowe tajiri akaiuza chadema kwa lowasa
USSR
Sent using
Jamii Forums mobile app
Mbona unajichumia dhambi ya kujitakia kabisa ndugu yangu?
Be honest rafiki yangu; Una uhakika na hiki ulichokiandika?
Mimi nakukatalia kwa 100% juu ya uhusiano wa umasikini na Roho/nafsi ya mtu.....
Kama hujui, ni kuwa, matendo yako yote yanayithibitika kwa macho ya mwili wa mtu, kwanza yanaanzia ndani ya nafsi/moyo/roho ya mtu huyo....
Kila yanayokupata ni matokeo ya jinsi ulivyo ndani....
Wasimamizi na watunga sera zetu za kiuchumi na kijamii ni CCM na ndiyo wanaoongoza serikali....
Huwezi kutenganisha kila hali ilivyo leo ktk nchi yetu bila kuihusisha na CCM...
Kama ni umasikini wa Watanzania, huwezi kuutenga na Sera na mipango ya maendeleo ya CCM maana ndiyo wenye dhamana ya uongozi wa nchi hii tangu mwaka 1961...!!
Kwa hiyo Freeman A. Mbowe ni kichwa na brighter than your imaginations....
Obviously, wewe ndiye uliyepata Division Zero ktk kusoma kwako....
Arguments zako tu zinathibitisha hili!!
Pole sana....