Mbowe: CHADEMA tunaamini kwamba umaskini ni laana na kila mwanachadema ni tajiri rohoni mwake

Umeongea kweli tupu!
Maisha ya yesu yalikuwa yakawaida sana, ndo maana walimdharau aliishi maisha ya chini ili awaokoe wanadamu sasa mbowe anasema umaskini nilaana wakati yesu anesema nivigimu tajiri kuingia ufalme wa mbingu bali nirahisi ngamia kupenya tundu la sindano. Ndo maana anatumbua pesa za wanachama wa chadema maskini wanaofanya kazi kwa malipo ya furana na bila ofice hafu unawaambia umaskini ni raana dharau kuu kabisa
 
Lkn siyo kosa kuzaliwa masikini, kwani hauchagui pa kuzaliwa wala wa kukuzaa.
Sawa lakini usifurahie umaskini ukisha kuwa na akili. Pambana ili na wewe usizae mtoto katika hali uliyozaliwa wewe, maana utakuwa umeshaona madhara ya kuzaliwa katika familia maskini.
 
..Mwalimu NYERERE alisema Tz ina MAADUI watatu ambao wanapaswa kupigwa VITA, na moja ya maadui hao ni UMASIKINI.

..Katika suala hili Mzee Mbowe anafuata wasia aliotuachia Baba wa Taifa kwamba tukatae na tuupige vita umasikini.
Hivi CCM ya Nyerere ilifia wapi? Maana ile CCM ya Nyerere ilisema kabisa kwamba UMASKINI ni adui hatari tena ni wa kupambana naye kwa nguvu zote. Ila CCM ya Chato inakumbatia umaskini ili iwe inatembea na hela mfukoni na kuwagawia watu barabarani. Kwa nini usiweke mazingira mazuri ya mtu kutafuta hela yake kuliko hii ya kupewa barabarani?
 
Sawa lakini usifurahie umaskini ukisha kuwa na akili. Pambana ili na wewe usizae mtoto katika hali uliyozaliwa wewe, maana utakuwa umeshaona madhara ya kuzaliwa katika familia maskini.


Siyo rahisi kihivyo kwa kila mtu, mtoto wa Mtaani ana chance gani ya kupambana katika mazingira haya? Kuna watu Dunia inawapa mazingira magumu na hawawezi kuchomoa peke yao na siyo kosa lao, fikiria kijana miaka 13 ana wadogo zake 4, Wazazi wameshafariki ni yatima ana chance gani za kupambana?
 
Mkuu comment yako hii nikama nakuona, mimi nilishangaa yaliposhangiria!!!! Baadae nilikasirika sana wanachadema wanadai kuwa ndege za air tanzania hazina faida huku yenyewe yanatafuna fedha kwa anasa !! Nimeambiwa T-shirt zimecost sh. 89ml. Ukumbi na huduma zte 240ml. Ndege ya kwenda mwanza kikundi cha watu wachache 76ml. Harafu watu wanashangiria!! Nikweli Majuha.
 
Angaria uchaguzi. 1.mwenyeiti na makam wake madume yte + katibu mkuu na makamu wao wote madume+ hivi chadema hakuna wanawake ??? Wanaotaka nao kula rudhuku? Kwenda mwanza napo mlienda wenyewe tu na ndege kwapesa zachama , jamani hao wanawake mlio nao ndani ya chama kazi yao niipi?. Amkeni wanachadema mnaibiwa..
 
Sasa katika hali hii ya kusikitisha wewe mwenyewe umethibitisha madhara ya umaskini. Sasa kwa nini chama chetu hakipambani na huyu adui na badala yake kinafurahia umaskini?
 
Mbona Mzee wako anasema kila siku kuwa Tanzania ni tajiri na inapaswa kukopesha wengine?
 
Kwanza tutajiie safu ya uongozi ya CCM Tafa ndipo tuendelee na mjadala. Anza na mwenyekiti, makamu mwenyekiti, Katibu Mkuu, Jumuiya ya wazazi na ya vijana,
 
Kwani CCM haipati ruzuku? Mbona hamhoji matumizi yake?
 
Kama sisi tunavyomshangaa mbowe anataka wanachama wake wawe na mawazo ya kitajiri wakati hata banda la kuku tu la makao makuu ya chama ameshindwa kujenga.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ulitaka kwa vile tu hawajajenga ofisi nzuri aseme umaskini ni mzuri? Kwa hiyo wewe kabla hujajenga nyumba utaendelea kusema nyumba siyo kitu? Unatakiwa useme kweli na ukubali uzuri wa kitu hata kama huna kwa wakati huo. Ninyi ndio huwa hamsomeshi watoto wenu kisa eti wewe hukusoma.
 
Kumbe yale aliyoyasema Lema ndio sera ya CHADEMA?


Laana ipi hiyo? kama ile iliyozungumziwa kwenye biblia.... Jeremiah 26:2-6


haya na mengine ni kati ya mafundisho waliyopata kutoka kwa Mabeberu.?
 


sera zao ni zipi sasa?

Hawa juu walitoa michango yao.....wasome kwa taarifa....tafakari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…