Pre GE2025 Mbowe: Chama chetu hakina ukomo wa Madaraka na msitulazimishe kuwa kama CCM ama Act Wazalendo wenye ukomo wa Madaraka kwa viongozi

Pre GE2025 Mbowe: Chama chetu hakina ukomo wa Madaraka na msitulazimishe kuwa kama CCM ama Act Wazalendo wenye ukomo wa Madaraka kwa viongozi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwenyekiti wa Chadema bwana Mbowe amesema chama chao cha chadema hakina ukomo wa madaraka na watu wasiwalazimishe kua kama CCM ana ACT wazalendo wenye ukomo wa Madaraka.

Mbowe anasema ukomo wa madaraka kwenye chama chao ni pale wanapofanya uchaguzi kila baada ya miaka 5 hivyo kama kiongozi anachaguliwa tena kwenye kila uchaguzi hilo halina shida ila kama wanachama watamkataa basi huo ndio ukomo wake unakua umefika.

Mbowe anasema chadema wasilazimishwe kua kama ccm ama act kuweka ukomo ama term limit ya viongozi, kiongozi atawale hadi pale wananchi watakapomchoka wenyewe.

View: https://www.instagram.com/p/DEZq5LeuFlW/?igsh=MTl4ZmRpYTZtY2pzcA==

Daah aisee
 
Mwenyekiti wa Chadema bwana Mbowe amesema chama chao cha chadema hakina ukomo wa madaraka na watu wasiwalazimishe kua kama CCM ana ACT wazalendo wenye ukomo wa Madaraka.

Mbowe anasema ukomo wa madaraka kwenye chama chao ni pale wanapofanya uchaguzi kila baada ya miaka 5 hivyo kama kiongozi anachaguliwa tena kwenye kila uchaguzi hilo halina shida ila kama wanachama watamkataa basi huo ndio ukomo wake unakua umefika.

Mbowe anasema chadema wasilazimishwe kua kama ccm ama act kuweka ukomo ama term limit ya viongozi, kiongozi atawale hadi pale wananchi watakapomchoka wenyewe.

View: https://www.instagram.com/p/DEZq5LeuFlW/?igsh=MTl4ZmRpYTZtY2pzcA==

Aiseee😂😂😂😂🙌🏿
Huyu Baba hadi tunaomtetea tumechoka sasa
We kuweza?
 
Halafu wao kwa jiwe walikuwa wanapiga kelele za nini alivyoanzisha kampeni za chinichini kubadili katiba aongozewe kipindi??

Hiki chama kishajifia imani hakuna tena..!!
 
Haya bana CHADEMA ikipasuka msamba msilie
Siku hizi inaitwa Chagan Political Party vipi kuhusu hili
Wananchi wanadai Mbowe akiachia ndipo watafuta neno Chaga
Mbona ccm wana elements zote kuwa ni chama cha waislamu hamsemi?
 
Mbowe for life
Chama cha wachagga😂
 

Attachments

  • Screenshot_20250103-114821.jpg
    Screenshot_20250103-114821.jpg
    403.1 KB · Views: 1
dah!
huyu jamaa sijui
amewaongozaje
hao wajinga aisee
miaka 20! how?
it is so easy to see
through his bullshit
 
Mwenyekiti wa Chadema bwana Mbowe amesema chama chao cha chadema hakina ukomo wa madaraka na watu wasiwalazimishe kua kama CCM ana ACT wazalendo wenye ukomo wa Madaraka.

Mbowe anasema ukomo wa madaraka kwenye chama chao ni pale wanapofanya uchaguzi kila baada ya miaka 5 hivyo kama kiongozi anachaguliwa tena kwenye kila uchaguzi hilo halina shida ila kama wanachama watamkataa basi huo ndio ukomo wake unakua umefika.

Mbowe anasema chadema wasilazimishwe kua kama ccm ama act kuweka ukomo ama term limit ya viongozi, kiongozi atawale hadi pale wananchi watakapomchoka wenyewe.
Nadhani iko bayana mbowe hajui maana ya democrasia na uongozi bora
 
NKURUZINZA AYATOLLAH DIKTETA AIKAELI MBOWE anazidi kujipoteza kisiasa. Hakika hata akishinda urais CDM haitokuwa tofauti na CUF ya Lipumba. Yajayo yanafurahisha sababu sipati picha ya uongozi wa FAM na Wenje
 
Mwenyekiti wa Chadema bwana Mbowe amesema chama chao cha chadema hakina ukomo wa madaraka na watu wasiwalazimishe kua kama CCM ana ACT wazalendo wenye ukomo wa Madaraka.

Mbowe anasema ukomo wa madaraka kwenye chama chao ni pale wanapofanya uchaguzi kila baada ya miaka 5 hivyo kama kiongozi anachaguliwa tena kwenye kila uchaguzi hilo halina shida ila kama wanachama watamkataa basi huo ndio ukomo wake unakua umefika.

Mbowe anasema chadema wasilazimishwe kua kama ccm ama act kuweka ukomo ama term limit ya viongozi, kiongozi atawale hadi pale wananchi watakapomchoka wenyewe.
Hivi wanaolazimisha ukomo wa madaraka wamefanya nini Cha ziada wakati ambapo Chadema kinakadamizwa katika uchaguzi?. Kwa nini mnagawanyika? Hawa wanaoshabikia kutokea mgawanyiko baina ya Mbowe na Lisu ni Shetani Gani anawavuruga? Ninaunga mkono wanaopenda umoja katika nyakati hizi za uchaguzi mkuu kama mlivyofanya wakati wa UKAWA.
 
Back
Top Bottom