Tar. 28 mei 1992 wazee kadhaa wa kichaga wakiongozwa na Edwin Mtei na Fillimon Ndesamburo walisajili chama Cha siasa kikipewa jina la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo
CHADEMA kiligombea nafasi ya 2005 mgombea akiwa Freeman akipata asilimia 5.88 na poit hivi
Mwaka 2010 mgombea akiwa Dr Mihogo CHADEMA kilipata 27% ya kura
Mwaka 2015 CHADEMA kilipata
39.75% ya kura mgombea akiwa Mzee Lowasa
Sitoweka matokeo ya 2020 kwakuwa ule haukuwa uchaguzi hivyo haufai kutumika kama takwimu
Baada ya kupanda na kupata 27% ya kura ya uraisi 2010 sanjari na viti takribani 80 na kitu ukichanganya na viti maalumu CHADEMA kikawa kinapokea mabilion ya ruzuku kutoka serikalini
Chama chini ya Dr Slaa kikanza kujitengeneza kikanzisha idara ya habari
Idara ya intelligence
Idara ya ulinzi red brigade
Jumuia. Kama BAVICHA na BAWACHA zikawa moto kweli kweli
Wakati huo wote chama kilikuwa kwenye mikono ya Dr Slaa huku mwenyekiti Mbowe akila mema ya nchi mara Dubai mara Uingereza mara America akijirusha huku na huku tuliokuwa tunahoji tulijibiwa kuwa mwenyekiti alikuwa anautumia fedha zake za uridhi wa Mzee Aikael Mbowe
Ukiachia Yale magari ya M4C Tena yaliyosajiliwa kwa jina lake na zile pikipiki hakuna kitu chengine tulichoona kilifanyika
Hakukuwa na ulipaji wa mishahara Wala posho isipokuwa hukooo makao makuu sie wa mikoani na mawilayani tulihimizwa makamanda piganieni chama tuikomboe nchi hata zile gwanda za kikamanda tuliuziwa 50,000 kwa pea
Tetesi kwamba 2020 Lowasa alimvutia mbowe mkwanja mrefu sana ili ampatie nafasi ya kugombea uraisi ni wazi kwamba Ina mashiko kwakuwa muonekano wa Lowasa Hadi anaridi CCM hakuwahi kujionyesha kama mwana CHADEMA niwazi kuwa hakuwahi kuipenda CHADEMA Bali alitumia kama plan B baada ya kukatwa na maccm
Na huu mpango kazi wa Mbowe ulifanikiwa kuongeza ruzuku lkn baada ya hapo ulikiporomosha chama Hadi Sasa watu huwaza kuwa huenda kikaangamia kama kilivyoangamia kile Cha NCCR wenye uchungu na chama wameomba kumpokea mbowe akubali yaishe au akomae taasisi imfie mikononi
CHADEMA kiligombea nafasi ya 2005 mgombea akiwa Freeman akipata asilimia 5.88 na poit hivi
Mwaka 2010 mgombea akiwa Dr Mihogo CHADEMA kilipata 27% ya kura
Mwaka 2015 CHADEMA kilipata
39.75% ya kura mgombea akiwa Mzee Lowasa
Sitoweka matokeo ya 2020 kwakuwa ule haukuwa uchaguzi hivyo haufai kutumika kama takwimu
Baada ya kupanda na kupata 27% ya kura ya uraisi 2010 sanjari na viti takribani 80 na kitu ukichanganya na viti maalumu CHADEMA kikawa kinapokea mabilion ya ruzuku kutoka serikalini
Chama chini ya Dr Slaa kikanza kujitengeneza kikanzisha idara ya habari
Idara ya intelligence
Idara ya ulinzi red brigade
Jumuia. Kama BAVICHA na BAWACHA zikawa moto kweli kweli
Wakati huo wote chama kilikuwa kwenye mikono ya Dr Slaa huku mwenyekiti Mbowe akila mema ya nchi mara Dubai mara Uingereza mara America akijirusha huku na huku tuliokuwa tunahoji tulijibiwa kuwa mwenyekiti alikuwa anautumia fedha zake za uridhi wa Mzee Aikael Mbowe
Ukiachia Yale magari ya M4C Tena yaliyosajiliwa kwa jina lake na zile pikipiki hakuna kitu chengine tulichoona kilifanyika
Hakukuwa na ulipaji wa mishahara Wala posho isipokuwa hukooo makao makuu sie wa mikoani na mawilayani tulihimizwa makamanda piganieni chama tuikomboe nchi hata zile gwanda za kikamanda tuliuziwa 50,000 kwa pea
Tetesi kwamba 2020 Lowasa alimvutia mbowe mkwanja mrefu sana ili ampatie nafasi ya kugombea uraisi ni wazi kwamba Ina mashiko kwakuwa muonekano wa Lowasa Hadi anaridi CCM hakuwahi kujionyesha kama mwana CHADEMA niwazi kuwa hakuwahi kuipenda CHADEMA Bali alitumia kama plan B baada ya kukatwa na maccm
Na huu mpango kazi wa Mbowe ulifanikiwa kuongeza ruzuku lkn baada ya hapo ulikiporomosha chama Hadi Sasa watu huwaza kuwa huenda kikaangamia kama kilivyoangamia kile Cha NCCR wenye uchungu na chama wameomba kumpokea mbowe akubali yaishe au akomae taasisi imfie mikononi