KANYAMA
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,514
- 2,325
Hili nalo nenoAlafu hawa hawa wanaosema nihalali kina Mdee wafukuzwe kwa sababu waligushi nyalaka, wanashabikia wenye vyeti feki warudi kazini au walipwe mafao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili nalo nenoAlafu hawa hawa wanaosema nihalali kina Mdee wafukuzwe kwa sababu waligushi nyalaka, wanashabikia wenye vyeti feki warudi kazini au walipwe mafao.
Mbowe Kwa busara kazidishiwa ,, Ingawa Mimi ni CCM ..busara Mbowe anayo ya kutosha,,hakurupuki.Tena sn jamaa ana busara kupita kiasi
CHADEMA noma just imagine hawa madem wawili Halima na Ester Matiko walivosota Lupango enzi za Mwendazake leo wanapugwa kimasiharaMzee Mdee Noma.
Kwa hii hoja yako ni sawa na unasema hutaki wagombea urais Tanzania wafahamiane na watu nje ya nchi.Ajabu ina maana Mh. Mbowe ni agent wa kutafutia watu kazi mpaka nje ya nchi??? Dah hakika uzi wa yoga umeumbua huu umoja kifisadi. Mbowe si mtu wa kumkabidhi nchi ataiuza
Mjinga sana wewe! Tumia akili utaona mantiki ya maneno ya Mbowe! MATAGA mko na shida sana!Ajabu ina maana Mh. Mbowe ni agent wa kutafutia watu kazi mpaka nje ya nchi??? Dah hakika uzi wa yoga umeumbua huu umoja kifisadi. Mbowe si mtu wa kumkabidhi nchi ataiuza
Hujawahi kuugua uendawazimu kweli wewe?Ajabu ina maana Mh. Mbowe ni agent wa kutafutia watu kazi mpaka nje ya nchi??? Dah hakika uzi wa yoga umeumbua huu umoja kifisadi. Mbowe si mtu wa kumkabidhi nchi ataiuza
Covid ni kirusi kibaya sana..hakisikii dawa.
Yani hayo maneno ya mwisho ,Yameniliza ,huruma ya ajabu!Kuhusu kauli ya Halima Mdee kusema kuwa maamuzi ya kuwafukuza uanachama wa CHADEMA ni "NI YA KIHUNI", Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe amesema hajui chochote lakini maamuzi yaliyofanyika yamefanyika mbele yao wenyewe wakiona, hivyo Mdee aache mambo ya kihuni.
Nilipokuwa gerezani nilimwomba John Mnyika amlete Halima Mdee. Alikuja na Bulaya,niliwahisii sana. Niliwauliza nani aliwadanganya?
Nilimwambia kama unataka kazi niambie nitakutafutia kazi hata nje,utalipwa vizuri achana na Ubunge.Nipo gerezani namuwaza Halima" anasema Mh.Mbowe
Mbowe anao huo ubavu kwa sababu yupo compromised already, yaani ana bei na mabeberu like ilivyo kwa Mzee wetu JK na ilivyo kwa Mama sasa hivi. Yaani Mbowe ni mtu mbaya sana kuwahi tokea ktk siasa za nchi yetu, ndiyo Maana Dkt Magufuli alimsaga kama kunguni kwa sababu stake aliyonayo ya kifisadi ni mpaka kifo he cannot let it go. Uzuri mifumo inajua kila kitu so usitegemee huyo Mbowe wako to amount to anything zaidi ya kuendelea na hiyo NGO yake. Na ndiyo maana hataki kuachia kumbe ana mikataba na economic hitmen! Uzuri hakuna siri.Hujawahi kuugua uendawazimu kweli wewe?
Kama sio basi kuna tatizo la kiakili ktk ukoo wenu!
Duuuuh hatareee sana.Kuhusu kauli ya Halima Mdee kusema kuwa maamuzi ya kuwafukuza uanachama wa CHADEMA ni "NI YA KIHUNI", Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe amesema hajui chochote lakini maamuzi yaliyofanyika yamefanyika mbele yao wenyewe wakiona, hivyo Mdee aache mambo ya kihuni.
Nilipokuwa gerezani nilimwomba John Mnyika amlete Halima Mdee. Alikuja na Bulaya,niliwahisii sana. Niliwauliza nani aliwadanganya?
Nilimwambia kama unataka kazi niambie nitakutafutia kazi hata nje,utalipwa vizuri achana na Ubunge.Nipo gerezani namuwaza Halima" anasema Mh.Mbowe
Na ndipo hapo unakuta anayejiita kiongozi wa NGO maarufu kabisa eti anamuambia mfuasi wake angemtafutia kazi nje ya nchi? How? Huwezi kuwa na connection ya kazi nje ya nchi kama matajiri unaowategemea na wao wanakutegemea kupitisha dili zao Tanzania. Ina maana Mbowe yupo compromised by 100% he cannot be trusted, ni bora Mdee na wenzake they’re not in that group na ndiyo wapinzani wa kweli, ila Mbowe anaonekana ana share na makampuni ya nje mengi mpaka anaouwezo wa kutafutia mtu kazi. Ikitokea kapewa nchi maana yake atahakikisha hao mabwana zake wanakba rasilimali zetu kwa mtindo wa mikataba. Na jinsi walivyo wazungu, watahakikisha wanatuacha kama kongoTanzania ni njaa wananchi hadi akina Mbowe, ndo maana haishangazi mtu ana cheo cha Balozi wa nchi bado anakubaliwa kuwa DC/RC. Pumbafu kabisa, wenzetu wanapambana kuimalisha nchi zao huku nchi zetu za kiswazi tunagombania kula
Unataka akutangazie wote anaowasaidia?.Kamzungumzia halima kwasababu ya tukio lililotokea.Hilo si awafanyie vijana wengi tu wanaochakaa kitaa, au ni Halima pekee ndio anaweza kupata hio fursa kutoka kwake ?
Utaolewa karibuniTena sn jamaa ana busara kupita kiasi
Unataka kusema BABA YAKO hana BUSARA?? [emoji2][emoji2][emoji2] Bongo bhana.Mbowe;
wewe ni kiongozi haswaa
Umejaa hekima na busara
Huna visasi kwa waliokutendea mabaya
Unajua kuongea na kuvuta wasikilizaji, kwa hili nakupa big sana kamanda.
Watu wa aina yako ni wachache sana Tz kwa sasa