Mbowe: Halima Mdee na Wenzake waache mambo ya Kihuni

Mbowe: Halima Mdee na Wenzake waache mambo ya Kihuni

Mbowe anao huo ubavu kwa sababu yupo compromised already, yaani ana bei na mabeberu like ilivyo kwa Mzee wetu JK na ilivyo kwa Mama sasa hivi. Yaani Mbowe ni mtu mbaya sana kuwahi tokea ktk siasa za nchi yetu, ndiyo Maana Dkt Magufuli alimsaga kama kunguni kwa sababu stake aliyonayo ya kifisadi ni mpaka kifo he cannot let it go. Uzuri mifumo inajua kila kitu so usitegemee huyo Mbowe wako to amount to anything zaidi ya kuendelea na hiyo NGO yake. Na ndiyo maana hataki kuachia kumbe ana mikataba na economic hitmen! Uzuri hakuna siri.
Huna hoja zaidi ya kuweweseka.Roho zinawauma ila ndo ivyo bado mambo yakijinga aliyoyafanya mungu wenu wa chatu yanazidi kuharibika.
 
Binadamu mwenye akili timamu na na uwezo wa kujitambua ni vyema akaacha siasa! DAMU IKICHEMKA KWA SIASA UNAISHIA KUWA CHAMA WANAYOKULA WATOTO WADOGO!
 
Kufuatia Baraza Kuu la CHADEMA kutupilia mbali rufaa ya Wabunge 19 wakiongozwa na Halima Mdee, kauli za majibizano baina ya pande mbili zimeendelea kutolewa, Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe amewaambia waliofukuzwa kuwa waache mambo ya kihuni.

Awali Mdee alinukuliwa akisema kilichofanyika ni uhuni n ahata Mbowe anajua. Akijibu hoja hiyo Mbowe amesema: “Tumesikitika kuwapoteza wanachama 19, hatujafurahia lakini imebidi, maamuzi ya kuwafukuza yalifanyika tangu 2020 katika kikao cha Kamati Kuu.

“Baraza Kuu limekutana leo (Mei 11, 2022) na kutoa maamuzi ya mwisho, kura zimepigwa mbele yao na wameona kila kitu, waache mambo ya kihuni.”

Mwandishi nawe Andika kieleweke.
Mbowe kama mwenyekiti hajawafukuza. Wamefukuzwa na kamati kuu iliyoketi na kupiga kura mbele yao. Maamuzi ni kamati sio Mbowe.

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Yale yaliyofanyika ndio maamuzi ya kidemokrasia kuwa walio wengi kauli yao hupita. Rufaa ya akina Halima na wenziwe imepigiwa kura na wajumbe wote wa mkutano mkuu na walio wengi wamekubali kina Halima wafukuzwe mbele yao. Hilo ndilo lililopita na litaheshimiwa
 
Chadema, Mbowe hawa ni ccm, kindaki ndaki!! tangu mbowe akubali lawama za kumpiga Lisu Risasi,, na bado akajichekesha tuu simuamini hata siku moja!...Li CCM limesukwa hasa! ...na makuti ya waya.....naona hapo wajumbe waliongozwa tu kumtoa Halima!!

Ukiingia chadema uwe na akili tatu km ifutavyo!

1. Zako mwenyewe zisiwe za mtu yeyote ndani na nje ya chama, yaani zile za ukiambiwa! mara hivi, unaenda ..no..!..usije kuwa asusa!

2. Na zile akili Za undumila kuwili !! muda wowote unaweza chukuliwa uwe Jasusi la chama ndani ya chama km alivo mbowe!! ili utumikie uhai wa chama kingine fiche!

3. Akili za chama cha chadema zenyewe!! hizi ukiwa nazo hizo ufanye hivi;
uume na kupulizia! chochote chaweza tokea kwako ukiwa ndani ya chama!! so weye hapo ukubali matokeo tu!....Bulaya hakujua mantiki hii .... mdada kajitoa sana weee!! chamani kuumbe wanamchora tu na kumuundia mikakati!!

eti anatolewa kirahisi tu! jamani ! mwee!! Mbowe ana kitu anachotumiwa kutoka CCM makao makuu! sababu ccm imemlea tangu akiwa kinda na ukimuangalia vizuri ana ukijani usiofutika ......

pia ukoo wa mbowe umelelewa vizuri na kitambo mnoo na ccm! hawawezi isaliti hata iweje ni waajiliwa wa huko wa siri ...ni kama alivo kuwa Mabere Marando ndo alimuua Tamimu yule mjaluo!!

sasa fikiria huyu mabele ataisariti CCM kweli? au ataitumikia ccm mpaka kufa, walikula kiapao hao!! ndo anaiimarisha??........Ile mbowe kufungwa Ukonga na kujiliza liza vimachozi vya kinafiki km Demu ni uongo mtupu mie nilimuangalia sana kwa karibu!!

Mbowe kule gerezani ni alikuwa kazini kibata bata ..tunamjua kitambo sana huyu! Robo tatu ya uongozi wa juu ndani ya chedema ni mashushu wa sirikali ya ccm, kufa kupona!! wamekunywa maji ya bendera!!

ebu fikiria shushu mbobezi Mrema alivo sumbua nchini!!!! basi chadema pia ivoivo! siku mkija gutuka tu Anahamia ccm kiulainiiii!!...then anastaafia hukooo! Ubalozini .....SILAA yuko wapi??.... nani anajua??......

watakao umia ndo km hawa kumi na tisa na kina km hao kina Beni saanane tu..... ..lkn Mitanzania ilivyo mijinga mijinga hata usemeje haielewi somo!...chadema walinishawishi nikakataa kata kata!......CCM mAFIA SI kawaida!
 
Na ndipo hapo unakuta anayejiita kiongozi wa NGO maarufu kabisa eti anamuambia mfuasi wake angemtafutia kazi nje ya nchi? How? Huwezi kuwa na connection ya kazi nje ya nchi kama matajiri unaowategemea na wao wanakutegemea kupitisha dili zao Tanzania. Ina maana Mbowe yupo compromised by 100% he cannot be trusted, ni bora Mdee na wenzake they’re not in that group na ndiyo wapinzani wa kweli, ila Mbowe anaonekana ana share na makampuni ya nje mengi mpaka anaouwezo wa kutafutia mtu kazi. Ikitokea kapewa nchi maana yake atahakikisha hao mabwana zake wanakba rasilimali zetu kwa mtindo wa mikataba. Na jinsi walivyo wazungu, watahakikisha wanatuacha kama kongo
Ukiwa katika kiwango cha kuaminika kama alivyo Mbowe kama mwanasiasa mfanyabiashara unaweza kumtafutia mtu kazi. Kazi zinazoweza kulipa zaidi ya ubunge ziko nje ya Tanzania zaidi.
 
Ajabu ina maana Mh. Mbowe ni agent wa kutafutia watu kazi mpaka nje ya nchi??? Dah hakika uzi wa yoga umeumbua huu umoja kifisadi. Mbowe si mtu wa kumkabidhi nchi ataiuza
Uwezo wako wa kufikiri ni giza kiwango cha rami.
 
Yaani ni ful mapicha picha...

Ukiwa na kadi ya hiki chama ni hasara tu.
 
Back
Top Bottom