Mbowe hana cha kupoteza katika kesi yake

Mbowe hana cha kupoteza katika kesi yake

Cathelin

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
2,071
Reaction score
3,995
Kwa ufupi ni kuwa hii kesi inaenda kuivua nguo serikali ya Samia Suluhu, inenda kuwavua nguo kina DPP, IGP na DCI.

Kwanini Mbowe hana cha kupoteza katika hii kesi

1. Kama Mbowe atafutiwa kesi na DPP basi jamaa(Mbowe) atakuwa amepata popularity ya kutosha ndani na nje ya nchi,pili itampa kiburi zaidi Cha kuendelea kudai katiba mpya kwa nguvu Sana.

2. Kama wataacha kesi iamuliwe na mahakana na Mbowe kushinda kesi,, itakuwa aibu kubwa kwa Rais na hao wasaidizi wake, na Mbowe anaenda kuwa na jeuri zaidi na confidence ya kuendelea kudai katiba mpya.

3. Kama wakiamua kumuhukumu Mbowe, Kesi ya ugaidi ni kubwa itabidi Mbowe afungwe miaka 30 jela au kunyongwa. Hapa ni pagumu sana sasa hivi Serikali ina pressure kubwa sana kutoka ndani na nje ya nchi kutokana na kushikiliwa kwa Mbowe so wakimuhukumu 30yrs au wakimnyonga itakuwa hatari kwa usalama na ustawi wa taifa(ukweli CCM wanajua nguvu ya huyu mwamba)

Mwisho, Serikali atakuwa ndo looser kwenye hii kesi.

So Mbowe relax muda utaamua
 
Mbowe hana cha kupoteza???

Nafikiri umeandika bila kutumia akili vizur. So let me bring you to the point. Mbowe ana vingi vya kupoteza ikiwemo uenyekiti wake ambao umegharimu baadhi ya maisha ya watu akiwemo Chacha wangwe, Ben saa8 kupotea ktk mazingira ya kutatanisha kisa tu alimshauri jamaa ang'atuke ili kupisha wenye mawazo mbadala waendeshe chama kwan yey alikuwa ashaanza kupwaya katika uongozi na kutoa boko mbali mbali (kumleta Lowasa kwa malipo madogo agombee) zilizosaidia adui kupata ushindi mnono mwaka 2015, Zito kukoswa koswa kulishwa sumu. Lkn pia ataingia hasara ya kuwalipa wanasheria ili aweze kushinda kesi ambayo pengine hapo baadae hatokuja kushinda. Kuhusu hao mabeberu sahau.

Hao wazungu hawawezi kumpigania mtu kama wanaona maslahi yao yapo pale pale kupitia serikali iliyopo. Kwahiyo chakupoteza anacho ndo maana kila siku watu wanapambana ili aaachiwe. JIWE GIZANI LITAKUJA NA MREJESHO wa KELELE.
 
Mods please msifute huu Uzi

Shortly hii kesi inaenda kuivua nguo serikali ya SSH, inenda kuwavua nguo kina DPP, IGP na DCI.

Kwanini Mbowe hana Cha kupoteza katika hii kesi

1. Kama Mbowe atafutiwa kesi na DPP basi jamaa(Mbowe) atakuwa amepata popularity ya kutosha ndani na nje ya nchi,pili itampa kiburi zaidi Cha kuendelea kudai katiba mpya kwa nguvu Sana.

2. Kama wataacha kesi iamuliwe na mahakana na Mbowe kushinda kesi,, itakuwa aibu kubwa kwa Raisi,na hao wasaidizi wake,na Mbowe anaenda kuwa na jeuri zaidi na confidence ya kuendelea kudai katiba mpya.

3.kama wakiamua kumuhukumu Mbowe, Kesi ya ugaidi ni kubwa itabidi Mbowe afungwe miaka 30 jera au kunyongwa. Hapa ni pagumu Sana sahivi serikali ina pressure kubwa Sana kutoka ndani na nje ya nchi,, kutokana na kushikiliwa kwa Mbowe,,,so wakimuhuku 30yrs au wakimnyonga itakuwa hatari kwa usalama na ustawi wa taifa(ukweli CCM wanajua nguvu ya huyu mwamba)

Mwisho, serikali atakuwa ndo looser kwenye hii kesi.

So Mbowe relax muda utaamua
Kesi ni uhuni mtupu.

Hivi hata huko nje mtu akisikia Ugaidi umekuwasponsored kwa laki 6 (USD 300) si ni kichekesho cha mwaka.
 
Mbowe hana cha kupoteza??? Nafikiri umeandika bila kutumia akili vizur. So let me bring you to the point. Mbowe ana vingi vya kupoteza ikiwemo uenyekiti wake ambao umegharimu baadhi ya maisha ya watu akiwemo Chacha wangwe, Ben saa8 kupotea ktk mazingira ya kutatanisha kisa tu alimshauri jamaa ang'atuke ili kupisha wenye mawazo mbadala waendeshe chama kwan yey alikuwa ashaanza kupwaya katika uongozi na kutoa boko mbali mbali (kumleta Lowasa kwa malipo madogo agombee) zilizosaidia adui kupata ushindi mnono mwaka 2015, Zito kukoswa koswa kulishwa sumu. Lkn pia ataingia hasara ya kuwalipa wanasheria ili aweze kushinda kesi ambayo pengine hapo baadae hatokuja kushinda. Kuhusu hao mabeberu sahau. Hao wazungu hawawezi kumpigania mtu kama wanaona maslahi yao yapo pale pale kupitia serikali iliyopo. Kwahiyo chakupoteza anacho ndo maana kila siku watu wanapambana ili aaachiwe.
Dudumizi wewe kaendelee kuua wadudu ndo jambo pekee unaloweza,kazi ya kuongea na watu wenye akili timamu hutaiweza.
 
Mbowe hana cha kupoteza??? Nafikiri umeandika bila kutumia akili vizur. So let me bring you to the point. Mbowe ana vingi vya kupoteza ikiwemo uenyekiti wake ambao umegharimu baadhi ya maisha ya watu akiwemo Chacha wangwe, Ben saa8 kupotea ktk mazingira ya kutatanisha kisa tu alimshauri jamaa ang'atuke ili kupisha wenye mawazo mbadala waendeshe chama kwan yey alikuwa ashaanza kupwaya katika uongozi na kutoa boko mbali mbali (kumleta Lowasa kwa malipo madogo agombee) zilizosaidia adui kupata ushindi mnono mwaka 2015, Zito kukoswa koswa kulishwa sumu. Lkn pia ataingia hasara ya kuwalipa wanasheria ili aweze kushinda kesi ambayo pengine hapo baadae hatokuja kushinda. Kuhusu hao mabeberu sahau. Hao wazungu hawawezi kumpigania mtu kama wanaona maslahi yao yapo pale pale kupitia serikali iliyopo. Kwahiyo chakupoteza anacho ndo maana kila siku watu wanapambana ili aaachiwe.
yaani wee umekunya akili umirudi na mavi
 
Mbowe hana cha kupoteza??? Nafikiri umeandika bila kutumia akili vizur. So let me bring you to the point. Mbowe ana vingi vya kupoteza ikiwemo uenyekiti wake ambao umegharimu baadhi ya maisha ya watu akiwemo Chacha wangwe, Ben saa8 kupotea ktk mazingira ya kutatanisha kisa tu alimshauri jamaa ang'atuke ili kupisha wenye mawazo mbadala waendeshe chama kwan yey alikuwa ashaanza kupwaya katika uongozi na kutoa boko mbali mbali (kumleta Lowasa kwa malipo madogo agombee) zilizosaidia adui kupata ushindi mnono mwaka 2015, Zito kukoswa koswa kulishwa sumu. Lkn pia ataingia hasara ya kuwalipa wanasheria ili aweze kushinda kesi ambayo pengine hapo baadae hatokuja kushinda. Kuhusu hao mabeberu sahau. Hao wazungu hawawezi kumpigania mtu kama wanaona maslahi yao yapo pale pale kupitia serikali iliyopo. Kwahiyo chakupoteza anacho ndo maana kila siku watu wanapambana ili aaachiwe.
Umejibu kilevi sana.
 
Mods please msifute huu Uzi

Shortly hii kesi inaenda kuivua nguo serikali ya SSH, inenda kuwavua nguo kina DPP, IGP na DCI.

Kwanini Mbowe hana Cha kupoteza katika hii kesi

1. Kama Mbowe atafutiwa kesi na DPP basi jamaa(Mbowe) atakuwa amepata popularity ya kutosha ndani na nje ya nchi,pili itampa kiburi zaidi Cha kuendelea kudai katiba mpya kwa nguvu Sana.

2. Kama wataacha kesi iamuliwe na mahakana na Mbowe kushinda kesi,, itakuwa aibu kubwa kwa Rais na hao wasaidizi wake, na Mbowe anaenda kuwa na jeuri zaidi na confidence ya kuendelea kudai katiba mpya.

3. Kama wakiamua kumuhukumu Mbowe, Kesi ya ugaidi ni kubwa itabidi Mbowe afungwe miaka 30 jera au kunyongwa. Hapa ni pagumu Sana sahivi serikali ina pressure kubwa Sana kutoka ndani na nje ya nchi,, kutokana na kushikiliwa kwa Mbowe,,,so wakimuhuku 30yrs au wakimnyonga itakuwa hatari kwa usalama na ustawi wa taifa(ukweli CCM wanajua nguvu ya huyu mwamba)

Mwisho, Serikali atakuwa ndo looser kwenye hii kesi.

So Mbowe relax muda utaamua
mpeni kichwa tu anapata shida nyie mko nje mnampa matumaini yaliyokufa?kesi ngumu hiyo usiione ndogo
 
Kesi imetengenezwa ili kuhamisha attention ya watu itoke kwa Sabaya ihamie kwa Mbowe, Sabaya akihojiwa anasema ana maadui wa kisiasa, huku Kisutu wanasema Mbowe alimsababishia Sabaya majeraha, hayo majeraha waliwahi kuripoti polisi? wana RB?

Hapa naona kuna mchezo unachezwa na waendesha mashtaka wa serikali, kwenye hukumu ya hizi kesi mbili majibu yatapatikana, ni kama vile huyu akiachiwa na yule aachiwe, au huyu akifungwa na yule afungwe, simply wamejaribu ku-divert mind za watu kwa kucheza nazo.
 
Mods please msifute huu Uzi

Shortly hii kesi inaenda kuivua nguo serikali ya SSH, inenda kuwavua nguo kina DPP, IGP na DCI.

Kwanini Mbowe hana Cha kupoteza katika hii kesi

1. Kama Mbowe atafutiwa kesi na DPP basi jamaa(Mbowe) atakuwa amepata popularity ya kutosha ndani na nje ya nchi,pili itampa kiburi zaidi Cha kuendelea kudai katiba mpya kwa nguvu Sana.

2. Kama wataacha kesi iamuliwe na mahakana na Mbowe kushinda kesi,, itakuwa aibu kubwa kwa Rais na hao wasaidizi wake, na Mbowe anaenda kuwa na jeuri zaidi na confidence ya kuendelea kudai katiba mpya.

3. Kama wakiamua kumuhukumu Mbowe, Kesi ya ugaidi ni kubwa itabidi Mbowe afungwe miaka 30 jera au kunyongwa. Hapa ni pagumu Sana sahivi serikali ina pressure kubwa Sana kutoka ndani na nje ya nchi,, kutokana na kushikiliwa kwa Mbowe,,,so wakimuhuku 30yrs au wakimnyonga itakuwa hatari kwa usalama na ustawi wa taifa(ukweli CCM wanajua nguvu ya huyu mwamba)

Mwisho, Serikali atakuwa ndo looser kwenye hii kesi.

So Mbowe relax muda utaamua
Mods unganisheni hizi nyuzi za Mbowe na kesi yake zote
 
Mods please msifute huu Uzi

Shortly hii kesi inaenda kuivua nguo serikali ya SSH, inenda kuwavua nguo kina DPP, IGP na DCI.

Kwanini Mbowe hana Cha kupoteza katika hii kesi

1. Kama Mbowe atafutiwa kesi na DPP basi jamaa(Mbowe) atakuwa amepata popularity ya kutosha ndani na nje ya nchi,pili itampa kiburi zaidi Cha kuendelea kudai katiba mpya kwa nguvu Sana.

2. Kama wataacha kesi iamuliwe na mahakana na Mbowe kushinda kesi,, itakuwa aibu kubwa kwa Rais na hao wasaidizi wake, na Mbowe anaenda kuwa na jeuri zaidi na confidence ya kuendelea kudai katiba mpya.

3. Kama wakiamua kumuhukumu Mbowe, Kesi ya ugaidi ni kubwa itabidi Mbowe afungwe miaka 30 jera au kunyongwa. Hapa ni pagumu Sana sahivi serikali ina pressure kubwa Sana kutoka ndani na nje ya nchi,, kutokana na kushikiliwa kwa Mbowe,,,so wakimuhuku 30yrs au wakimnyonga itakuwa hatari kwa usalama na ustawi wa taifa(ukweli CCM wanajua nguvu ya huyu mwamba)

Mwisho, Serikali atakuwa ndo looser kwenye hii kesi.

So Mbowe relax muda utaamua
Ccm ilishakufa zaman kimebaki kikundi fulani cha watu wanalinda maslai yao kwa kutumia plc mbowe atakuw huru tu na katiba mpya itapapatikana
 
Mods please msifute huu Uzi

Shortly hii kesi inaenda kuivua nguo serikali ya SSH, inenda kuwavua nguo kina DPP, IGP na DCI.

Kwanini Mbowe hana Cha kupoteza katika hii kesi

1. Kama Mbowe atafutiwa kesi na DPP basi jamaa(Mbowe) atakuwa amepata popularity ya kutosha ndani na nje ya nchi,pili itampa kiburi zaidi Cha kuendelea kudai katiba mpya kwa nguvu Sana.

2. Kama wataacha kesi iamuliwe na mahakana na Mbowe kushinda kesi,, itakuwa aibu kubwa kwa Rais na hao wasaidizi wake, na Mbowe anaenda kuwa na jeuri zaidi na confidence ya kuendelea kudai katiba mpya.

3. Kama wakiamua kumuhukumu Mbowe, Kesi ya ugaidi ni kubwa itabidi Mbowe afungwe miaka 30 jera au kunyongwa. Hapa ni pagumu Sana sahivi serikali ina pressure kubwa Sana kutoka ndani na nje ya nchi,, kutokana na kushikiliwa kwa Mbowe,,,so wakimuhuku 30yrs au wakimnyonga itakuwa hatari kwa usalama na ustawi wa taifa(ukweli CCM wanajua nguvu ya huyu mwamba)

Mwisho, Serikali atakuwa ndo looser kwenye hii kesi.

So Mbowe relax muda utaamua
Ni kweli hii kesi yuko kwenye ni win-win-win situation. Wamefanya makosa kumpa kesi ya Ugaidi na kuitangazia Dunia Tanzania sio nchi salama.

Only downside for him, ni kukaa ndani, kupotezewa muda, posibility ya kuumwa au kufariki hakuna faida yoyote kwa upande wa serikali.

Akiumwa au Kufariki, itaongeza pressure kubwa sana kwa serikali hii. Hawakufikiria vizuri uamuzi wa kumfungulia kesi ya ugaidi.
 
Mbowe hana cha kupoteza??? Nafikiri umeandika bila kutumia akili vizur. So let me bring you to the point. Mbowe ana vingi vya kupoteza ikiwemo uenyekiti wake ambao umegharimu baadhi ya maisha ya watu akiwemo Chacha wangwe, Ben saa8 kupotea ktk mazingira ya kutatanisha kisa tu alimshauri jamaa ang'atuke ili kupisha wenye mawazo mbadala waendeshe chama kwan yey alikuwa ashaanza kupwaya katika uongozi na kutoa boko mbali mbali (kumleta Lowasa kwa malipo madogo agombee) zilizosaidia adui kupata ushindi mnono mwaka 2015, Zito kukoswa koswa kulishwa sumu. Lkn pia ataingia hasara ya kuwalipa wanasheria ili aweze kushinda kesi ambayo pengine hapo baadae hatokuja kushinda. Kuhusu hao mabeberu sahau. Hao wazungu hawawezi kumpigania mtu kama wanaona maslahi yao yapo pale pale kupitia serikali iliyopo. Kwahiyo chakupoteza anacho ndo maana kila siku watu wanapambana ili aaachiwe.
Taifa linapotea KWa kuwa wengi wetu ,akili zimefungiwa mwisho wa reli, alafu mwili upo sehem nyingine,

That's watu wengi uwezo wa kufikili Mambo madogo inakua shida,

Leo yapo mengi ya kutuliza, labda MOJA , Waliomchalaza Mbunge, risasi 36 ni magaidi au sio magaidi?
Na je wako wapi?
 
Back
Top Bottom