KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Yani kuna majibu mengine sijui watu mmeweka nini kichwaniUmri wake,Kazi zake he has nothing and Nothing cha kupoteza!!..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani kuna majibu mengine sijui watu mmeweka nini kichwaniUmri wake,Kazi zake he has nothing and Nothing cha kupoteza!!..
mb na rahisi kuliko ya kubaka!mpeni kichwa tu anapata shida nyie mko nje mnampa matumaini yaliyokufa?kesi ngumu hiyo usiione ndogo
we ni maiti ndani ya kaburiRubbish nyuma ya keyboards
Kwa hiyo hao wavuta unga na wezi wa masufuri ndiyo mashahidi siyo....!!Wale wavuta unga kuwatuma wakalipue vituo vya mafuta unahitaji kuwapa sh ngapi wale wezi wa masufuria na sidiria za akina Mama?
Nimachokiona kwenye mission nyingi za chama tawala ni kwamba huwa hawawazi consequences za hiyo mission, kuna mission unapanga lkn mwisho wa siku inakuvua nguo na kudharirisha kabisa taasisi.Kwa ufupi ni kuwa hii kesi inaenda kuivua nguo serikali ya Samia Suluhu, inenda kuwavua nguo kina DPP, IGP na DCI.
Kwanini Mbowe hana cha kupoteza katika hii kesi
1. Kama Mbowe atafutiwa kesi na DPP basi jamaa(Mbowe) atakuwa amepata popularity ya kutosha ndani na nje ya nchi,pili itampa kiburi zaidi Cha kuendelea kudai katiba mpya kwa nguvu Sana.
2. Kama wataacha kesi iamuliwe na mahakana na Mbowe kushinda kesi,, itakuwa aibu kubwa kwa Rais na hao wasaidizi wake, na Mbowe anaenda kuwa na jeuri zaidi na confidence ya kuendelea kudai katiba mpya.
3. Kama wakiamua kumuhukumu Mbowe, Kesi ya ugaidi ni kubwa itabidi Mbowe afungwe miaka 30 jela au kunyongwa. Hapa ni pagumu sana sasa hivi Serikali ina pressure kubwa sana kutoka ndani na nje ya nchi kutokana na kushikiliwa kwa Mbowe so wakimuhukumu 30yrs au wakimnyonga itakuwa hatari kwa usalama na ustawi wa taifa(ukweli CCM wanajua nguvu ya huyu mwamba)
Mwisho, Serikali atakuwa ndo looser kwenye hii kesi.
So Mbowe relax muda utaamua
🤣🤣🤣 USD 300. Marekani class ya pombe ni usd 50 nikingia bar na wanangu tukawa watu watatu tumesha kuwa magaidi kwa mtonyo huo.Kesi ni uhuni mtupu.
Hivi hata huko nje mtu akisikia Ugaidi umekuwasponsored kwa laki 6 (USD 300) si ni kichekesho cha mwaka.
Na kama wana RB ilitolewa lini na kwanini hakukamatwa tika kipindi hichoKesi imetengenezwa ili kuhamisha attention ya watu itoke kwa Sabaya ihamie kwa Mbowe, Sabaya akihojiwa anasema ana maadui wa kisiasa, huku Kisutu wanasema Mbowe alimsababishia Sabaya majeraha, hayo majeraha waliwahi kuripoti polisi? wana RB?
Hapa naona kuna mchezo unachezwa na waendesha mashtaka wa serikali, kwenye hukumu ya hizi kesi mbili majibu yatapatikana, ni kama vile huyu akiachiwa na yule aachiwe, au huyu akifungwa na yule afungwe, simply wamejaribu ku-divert mind za watu kwa kucheza nazo.
Unajua Kuna wakati unakaribisha matatizo kwako na familia yako.Mbowe hana cha kupoteza??? Nafikiri umeandika bila kutumia akili vizur. So let me bring you to the point. Mbowe ana vingi vya kupoteza ikiwemo uenyekiti wake ambao umegharimu baadhi ya maisha ya watu akiwemo Chacha wangwe, Ben saa8 kupotea ktk mazingira ya kutatanisha kisa tu alimshauri jamaa ang'atuke ili kupisha wenye mawazo mbadala waendeshe chama kwan yey alikuwa ashaanza kupwaya katika uongozi na kutoa boko mbali mbali (kumleta Lowasa kwa malipo madogo agombee) zilizosaidia adui kupata ushindi mnono mwaka 2015, Zito kukoswa koswa kulishwa sumu. Lkn pia ataingia hasara ya kuwalipa wanasheria ili aweze kushinda kesi ambayo pengine hapo baadae hatokuja kushinda. Kuhusu hao mabeberu sahau. Hao wazungu hawawezi kumpigania mtu kama wanaona maslahi yao yapo pale pale kupitia serikali iliyopo. Kwahiyo chakupoteza anacho ndo maana kila siku watu wanapambana ili aaachiwe. JIWE GIZANI LITAKUJA NA MREJESHO wa KELELE.
Thank you for your advice mkuu, lkn kuwaza kuwa jamaa hana cha kupoteza ni kujifariji kwa mleta mada.Unajua Kuna wakati unakaribisha matatizo kwako na familia yako.
Ukiambiwa utoe ushahidi alipo Ben. Saanane na ni kwa namna gani Mbowe alisababisha kifo Cha wangwe unaweza thibitisha?
Polisi wanaweza kukushikilia mpaka useme ukweli unaoujua.
Mdomo uliponza kichwa
Labda wamnyonge huyo macho kumchuzi,yani badala ya kutumia ubongo kufikiri lenyewe linatumia macho yake kuropoka kua ushahidi upo...ccm,policeccm,igp,dpp,dgtiss,mcherengwa ambae yupo kwa hisani ya mama mkweKwa ufupi ni kuwa hii kesi inaenda kuivua nguo serikali ya Samia Suluhu, inenda kuwavua nguo kina DPP, IGP na DCI.
Kwanini Mbowe hana cha kupoteza katika hii kesi
1. Kama Mbowe atafutiwa kesi na DPP basi jamaa(Mbowe) atakuwa amepata popularity ya kutosha ndani na nje ya nchi,pili itampa kiburi zaidi Cha kuendelea kudai katiba mpya kwa nguvu Sana.
2. Kama wataacha kesi iamuliwe na mahakana na Mbowe kushinda kesi,, itakuwa aibu kubwa kwa Rais na hao wasaidizi wake, na Mbowe anaenda kuwa na jeuri zaidi na confidence ya kuendelea kudai katiba mpya.
3. Kama wakiamua kumuhukumu Mbowe, Kesi ya ugaidi ni kubwa itabidi Mbowe afungwe miaka 30 jela au kunyongwa. Hapa ni pagumu sana sasa hivi Serikali ina pressure kubwa sana kutoka ndani na nje ya nchi kutokana na kushikiliwa kwa Mbowe so wakimuhukumu 30yrs au wakimnyonga itakuwa hatari kwa usalama na ustawi wa taifa(ukweli CCM wanajua nguvu ya huyu mwamba)
Mwisho, Serikali atakuwa ndo looser kwenye hii kesi.
So Mbowe relax muda utaamua
Anaishi kwa dada yakeUmejibu kilevi sana.
Kesi ya mbowe na sabaya Ni za kisiasa tunaangalia njia nzuri ya kuwaachia mda si mwingi😂😂😂😂😂😊😂😂😂Kwa ufupi ni kuwa hii kesi inaenda kuivua nguo serikali ya Samia Suluhu, inenda kuwavua nguo kina DPP, IGP na DCI.
Kwanini Mbowe hana cha kupoteza katika hii kesi
1. Kama Mbowe atafutiwa kesi na DPP basi jamaa(Mbowe) atakuwa amepata popularity ya kutosha ndani na nje ya nchi,pili itampa kiburi zaidi Cha kuendelea kudai katiba mpya kwa nguvu Sana.
2. Kama wataacha kesi iamuliwe na mahakana na Mbowe kushinda kesi,, itakuwa aibu kubwa kwa Rais na hao wasaidizi wake, na Mbowe anaenda kuwa na jeuri zaidi na confidence ya kuendelea kudai katiba mpya.
3. Kama wakiamua kumuhukumu Mbowe, Kesi ya ugaidi ni kubwa itabidi Mbowe afungwe miaka 30 jela au kunyongwa. Hapa ni pagumu sana sasa hivi Serikali ina pressure kubwa sana kutoka ndani na nje ya nchi kutokana na kushikiliwa kwa Mbowe so wakimuhukumu 30yrs au wakimnyonga itakuwa hatari kwa usalama na ustawi wa taifa(ukweli CCM wanajua nguvu ya huyu mwamba)
Mwisho, Serikali atakuwa ndo looser kwenye hii kesi.
So Mbowe relax muda utaamua
Aliyemuua Ben saa8 anafahamika kuwa Ni Paulo nakonda,Ally Happpy, Alexander mnyetiii,Mbowe hana cha kupoteza??? Nafikiri umeandika bila kutumia akili vizur. So let me bring you to the point. Mbowe ana vingi vya kupoteza ikiwemo uenyekiti wake ambao umegharimu baadhi ya maisha ya watu akiwemo Chacha wangwe, Ben saa8 kupotea ktk mazingira ya kutatanisha kisa tu alimshauri jamaa ang'atuke ili kupisha wenye mawazo mbadala waendeshe chama kwan yey alikuwa ashaanza kupwaya katika uongozi na kutoa boko mbali mbali (kumleta Lowasa kwa malipo madogo agombee) zilizosaidia adui kupata ushindi mnono mwaka 2015, Zito kukoswa koswa kulishwa sumu. Lkn pia ataingia hasara ya kuwalipa wanasheria ili aweze kushinda kesi ambayo pengine hapo baadae hatokuja kushinda. Kuhusu hao mabeberu sahau. Hao wazungu Ali kumpigania mtu kama wanaona maslahi yao yapo pale pale kupitia serikali iliyopo. Kwahiyo chakupoteza anacho ndo maana kila siku watu wanapambana ili aaachiwe. JIWE GIZANI LITAKUJA NA MREJESHO wa KELELE.
Ushahid upo wa kutosha.Mbowe anafungwa thirty years.Kwa ufupi ni kuwa hii kesi inaenda kuivua nguo serikali ya Samia Suluhu, inenda kuwavua nguo kina DPP, IGP na DCI.
Kwanini Mbowe hana cha kupoteza katika hii kesi
1. Kama Mbowe atafutiwa kesi na DPP basi jamaa(Mbowe) atakuwa amepata popularity ya kutosha ndani na nje ya nchi,pili itampa kiburi zaidi Cha kuendelea kudai katiba mpya kwa nguvu Sana.
2. Kama wataacha kesi iamuliwe na mahakana na Mbowe kushinda kesi,, itakuwa aibu kubwa kwa Rais na hao wasaidizi wake, na Mbowe anaenda kuwa na jeuri zaidi na confidence ya kuendelea kudai katiba mpya.
3. Kama wakiamua kumuhukumu Mbowe, Kesi ya ugaidi ni kubwa itabidi Mbowe afungwe miaka 30 jela au kunyongwa. Hapa ni pagumu sana sasa hivi Serikali ina pressure kubwa sana kutoka ndani na nje ya nchi kutokana na kushikiliwa kwa Mbowe so wakimuhukumu 30yrs au wakimnyonga itakuwa hatari kwa usalama na ustawi wa taifa(ukweli CCM wanajua nguvu ya huyu mwamba)
Mwisho, Serikali atakuwa ndo looser kwenye hii kesi.
So Mbowe relax muda utaamua
Mbowe amehusika sana na vifo :Kifo cha Chachawangwe,kutaka kumpa Sumu Zitto.Pale ofisini kuna watu walipewa sumu,kwa kuwa walimuunga mkono Zitto.Ushahid upo lazima afungwe tu.Aliyemuua Ben saa8 anafahamika kuwa Ni Paulo nakonda,Ally Happpy, Alexander mnyetiii,
Gharama ya kufadhiri ugaidi laki Sita kweli?Mbowe hana cha kupoteza??? Nafikiri umeandika bila kutumia akili vizur. So let me bring you to the point. Mbowe ana vingi vya kupoteza ikiwemo uenyekiti wake ambao umegharimu baadhi ya maisha ya watu akiwemo Chacha wangwe, Ben saa8 kupotea ktk mazingira ya kutatanisha kisa tu alimshauri jamaa ang'atuke ili kupisha wenye mawazo mbadala waendeshe chama kwan yey alikuwa ashaanza kupwaya katika uongozi na kutoa boko mbali mbali (kumleta Lowasa kwa malipo madogo agombee) zilizosaidia adui kupata ushindi mnono mwaka 2015, Zito kukoswa koswa kulishwa sumu. Lkn pia ataingia hasara ya kuwalipa wanasheria ili aweze kushinda kesi ambayo pengine hapo baadae hatokuja kushinda. Kuhusu hao mabeberu sahau. Hao wazungu hawawezi kumpigania mtu kama wanaona maslahi yao yapo pale pale kupitia serikali iliyopo. Kwahiyo chakupoteza anacho ndo maana kila siku watu wanapambana ili aaachiwe. JIWE GIZANI LITAKUJA NA MREJESHO wa KELELE.
Inategemea na aina ya mission mkuugharama ya kufadhiri ugaidi laki Sita kweli?
iyo mission kama watatumia mikasi na viwembe laki 6 sawa,, bado chakula, mavazi, usafiri na pesa ya kuwalipa inatoka wapi?Inategemea na aina ya mission mkuu