Ujamaa ni mhimu
JF-Expert Member
- Sep 30, 2022
- 1,203
- 1,011
Unaogopaje kama wewe ni kamanda?? Acha utapeliii.Kila kitu lazima kiwe na kiongozi imara. Uoga wa watanzania, mi mi na wewe kuogopa risasi, kufungwa jela, kifo etc hatuwezi kutoboa bila kuwa na watu shupavu, wasio woga kama Mbowe..