Mbowe haondoki kwenye Uenyekiti mpaka tupate Katiba Mpya na Tume huru

Mbowe haondoki kwenye Uenyekiti mpaka tupate Katiba Mpya na Tume huru

Chadema inapaswa kuwa chama chenye mtazamo, misimamo, sera na fikra mbadala.

Kama chadema itakuwa inaakisi kinachofanywa na ccm basi uwepo wake utakuwa hauna maana.

Tunatarajia chadema iwe tofauti na ccm.
Kwako nikweli huoni KATIBA ni ajenda kubwa Sana na kipekee

Kwasababu ajenda zote za chadema walizoibua siku zanyuma huko huzimwa na katiba iliyopo kupitia UCHAGUZI ,nadhani sasa chadema imekuja na mwarobaini wa chazo kikuu kinachokwamishaga wasiingie ikulu

Ukiachana na hilo juu ,hujanipa nilichoomba kufahamishwa chadema inawezekana ikawa na TISs wanaofanya KAZI na chadema ?

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Chadema inapaswa kuwa chama chenye mtazamo, misimamo, sera na fikra mbadala.

Kama chadema itakuwa inaakisi kinachofanywa na ccm basi uwepo wake utakuwa hauna maana.

Tunatarajia chadema iwe tofauti na ccm.
well said
 
Vipi kuhusu Zittow, wa Jina wako?

Asingebadilika yule ndumilakuwili?
Dr Slaa Alisha groom Zitto na Mnyika kuwa Mwenyekiti na Katibu Mkuu. Sema tu Zitto alikua na haraka haraka Sasa kakosa yote angebakia CHADEMA angekua popular kuliko hata Lissu au Mbowe angekua ndio sura ya chama na mgombea Urais.

Sema ndio hivo tamaa ilimponza fisi
 
Yaani unalitetea dikiteta na uaji? Eti kwenye peak!!!
Kamuua nani? Hivi aue angekua uraiani? CCM walimfunga kisa uchochezi ndio sembuse mauaji?

Alafu udikteta gani kafanya? Mara ngapi kakiri kuzidiwa nguvu na kamati kuu?
 
Dr Slaa Alisha groom Zitto na Mnyika kuwa Mwenyekiti na Katibu Mkuu. Sema tu Zitto alikua na haraka haraka Sasa kakosa yote angebakia CHADEMA angekua popular kuliko hata Lissu au Mbowe angekua ndio sura ya chama na mgombea Urais.

Sema ndio hivo tamaa ilimponza fisi
Ndo nafasi ya mkt shilingi isichezewe kwenye Tundu la choo.
 
Hapana, Lisu kila mmoja anamkubali
Sio kweli, wale moderates wanamhofia Lissu maana havumilii ujinga so chama kitakua hakiishi migogoro na kufukuzana Kila siku.

Hata Dr Slaa alifaa ukatibu sio uenyekiti, yaani lazima mwenyekiti awe mtu neutral siyo radical au laissez-faire ila moderate kitu ambacho Mbowe ameweza sana ndio maana chama kimevuka migogoro mikubwa bila kupasuka ila ingekua Lissu angesema tu "fukuza wote".

Having said this, mtu anayefaa uenyekiti ni Heche, ila Lissu atafaa ukatibu mkuu maana chama kitapaa sana then Mnyika sababu ni moderate awe makamu mwenyekiti bara that's it.

Yule singe Benson awe Katibu muenezi kuliko yule Mremba ambaye mambo ya uenezi hawezi kabisa.
 
Mbowe hawezi kuiga Uj*nga. Point ni kuwa Mwendazake alikuwa dikteta kama ulivyotolea mfano katika comment yako.
Siyo hawezi kuiga tu, katekeleza kabisa wakati Mwendazake hakufanya hayo. Mbowe ni dikteta zaidi ya Mwendazake.
 
Sio kweli, wale moderates wanamhofia Lissu maana havumilii ujinga so chama kitakua hakiishi migogoro na kufukuzana Kila siku.

Hata Dr Slaa alifaa ukatibu sio uenyekiti, yaani lazima mwenyekiti awe mtu neutral siyo radical au laissez-faire ila moderate kitu ambacho Mbowe ameweza sana ndio maana chama kimevuka migogoro mikubwa bila kupasuka ila ingekua Lissu angesema tu "fukuza wote".

Having said this, mtu anayefaa uenyekiti ni Heche, ila Lissu atafaa ukatibu mkuu maana chama kitapaa sana then Mnyika sababu ni moderate awe makamu mwenyekiti bara that's it.

Yule singe Benson awe Katibu muenezi kuliko yule Mremba ambaye mambo ya uenezi hawezi kabisa.
Heche hana commanding heights, ie hana natural acceptance by the mass. Ni mzuri sana kujenga hoja, but kuna ile kitu inaitwa spontaneous love and acceptance ambayo nadhani Lisu anayo hata kwenye chama chake.

Anyway, andiko lako lina mashiko sana, .......
 
Sio kweli, wale moderates wanamhofia Lissu maana havumilii ujinga so chama kitakua hakiishi migogoro na kufukuzana Kila siku.

Hata Dr Slaa alifaa ukatibu sio uenyekiti, yaani lazima mwenyekiti awe mtu neutral siyo radical au laissez-faire ila moderate kitu ambacho Mbowe ameweza sana ndio maana chama kimevuka migogoro mikubwa bila kupasuka ila ingekua Lissu angesema tu "fukuza wote".

Having said this, mtu anayefaa uenyekiti ni Heche, ila Lissu atafaa ukatibu mkuu maana chama kitapaa sana then Mnyika sababu ni moderate awe makamu mwenyekiti bara that's it.

Yule singe Benson awe Katibu muenezi kuliko yule Mremba ambaye mambo ya uenezi hawezi kabisa.
Kama Waitara aliyetairiwa bila ganzi alifika Bei, hata Heche simuamini maana njaa Haina bouncer.

Mkt atosha, mission is not completed yet.
 
Heche simuamini
Hapana, Heche is tested and proved loyal. Wakati wake Bavicha ilipaa sana na imezalisha sio tu wanasiasa wa upinzani wengi ila mpaka manaibu waziri.

HECHE pia ataizatiti CHADEMA Kanda ya ziwa maana Mara imekua ikiongoza kuunga mkono harakati za CHADEMA so kupeleka kiti kule Kuna impact zaidi.

On the contrary, waitara ni mhuni tu hata 2010 aliuza Jimbo la tarime na 2015 alikua amekubali pesa za Jerry Slaa ila nguvu ya umma ikazuia hilo.

So hakuwahi kuwa loyal so asingeweza fikiriwa nafasi nyeti kama hiyo.
 
Hapana, Heche is tested and proved loyal. Wakati wake Bavicha ilipaa sana na imezalisha sio tu wanasiasa wa upinzani wengi ila mpaka manaibu waziri.

HECHE pia ataizatiti CHADEMA Kanda ya ziwa maana Mara imekua ikiongoza kuunga mkono harakati za CHADEMA so kupeleka kiti kule Kuna impact zaidi.

On the contrary, waitara ni mhuni tu hata 2010 aliuza Jimbo la tarime na 2015 alikua amekubali pesa za Jerry Slaa ila nguvu ya umma ikazuia hilo.

So hakuwahi kuwa loyal so asingeweza fikiriwa nafasi nyeti kama hiyo.
If that is the case Kwa Heche, Apewe ukatibu mkuu kama Mnyika amepoa.
 
Nakazia tu alichokisema mtu humu JF, kama Kitila na Zitto Kabwe wangelifanikwa kumng'oa Mbowe kwenye uenyekiti, CHADEMA lingekuwa Tawi la CCM. Rabbon

Kwa muktadha huo, Mbowe haondoki kwenye uenyekiti mpaka tupate katiba Mpya na Tume huru!

Take Note: Wenye uwezo CHADEMA ni wengi. Lissu, Heche, Lema, Msigwa and many others, lakini ngoja awepo awepo kukamilisha safari aliyoianzisha ya demokrasi at national level government.
Erythrocyte
NAUNGA MKONO HOJA
 
Si Mbowe tu. Viongozi karibu wote wa upinzani ni madikteta wakubwa. Ni viongozi wa maisha kwenye vyama vyao. Hii ni moja ya sababu hakuna mtu mwenye akili zake atawachukulia wapinzani serious nchi hii.
unataka wawekwe wa kununuliwa kama lipumba? hakuna
 
Lipumba, Mbowe, Zitto, Mtikila, Mbatia et wanatofauti gani?
Kama huoni tofauti, basi muulize Wasira, think tank wenu
1691257613301.png
 
Kwa haraka haraka unaweza kudhani cdm ni chama makini, Ila ukituliza akili na ukaondoa mihemko utabaini ni chama kinachoendeshwa na wahuni wenye target zao Binafsi.

Wanayohubiri kuyataka yafanyike kitaifa yamewashinda wao ndani ya chama.

% kubwa ya Wafuasi wao ni vijana ambao bado wanamihemko ya ujana pia ni watu wenye kipato kidogo, hawa ni rahisi sana kuwaendesha unavyotaka, wakikukubali hawanaga muda wa kukukosoa wala kuhoji.
 
Kwa haraka haraka unaweza kudhani cdm ni chama makini, Ila ukituliza akili na ukaondoa mihemko utabaini ni chama kinachoendeshwa na wahuni wenye target zao Binafsi.

Wanayohubiri kuyataka yafanyike kitaifa yamewashinda wao ndani ya chama.

% kubwa ya Wafuasi wao ni vijana ambao bado wanamihemko ya ujana pia ni watu wenye kipato kidogo, hawa ni rahisi sana kuwaendesha unavyotaka, wakikukubali hawanaga muda wa kukukosoa wala kuhoji.
Sajili chama mbadala wa CDM kinachokidhi vigezo vyako tukuunge mkono🙏🙏
 
Back
Top Bottom