Mbowe haondoki kwenye Uenyekiti mpaka tupate Katiba Mpya na Tume huru

Mbowe haondoki kwenye Uenyekiti mpaka tupate Katiba Mpya na Tume huru

Japo Mbowe bado anaonekana ana nguvu, mvuto, na kuaminiwa na wengi, hasa baada ya kufuta zile kelele za amelamba asali kwa kumtandika Samia na kitu kizito kichwani mpaka CCM wote wakaanza kulia...

Lakini kwa upande mwingine naona akiwepo mwenyekiti mpya aongoze Chadema mambo hayataharibika pia, anaweza kuja na ari mpya itakayokisukuma chama kusonga mbele zaidi, option zote mbili kwangu naziona sawa tu.
Kijana ulikuwa na misimamo thabiti juu ya mwenyekiti na genge lake, mpaka chawa wa Mbowe walikuwa wakiona comment yako inayozungumzia uenyekiti wa Mbowe wanaichungulia kwa mbali na kuipita kama Hawaioni.

Lakini sasa kama waswahili wanavyosema kuwa hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Kijana umelainika na mikwara ya jukwaani na kukubali kuwekwa mfukoni kwake.
 
Silinde angeukwaa uenyekiti na kununuliwa, je CDM ingekuwapo?
Sense of responsibility ingemzuia, hata Mbowe kuna vitu alitamani compromise mfano maridhiano, wabunge viti Maalum, serikali ya mseto n.k ila kamati kuu ikamjia juu ikabidi apotezee so hata SILINDE angekua mwenyekiti angekua loyal sio sababu anaipenda sana CHADEMA ila level ya majukumu aliyonayo ingemforce hivyo.
 
Kijana ulikuwa na misimamo thabiti juu ya mwenyekiti na genge lake, mpaka chawa wa Mbowe walikuwa wakiona comment yako inayozungumzia uenyekiti wa Mbowe wanaichungulia kwa mbali na kuipita kama Hawaioni.

Lakini sasa kama waswahili wanavyosema kuwa hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Kijana umelainika na mikwara ya jukwaani na kukubali kuwekwa mfukoni kwake.
Acha uongo,

Mbowe Hana mfuko mkubwa kiasi hicho kutununua.

Misimamo yetu ni Kwa utashi wetu.
 
Sense of responsibility ingemzuia, hata Mbowe kuna vitu alitamani compromise mfano maridhiano, wabunge viti Maalum, serikali ya mseto n.k ila kamati kuu ikamjia juu ikabidi apotezee so hata SILINDE angekua mwenyekiti angekua loyal sio sababu anaipenda sana CHADEMA ila level ya majukumu aliyonayo ingemforce hivyo.
Vipi kuhusu Zittow, wa Jina wako?

Asingebadilika yule ndumilakuwili?
 
Dikiteta mbowe
Mwanademokrasia Nyerere muasisi wa Tanu na CCM,

Alikaa nafasi ya uenyekiti maisha yake yote.

Mbeba Dira ya chama, ni kosa kubwa sana kuwaachia wengine kabla ya kuaccomplish mission.
 
Nakazia tu alichokisema mtu humu JF, kama Kitila na Zitto Kabwe wangelifanikwa kumng'oa Mbowe kwenye uenyekiti, CHADEMA lingekuwa Tawi la CCM. Rabbon

Kwa muktadha huo, Mbowe haondoki kwenye uenyekiti mpaka tupate katiba Mpya na Tume huru!

Take Note: Wenye uwezo CHADEMA ni wengi. Lissu, Heche, Lema, Msigwa and many others, lakini ngoja awepo awepo kukamilisha safari aliyoianzisha ya demokrasi at national level government.
Erythrocyte
Eee!! Yamekuwa hayo tena!?
 
Mbowe Si Dikteta,

Ndomana halazimishi kugombea urais, anawaachia wengine Yeye anaimarisha chama.

Mbowe ni MZALENDO, aungwe mkono.
Mbowe ni jizi, jambazi, uaji, dikiteta, muhuni, mlevi, shetani, ibilisi, kengeza, gaidi, etc linatakiwa kuwa gerezani likitumikia kifungo cha maisha au likisubiri kunyongwa na kufa kabisa
 
Ni hatari sana Mbowe kuwa na nguvu na mizizi kiasi hiki siku akidondoka ghafla kama JPM itatokea power struggle kubwa mnoo haijawahi shuhudiwa kwenye mfumo wa vyama vingi.

Ni vizuri ang'atuke akiwa kwenye peak Ili apatikane mrithi aweze mfanyia mentorship na kumrekebisha akiwa bado ana nguvu sio mpaka azidiwe na uzee ndio tuanze kuokoteza mwenyekiti.

Hii nafasi alikua anafaa sana SILINDE kabla ya kutoroka ila Kwa Sasa anafaa HECHE aisee CHADEMA itakua ya moto sana.

Mbowe apumzike asisubiri atolewe kwa aibu kama Mbatia au Lipumba!!
Chadema imesukika na kusukwa hata Mbowe akiondoka leo ile chama haiwezi pata shida ina watu na wametengeza watu ila structure yao ya uongonzi sio ya mchezo
 
Mkuu katika event Mbowe kaugua sana au bahati mbaya kafariki (MUNGU aepushe) hivi unadhani chama hakitopasuka kwenye kusaka mrithi?
Hapana, Lisu kila mmoja anamkubali.....atashik usukani vema kabisa. Kuna watu waliokataa kuongwa mamilioni na magufuli, hao hawawezi kugombea madaraka..... Mtu aliitiwa several bilions akakataa, leo agombee uenyekiti NEVER! Erythrocyte naomba maoni yako
 
Ni hatari sana Mbowe kuwa na nguvu na mizizi kiasi hiki siku akidondoka ghafla kama JPM itatokea power struggle kubwa mnoo haijawahi shuhudiwa kwenye mfumo wa vyama vingi.

Ni vizuri ang'atuke akiwa kwenye peak Ili apatikane mrithi aweze mfanyia mentorship na kumrekebisha akiwa bado ana nguvu sio mpaka azidiwe na uzee ndio tuanze kuokoteza mwenyekiti.

Hii nafasi alikua anafaa sana SILINDE kabla ya kutoroka ila Kwa Sasa anafaa HECHE aisee CHADEMA itakua ya moto sana.

Mbowe apumzike asisubiri atolewe kwa aibu kama Mbatia au Lipumba!!
Yaani unalitetea dikiteta na uaji? Eti kwenye peak!!!
 
Hivi nijibuni maana hua sielewi

Brother freeman aikael mbowe ni jasusi au Kuna kikundi Cha wanaTiss nchini wanafanya KAZI za chadema ?

Haiwezekani ,mapandikizi yote hudondokea pua au Mtangeneza katiba tundu Lisu ndie alikarabati uimara wa Chama na misingi yake

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Hapana. Cha muhimu uchaguzi wa kumpata mwenyekiti ufanyike. Watu tofauti wagombee akiwemo na Mbowe mwenyewe. Mbowe akishinda kinyang'anyiro aendelee lkn akishindwa asepe.

Siyo suala lenye afya kwa demokrasia kuamini kuwa mtu fulani akiondoka ktk chama basi chama kitakufa.

Ni jukumu la chama kujenga mifumo imara ya kuachiana kijiti huku chama kikiendelea kuwa imara.

Kinyume na hapo tutajenga ufalme, udikteta na umilikaji wa chama pasipo kujua.
Unafahamu kwamba nafasi ya mwenyekiti wa ccm ni ya kudumu (achana na jina la anayekuwa mwenyekiti nasema nafasi )

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Unafahamu kwamba nafasi ya mwenyekiti wa ccm ni ya kudumu (achana na jina la anayekuwa mwenyekiti nasema nafasi )

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Chadema inapaswa kuwa chama chenye mtazamo, misimamo, sera na fikra mbadala.

Kama chadema itakuwa inaakisi kinachofanywa na ccm basi uwepo wake utakuwa hauna maana.

Tunatarajia chadema iwe tofauti na ccm.
 
Back
Top Bottom