Mbowe: Hata wa serikalini hawaukubali mkataba wa DPW

Mbowe: Hata wa serikalini hawaukubali mkataba wa DPW

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857


Akiongea na watanzania walioko Marekani, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema suala la mktaba wa Tanzania na DPW ni suala ambalo hata watu wa serikalini hawalipendi.

Akijibu swali la mmoja wa washiriki wa mkutano huo amesema amepata simu kutoka kwa watu wa usalama wa Taifa na serikali wakisema suala la kupaza sauti lifanywe na upinzani kwa kuwa walioko serikalini hawawezi kupaza sauti ambapo itakuwa ni sawa na kupinga maazimio ya serikali.

Mbowe amesema mtu yoyote mwenye akili timamu anajua mkataba wa DPW una tatizo kubwa lakini ukihoji wanaleta propaganda kuwa watu ni wabaguzi aidha kwa mlango wa dini au uzanzibar. Hili suala ni zaidi ya masuala ya dini na utanganyika.

Amesema kwa maslahi ya Taifa wanaoona watu wanapinga wasidhani kuwa wanapinga kwa chuki au wivu.
 
Hawa jamaa ni wajinga, Katiba mpya huwa inalazimishwa na haiji kwa hiari hata siku moja, mtasubiri mpaka mchoke, lkn kwa hiari hakuna Katiba mpya, ukiniuliza mimi kwanza mmeshapoteza chuma hukunjwa kikiwa cha moto mmeshasubiri mambo yameshapoa hivyo hakuna Katiba, mlikuwa na uwezo wa kulazimisha kipindi ambacho kulikuwa na sintofahamu ya raisi mpya mkadanganywa na kuchezewa sasa mambo yameshastabilize hakuna atakaye wasikiliza, kuna sababu kwa nini wamekimbilia Uarabuni wanajinasua na Wazungu, hivyo its too late, mmechelewa, timing is every thing in life, isitoshe upande mwingine pia mmeacha majeraha hivyo ni ngumu kupata sapoti, mmechelewa, …
 
Hawa jamaa ni wajinga, Katiba mpya huwa inalazimishwa na haiji kwa hiari hata siku moja, mtasubiri mpaka mchoke, lkn kwa hiari hakuna Katiba mpya, ukiniuliza mimi kwanza mmeshapoteza chuma hukunjwa kikiwa cha moto mmeshasubiri mambo yameshapoa hivyo hakuna Katiba, mlikuwa na uwezo wa kulazimisha kipindi ambacho kulikuwa na sintofahamu ya raisi mpya mkadanganywa na kuchezewa sasa mambo yameshastabilize hakuna atakaye wasikiliza, kuna sababu kwa nini wamekimbilia Uarabuni wanajinasua na Wazungu, hivyo its too late, mmechelewa, timing is every thing in life, isitoshe upande mwingine pia mmeacha majeraha hivyo ni ngumu kupata sapoti, mmechelewa, …
Ninakubaliana na wewe.
CHADEMA wamepoteza fursa muhimu kuhusu Katiba Mpya.
 
Hawa jamaa ni wajinga, Katiba mpya huwa inalazimishwa na haiji kwa hiari hata siku moja, mtasubiri mpaka mchoke, lkn kwa hiari hakuna Katiba mpya, ukiniuliza mimi kwanza mmeshapoteza chuma hukunjwa kikiwa cha moto mmeshasubiri mambo yameshapoa hivyo hakuna Katiba, mlikuwa na uwezo wa kulazimisha kipindi ambacho kulikuwa na sintofahamu ya raisi mpya mkadanganywa na kuchezewa sasa mambo yameshastabilize hakuna atakaye wasikiliza, kuna sababu kwa nini wamekimbilia Uarabuni wanajinasua na Wazungu, hivyo its too late, mmechelewa, timing is every thing in life, isitoshe upande mwingine pia mmeacha majeraha hivyo ni ngumu kupata sapoti, mmechelewa, …
makuwadi ya warabu waleteni hao warabu tuwaonyeshe nidham kama hawajakimbia wenyewe.
 


Akiongea na watanzania walioko Marekani, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema suala la mktaba wa Tanzania na DPW ni suala ambalo hata watu wa serikalini hawalipendi.

Akijibu swali la mmoja wa washiriki wa mkutano huo amesema amepata simu kutoka kwa watu wa usalama wa Taifa na serikali wakisema suala la kupaza sauti lifanywe na upinzani kwa kuwa walioko serikalini hawawezi kupaza sauti ambapo itakuwa ni sawa na kupinga maazimio ya serikali.

Mbowe amesema mtu yoyote mwenye akili timamu anajua mkataba wa DPW una tatizo kubwa lakini ukihoji wanaleta propaganda kuwa watu ni wabaguzi aidha kwa mlango wa dini au uzanzibar. Hili suala ni zaidi ya masuala ya dini na utanganyika.

Amesema kwa maslahi ya Taifa wanaoona watu wanapinga wasidhani kuwa wanapinga kwa chuki au wivu.

Je wao kama chama wanachukua hatua gani mbali na kupinga tu mitandaoni? Nataka kujua wataenda mahakamani au wataitisha maandamano?
 
Hawa jamaa ni wajinga, Katiba mpya huwa inalazimishwa na haiji kwa hiari hata siku moja, mtasubiri mpaka mchoke, lkn kwa hiari hakuna Katiba mpya, ukiniuliza mimi kwanza mmeshapoteza chuma hukunjwa kikiwa cha moto mmeshasubiri mambo yameshapoa hivyo hakuna Katiba, mlikuwa na uwezo wa kulazimisha kipindi ambacho kulikuwa na sintofahamu ya raisi mpya mkadanganywa na kuchezewa sasa mambo yameshastabilize hakuna atakaye wasikiliza, kuna sababu kwa nini wamekimbilia Uarabuni wanajinasua na Wazungu, hivyo its too late, mmechelewa, timing is every thing in life, isitoshe upande mwingine pia mmeacha majeraha hivyo ni ngumu kupata sapoti, mmechelewa, …
Wewe unajiweka wapi mpuuzi wewe. Kama unaiihitaji si uidai? Ni nani uliyemwajiri adai katiba mpya kwa ajili yako? Uwe na adabu siku nyingine.
 
Hawa jamaa ni wajinga, Katiba mpya huwa inalazimishwa na haiji kwa hiari hata siku moja, mtasubiri mpaka mchoke, lkn kwa hiari hakuna Katiba mpya, ukiniuliza mimi kwanza mmeshapoteza chuma hukunjwa kikiwa cha moto mmeshasubiri mambo yameshapoa hivyo hakuna Katiba, mlikuwa na uwezo wa kulazimisha kipindi ambacho kulikuwa na sintofahamu ya raisi mpya mkadanganywa na kuchezewa sasa mambo yameshastabilize hakuna atakaye wasikiliza, kuna sababu kwa nini wamekimbilia Uarabuni wanajinasua na Wazungu, hivyo its too late, mmechelewa, timing is every thing in life, isitoshe upande mwingine pia mmeacha majeraha hivyo ni ngumu kupata sapoti, mmechelewa, …
Sometimes ni bora kuficha ujinga
 


Akiongea na watanzania walioko Marekani, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema suala la mktaba wa Tanzania na DPW ni suala ambalo hata watu wa serikalini hawalipendi.

Akijibu swali la mmoja wa washiriki wa mkutano huo amesema amepata simu kutoka kwa watu wa usalama wa Taifa na serikali wakisema suala la kupaza sauti lifanywe na upinzani kwa kuwa walioko serikalini hawawezi kupaza sauti ambapo itakuwa ni sawa na kupinga maazimio ya serikali.

Mbowe amesema mtu yoyote mwenye akili timamu anajua mkataba wa DPW una tatizo kubwa lakini ukihoji wanaleta propaganda kuwa watu ni wabaguzi aidha kwa mlango wa dini au uzanzibar. Hili suala ni zaidi ya masuala ya dini na utanganyika.

Amesema kwa maslahi ya Taifa wanaoona watu wanapinga wasidhani kuwa wanapinga kwa chuki au wivu.

Watumishi wa umma kibao hawakubaliani na huo upuuzi

Pili wanasemaga Saa 100 ameshashindwa uongozi
 
Hawa jamaa ni wajinga, Katiba mpya huwa inalazimishwa na haiji kwa hiari hata siku moja, mtasubiri mpaka mchoke, lkn kwa hiari hakuna Katiba mpya, ukiniuliza mimi kwanza mmeshapoteza chuma hukunjwa kikiwa cha moto mmeshasubiri mambo yameshapoa hivyo hakuna Katiba, mlikuwa na uwezo wa kulazimisha kipindi ambacho kulikuwa na sintofahamu ya raisi mpya mkadanganywa na kuchezewa sasa mambo yameshastabilize hakuna atakaye wasikiliza, kuna sababu kwa nini wamekimbilia Uarabuni wanajinasua na Wazungu, hivyo its too late, mmechelewa, timing is every thing in life, isitoshe upande mwingine pia mmeacha majeraha hivyo ni ngumu kupata sapoti, mmechelewa, …
Wewe pia ni mjinga.
Unasubiria uletewe katiba na akina nani?. Wewe umewaunga mkono kiasi gani?.
Useless citizen.
 
Hawa jamaa ni wajinga, Katiba mpya huwa inalazimishwa na haiji kwa hiari hata siku moja, mtasubiri mpaka mchoke, lkn kwa hiari hakuna Katiba mpya, ukiniuliza mimi kwanza mmeshapoteza chuma hukunjwa kikiwa cha moto mmeshasubiri mambo yameshapoa hivyo hakuna Katiba, mlikuwa na uwezo wa kulazimisha kipindi ambacho kulikuwa na sintofahamu ya raisi mpya mkadanganywa na kuchezewa sasa mambo yameshastabilize hakuna atakaye wasikiliza, kuna sababu kwa nini wamekimbilia Uarabuni wanajinasua na Wazungu, hivyo its too late, mmechelewa, timing is every thing in life, isitoshe upande mwingine pia mmeacha majeraha hivyo ni ngumu kupata sapoti, mmechelewa, …
Wewe umelazimisha kiasi gani kupata katiba mpya
 
Back
Top Bottom