Tindikali
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 2,086
- 2,823
bana weee na habari zako za Putin, pita kule!Putin haendi popote.
off topic, somebody futa this baloney off the board please
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bana weee na habari zako za Putin, pita kule!Putin haendi popote.
Kama hujui kuwa siasa ndio inaamua wewe ushije bila kujali kama umejiajili au umeajiliwa, wewe ni inept. Na kuendelea kujibizana na wewe ni kupoteza muda.Unadhani kila mtu ni mwanasiasa anaetegeme siasa kuwa ajira kama hao wajinga wa cdm?
Hizo ni hisia zako. Mkishindwa hoja mnakimbilia Kujificha katika kichaka cha udini na ukabila ili mpate sympathy kutoka kwa wasiojitambua.hata mkimtete huyu mzeeni ni mkabila na ni mdini kupitiliza
Anao ushahidi au anajisemea tu kama ilivyo kawaida yao kubwabwaja
Akiongea na watanzania walioko Marekani, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema suala la mktaba wa Tanzania na DPW ni suala ambalo hata watu wa serikalini hawalipendi.
Akijibu swali la mmoja wa washiriki wa mkutano huo amesema amepata simu kutoka kwa watu wa usalama wa Taifa na serikali wakisema suala la kupaza sauti lifanywe na upinzani kwa kuwa walioko serikalini hawawezi kupaza sauti ambapo itakuwa ni sawa na kupinga maazimio ya serikali.
Mbowe amesema mtu yoyote mwenye akili timamu anajua mkataba wa DPW una tatizo kubwa lakini ukihoji wanaleta propaganda kuwa watu ni wabaguzi aidha kwa mlango wa dini au uzanzibar. Hili suala ni zaidi ya masuala ya dini na utanganyika.
Amesema kwa maslahi ya Taifa wanaoona watu wanapinga wasidhani kuwa wanapinga kwa chuki au wivu.
Kituo kinachofuata ni Geita na Kanda ya ziwa kwa ujumla. Moto utawashwa huko, kwenye siasa the more excitement you create ndio attention itaongezeka siku ukiongea.Fimbo ya mbali haiui nyoka. Hawa jamaa walitakiwa kuwa on the ground wakitetea hoja yao pamoja na vijana walioandamana kuwaunga mkono. Sasa nao wanaanza kuwa kama Vasco da Gama.
Amandla...
Maridhiano ni juu ya sheria sio ufisadi.Wapi maridhiano???🤣🤣🤣
Mkuu kuna mijitu mipuuzi sana. Katiba mpya ni kwajili ya Chadema?? Sijui waliosoma shule za wapi hawa??Wewe unajiweka wapi mpuuzi wewe. Kama unaiihitaji si uidai? Ni nani uliyemwajiri adai katiba mpya kwa ajili yako? Uwe na adabu siku nyingine.
Hakwenda kwa ajili ya huo uongo wakoYeah, pamoja na kwenda kuisalimia watoto wake pia ambao ni raia wa usa
Kwani Katiba ni ya chadema peke yao au ya wananchi wotemakuwadi ya warabu waleteni hao warabu tuwaonyeshe nidham kama hawajakimbia wenyewe.
Akiongea na watanzania walioko Marekani, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema suala la mktaba wa Tanzania na DPW ni suala ambalo hata watu wa serikalini hawalipendi.
Akijibu swali la mmoja wa washiriki wa mkutano huo amesema amepata simu kutoka kwa watu wa usalama wa Taifa na serikali wakisema suala la kupaza sauti lifanywe na upinzani kwa kuwa walioko serikalini hawawezi kupaza sauti ambapo itakuwa ni sawa na kupinga maazimio ya serikali.
Mbowe amesema mtu yoyote mwenye akili timamu anajua mkataba wa DPW una tatizo kubwa lakini ukihoji wanaleta propaganda kuwa watu ni wabaguzi aidha kwa mlango wa dini au uzanzibar. Hili suala ni zaidi ya masuala ya dini na utanganyika.
Amesema kwa maslahi ya Taifa wanaoona watu wanapinga wasidhani kuwa wanapinga kwa chuki au wivu.
😄😄😄😄Hakwenda kwa ajili ya huo uongo wako
CCM dude uchaguzi si unakuja mtapoteana humu, kweli kabisa unadhani Chadema hawa wanaoruka kile dimbwi ndio wapewe nchi? ujinga tu wote njaa tuKwenye huu mkataba wa hovyo ccm imejipaka tindikali
Kwahiyo unashauri Nini kifanyike?CCM dude uchaguzi si unakuja mtapoteana humu, kweli kabisa unadhani Chadema hawa wanaoruka kile dimbwi ndio wapewe nchi? ujinga tu wote njaa tu
Watumishi wa umma kibao hawakubaliani na huo upuuzi
Pili wanasemaga Saa 100 ameshashindwa uongozi
Ukitaka ushauri wangu ni simple sana, wanaotaka katiba mpya wana malengo yao ya wazi fursa ya kuweza kupata madaraka na wanaotaka katiba zamani pia ina maslahi kwao ila hakuna hata mmoja anayetaka katiba mpya kwa ajili ya maendeleo ya nchi, katiba ni muongozo tu wakushindana kisiasa na madaraka shida yetu ni lazima tuwe na sera imara za kiuchumi katika hali ya muendelezo. Sasa kwanini nasema ngumu kuitoa CCM, hata hao wapinzani ni wale tu waliokosa fursa CCM mfano mdogo tu Dr Slaa wa wakati ule wa Chadema na yule aliyekuwa balozi na huyu wa sasa utasema ni watu tofauti hao ndio wapinzani. CCM wamejikita na mizizi yao mikubwa kuanzia nyumba moja moja mpaka mitaa sijui jeshini, usalama wa Taifa wako kila sehemu sasa niambie utawatoa namna gani? kura yako wala sio muhimu wewe kapige tu matokeo wanapanga tu huo ndio ukweli na wakitaka kukupa viti kiasi fulani bungeni wanakupa na wakitaka kuchukua vyote wanachukua tu kama JPM alivyofanya simple...Kwahiyo unashauri Nini kifanyike?
Ni kwa namna gani tutakuwa na sera imara za kiuchumi katika hali ya mwendelezo kama ulivyoshauri wakati watu kama akina king msukuma, mwijaku, babu tale, kibajaj, ndio wasemaji wa CCM iliyojikita mizizi hadi huko ulikotaja huku wakiwa na Elimu ya hapa na pale?Ukitaka ushauri wangu ni simple sana, wanaotaka katiba mpya wana malengo yao ya wazi fursa ya kuweza kupata madaraka na wanaotaka katiba zamani pia ina maslahi kwao ila hakuna hata mmoja anayetaka katiba mpya kwa ajili ya maendeleo ya nchi, katiba ni muongozo tu wakushindana kisiasa na madaraka shida yetu ni lazima tuwe na sera imara za kiuchumi katika hali ya muendelezo. Sasa kwanini nasema ngumu kuitoa CCM, hata hao wapinzani ni wale tu waliokosa fursa CCM mfano mdogo tu Dr Slaa wa wakati ule wa Chadema na yule aliyekuwa balozi na huyu wa sasa utasema ni watu tofauti hao ndio wapinzani. CCM wamejikita na mizizi yao mikubwa kuanzia nyumba moja moja mpaka mitaa sijui jeshini, usalama wa Taifa wako kila sehemu sasa niambie utawatoa namna gani? kura yako wala sio muhimu wewe kapige tu matokeo wanapanga tu huo ndio ukweli na wakitaka kukupa viti kiasi fulani bungeni wanakupa na wakitaka kuchukua vyote wanachukua tu kama JPM alivyofanya simple...
Akiongea na watanzania walioko Marekani, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema suala la mktaba wa Tanzania na DPW ni suala ambalo hata watu wa serikalini hawalipendi.
Akijibu swali la mmoja wa washiriki wa mkutano huo amesema amepata simu kutoka kwa watu wa usalama wa Taifa na serikali wakisema suala la kupaza sauti lifanywe na upinzani kwa kuwa walioko serikalini hawawezi kupaza sauti ambapo itakuwa ni sawa na kupinga maazimio ya serikali.
Mbowe amesema mtu yoyote mwenye akili timamu anajua mkataba wa DPW una tatizo kubwa lakini ukihoji wanaleta propaganda kuwa watu ni wabaguzi aidha kwa mlango wa dini au uzanzibar. Hili suala ni zaidi ya masuala ya dini na utanganyika.
Amesema kwa maslahi ya Taifa wanaoona watu wanapinga wasidhani kuwa wanapinga kwa chuki au wivu.