Mbona sikuelewi unasema nini mkuu 'Dawa'?Yani chadema ipoteze fursa muhimu kuhusu kstiba mpya kisa makuwadi ya warabu yamesema, broad day light dream.
Sasa unataka nikufundishe hata katika jambo dogo hivi?Chadema au Tanzania ukiwamo wewe??huelewi katiba ni yanani?
Umevuta bangi ya Arusha?bana weee na habari zako za Putin, pita kule!
off topic, somebody futa this baloney off the board please
We kiboko aiseh, kwa akili yako umeaminishwa na ukaamin kuwa katiba mpya ni muhimu zaidi kwa chadema kuliko wewe??, we ni tutusa, bumunda etcNinakubaliana na wewe.
CHADEMA wamepoteza fursa muhimu kuhusu Katiba Mpya.
Nadhani umeshindwa kujuwa silaha kuu za CCM ni kina nani? CCM ina wasomi na wasiokuwa wasomi lakini haina maana kuwa msomi ndio labda mtu ana akili kuliko labda mtu mwenye elimu ya kawaida hakuna formula katika maisha, na muheshimu sana mtu aliyefanikiwa kwa elimu ndogo aliyopata lakini tukija kwenye swali lako kama hao uliowataja CCM mtaji wao mkubwa ni watu wachini ndio mtaji wao nchi hii imefikishwa hapa tulipo na wasomi wetu wala sio kina Mwijaku( najuwa kasoma yuko vizuri) hawa kina Msukuma au Babu Tale ni makada wa chama na wamepita njia zao. Nchi hii shida kubwa ni wasomi wetu na Tanzania siku hizi ukitaka kufanikiwa jifanye mjinga tu si unaona kina Mandonga sijui Baba levo jitoe ufahamu tu utapata deals kibao na vijana wanaona na wengi wanatamani kuwa kina Baba Levo sababu kuu wa Tanzania tunafurahia mambo ya kijinga sasa unatizama soko liko wapi umbea basi wanaenda kwenye umbea ndio hali halisi na CCM wanajuwa watu wanapenda nini ndio wanachukuwa haohao.Ni kwa namna gani tutakuwa na sera imara za kiuchumi katika hali ya mwendelezo kama ulivyoshauri wakati watu kama akina king msukuma, mwijaku, babu tale, kibajaj, ndio wasemaji wa CCM iliyojikita mizizi hadi huko ulikotaja huku wakiwa na Elimu ya hapa na pale?
Sasa angalia kiazi kama hiki?We kiboko aiseh, kwa akili yako umeaminishwa na ukaamin kuwa katiba mpya ni muhimu zaidi kwa chadema kuliko wewe??, we ni tutusa, bumunda etc
Ningekujibu ila ushajitukana mwenyewe wenyeakili tushakuelewa wewe niwaaje!!... TubuuokoleweSasa unataka nikufundishe hata katika jambo dogo hivi?
Unabwatuka tu, kwa kutapika unayokariri, ukidhani unao uelewa wa unachokizungumzia?
Kama huelewi nafasi ya CHADEMA katika jamii, hata hiyo katiba kweli unajua inahusu kitu gani?
Sijawahi kukuona wewe, ngoja nikutazame vizuri kama unazo akili za kutosha kupotezea muda wangu kukujibu wewe.
Basi sawa. Kumbe ni kijana uliyebarehe hivi karibuni, hata ndevu hujapata., bado una maruweruwe na hali yako mpya. Nitakuvumilia.
Mbowe na kachanganyikiwa Slaa. Kwa mtu wa kwanza kujadili hili jambo kwa mrengo wa utanganyika na uzanzibar si no yeye mwenyewe. Huyu jamaa kachoka chokile.
Akiongea na watanzania walioko Marekani, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema suala la mktaba wa Tanzania na DPW ni suala ambalo hata watu wa serikalini hawalipendi.
Akijibu swali la mmoja wa washiriki wa mkutano huo amesema amepata simu kutoka kwa watu wa usalama wa Taifa na serikali wakisema suala la kupaza sauti lifanywe na upinzani kwa kuwa walioko serikalini hawawezi kupaza sauti ambapo itakuwa ni sawa na kupinga maazimio ya serikali.
Mbowe amesema mtu yoyote mwenye akili timamu anajua mkataba wa DPW una tatizo kubwa lakini ukihoji wanaleta propaganda kuwa watu ni wabaguzi aidha kwa mlango wa dini au uzanzibar. Hili suala ni zaidi ya masuala ya dini na utanganyika.
Amesema kwa maslahi ya Taifa wanaoona watu wanapinga wasidhani kuwa wanapinga kwa chuki au wivu.
Hao watumishi wa umma ndio mafisadi wakuu wa nchi hii na wengine wananufaika na madudu ya kule bandarini.Watumishi wa umma kibao hawakubaliani na huo upuuzi
Pili wanasemaga Saa 100 ameshashindwa uongozi
Mbowe amesema mtu yoyote mwenye akili timamu anajua mkataba wa DPW una tatizo kubwa