Mbowe hatukutaki tena hilo elewa. Ni ajabu unafanya mahojiano masaa manne hukosoi kabisa utawala wa Samia badala yake unausifia! Madhara ya asali hayo

Mbowe hatukutaki tena hilo elewa. Ni ajabu unafanya mahojiano masaa manne hukosoi kabisa utawala wa Samia badala yake unausifia! Madhara ya asali hayo

😂 😂 Wachaga hawawezi kukubali kuachia saccos yao
 
Mwenyekiti utaharibu, wewe tayari umeshakuwa team Samia tunaomba upumzike ili ulinde heshima yako. Mbona unajionyesha wazi kuwa ulishalamba asali?

Unafanya mahojiano masaa manne huongelei kabisa madhila tuliyopata, huongelei kabisa utaipeleka wapi CHADEMA ukichaguliwa badala yake unaongea tu mahistoria.

Kwamba ukichaguliwa utakuwa unahadithia hayo mahistoria yako kwa kipindi chote cha uongozi?

Eti tusibadilishe general wakati wa vita? Kama tunazidiwa vita tuendelee kukumbatia general aliyejichokea? Ili tuendelee kupigwa?

Sisi tunaona kabisa tunazidiwa vita na wewe General ni moja ya chanzo cha kuzidiwa! Kwamba huoni? Kwanini unang'ang'ania?

Huoni kila mwenye mapenzi mema na CHADEMA anakupinga? Leo utakuwa na tofauti gani na Lipumba? Si huwa anachaguliwa mpaka juzi? CUF yake iko wapi? Huoni kuwa ukiendelea kung'ang'ania unapoteza kundi kubwa la watu wanaohitaji mabadiliko?

Tunaenda kwenye box hatutakuchagua na ukitumia mbinu chafu tutakukabili na zaidi uking'ang'ania basi utafanya kazi na hao machawa wako. Tatizo linaonekana wazi ila unashupaa! Haya endelea kusifia utawala wa Samia. Endelea kutoa mikakati!
LIONDONE CHADEMA TUMELICHOKA,limeshapewa Hela Hilo masikio yamekufa ganzi halielewi
 
Sisi tunajua humo ndani kinachoendelea. Huyu Mbowe anagawa rushwa ananunua watu anatoa vitisho kupitia machawa wake. Watabaki na hicho chama na tutawapinga hadharani. Utulivu hautokuwepo kabisa.
Chadema ya Mbowe masimango na Dalali wenje inaenda kuwa kama NCCR TLP na CUF ya Lipumba
 
Mwenyekiti utaharibu, wewe tayari umeshakuwa team Samia tunaomba upumzike ili ulinde heshima yako. Mbona unajionyesha wazi kuwa ulishalamba asali?

Unafanya mahojiano masaa manne huongelei kabisa madhila tuliyopata, huongelei kabisa utaipeleka wapi CHADEMA ukichaguliwa badala yake unaongea tu mahistoria.

Kwamba ukichaguliwa utakuwa unahadithia hayo mahistoria yako kwa kipindi chote cha uongozi?

Eti tusibadilishe general wakati wa vita? Kama tunazidiwa vita tuendelee kukumbatia general aliyejichokea? Ili tuendelee kupigwa?

Sisi tunaona kabisa tunazidiwa vita na wewe General ni moja ya chanzo cha kuzidiwa! Kwamba huoni? Kwanini unang'ang'ania?

Huoni kila mwenye mapenzi mema na CHADEMA anakupinga? Leo utakuwa na tofauti gani na Lipumba? Si huwa anachaguliwa mpaka juzi? CUF yake iko wapi? Huoni kuwa ukiendelea kung'ang'ania unapoteza kundi kubwa la watu wanaohitaji mabadiliko?

Tunaenda kwenye box hatutakuchagua na ukitumia mbinu chafu tutakukabili na zaidi uking'ang'ania basi utafanya kazi na hao machawa wako. Tatizo linaonekana wazi ila unashupaa! Haya endelea kusifia utawala wa Samia. Endelea kutoa mikakati!
Weka hapa namba yako ya Chadema na imelipiwa mpaka 2025, kisha weka uhalali wa kikao kilichoamua kumuondoa kwenye uchaguzi.
 
Mwenyekiti utaharibu, wewe tayari umeshakuwa team Samia tunaomba upumzike ili ulinde heshima yako. Mbona unajionyesha wazi kuwa ulishalamba asali?

Unafanya mahojiano masaa manne huongelei kabisa madhila tuliyopata, huongelei kabisa utaipeleka wapi CHADEMA ukichaguliwa badala yake unaongea tu mahistoria.

Kwamba ukichaguliwa utakuwa unahadithia hayo mahistoria yako kwa kipindi chote cha uongozi?

Eti tusibadilishe general wakati wa vita? Kama tunazidiwa vita tuendelee kukumbatia general aliyejichokea? Ili tuendelee kupigwa?

Sisi tunaona kabisa tunazidiwa vita na wewe General ni moja ya chanzo cha kuzidiwa! Kwamba huoni? Kwanini unang'ang'ania?

Huoni kila mwenye mapenzi mema na CHADEMA anakupinga? Leo utakuwa na tofauti gani na Lipumba? Si huwa anachaguliwa mpaka juzi? CUF yake iko wapi? Huoni kuwa ukiendelea kung'ang'ania unapoteza kundi kubwa la watu wanaohitaji mabadiliko?

Tunaenda kwenye box hatutakuchagua na ukitumia mbinu chafu tutakukabili na zaidi uking'ang'ania basi utafanya kazi na hao machawa wako. Tatizo linaonekana wazi ila unashupaa! Haya endelea kusifia utawala wa Samia. Endelea kutoa mikakati!
We ni mwehu kama lisu.

Mbowe aliombwa ahojiwe.
Alikuwa anajibu maswali aliyoulizwa atatokaje nje ya mada iliyompeleka pale, na hyo nafasi angeipataje maana alibanwa na maswali.

Wehu bana pfyuuuuuu
 
wakunja ngumi hamumtaki mbowe ila ndiye Mwenyekiti wa kudumu hapo CDM, yaani hata mkaombe msaada kutoka marekan hamuwez kumtoa huyo mwamba... Nyie CDM wapuuzi sana yaani mnataka chama apewe Lisu.
Hakuna kitu chama dume wanangojea kwa hamu na furaha siku ambayo mbowe atakufa. Maana hiyo ndio itakuwa mwisho wa CDM kuendelea kutamba...
Na hizi kelele za mitandaoni kumtukana mbowe ni ishara kwamba Lisu hawez kumshinda mbowe kwa kura...

Kidumu chama tawala... 2025 MITANO TENA... KAZI IENDELEEE...
Kichwa kubwa, akili kiduchu.
 
Mwenyekiti utaharibu, wewe tayari umeshakuwa team Samia tunaomba upumzike ili ulinde heshima yako. Mbona unajionyesha wazi kuwa ulishalamba asali?

Unafanya mahojiano masaa manne huongelei kabisa madhila tuliyopata, huongelei kabisa utaipeleka wapi CHADEMA ukichaguliwa badala yake unaongea tu mahistoria.

Kwamba ukichaguliwa utakuwa unahadithia hayo mahistoria yako kwa kipindi chote cha uongozi?

Eti tusibadilishe general wakati wa vita? Kama tunazidiwa vita tuendelee kukumbatia general aliyejichokea? Ili tuendelee kupigwa?

Sisi tunaona kabisa tunazidiwa vita na wewe General ni moja ya chanzo cha kuzidiwa! Kwamba huoni? Kwanini unang'ang'ania?

Huoni kila mwenye mapenzi mema na CHADEMA anakupinga? Leo utakuwa na tofauti gani na Lipumba? Si huwa anachaguliwa mpaka juzi? CUF yake iko wapi? Huoni kuwa ukiendelea kung'ang'ania unapoteza kundi kubwa la watu wanaohitaji mabadiliko?

Tunaenda kwenye box hatutakuchagua na ukitumia mbinu chafu tutakukabili na zaidi uking'ang'ania basi utafanya kazi na hao machawa wako. Tatizo linaonekana wazi ila unashupaa! Haya endelea kusifia utawala wa Samia. Endelea kutoa mikakati!
...Mbowe kaamua kusambaratisha taasisi yake kwa mkono wake mwenyewe...
 
We ni mwehu kama lisu.

Mbowe aliombwa ahojiwe.
Alikuwa anajibu maswali aliyoulizwa atatokaje nje ya mada iliyompeleka pale, na hyo nafasi angeipataje maana alibanwa na maswali.

Wehu bana pfyuuuuuu
Haahaa we ni mwehu kama nani? Kwa nn hamuwezi Jenga hoja bila kudhalilisha na kutukana wengine?
 
Mimi ni mpiga kura na nitamchinja. Ikitokea ameshinda kwa bahati mbaya tunapishana mlangoni namuachia Chadema yake akae na machawa wake awahadithie historia yake vizuri. Kuongozwa na mlamba asali ni kitu nilikataa kwa dhati kabisa ya moyo wangu.
Safi sana huo ndio msimamo wa watu wanaojitambua.
 
Mwenyekiti utaharibu, wewe tayari umeshakuwa team Samia tunaomba upumzike ili ulinde heshima yako. Mbona unajionyesha wazi kuwa ulishalamba asali?

Unafanya mahojiano masaa manne huongelei kabisa madhila tuliyopata, huongelei kabisa utaipeleka wapi CHADEMA ukichaguliwa badala yake unaongea tu mahistoria.

Kwamba ukichaguliwa utakuwa unahadithia hayo mahistoria yako kwa kipindi chote cha uongozi?

Eti tusibadilishe general wakati wa vita? Kama tunazidiwa vita tuendelee kukumbatia general aliyejichokea? Ili tuendelee kupigwa?

Sisi tunaona kabisa tunazidiwa vita na wewe General ni moja ya chanzo cha kuzidiwa! Kwamba huoni? Kwanini unang'ang'ania?

Huoni kila mwenye mapenzi mema na CHADEMA anakupinga? Leo utakuwa na tofauti gani na Lipumba? Si huwa anachaguliwa mpaka juzi? CUF yake iko wapi? Huoni kuwa ukiendelea kung'ang'ania unapoteza kundi kubwa la watu wanaohitaji mabadiliko?

Tunaenda kwenye box hatutakuchagua na ukitumia mbinu chafu tutakukabili na zaidi uking'ang'ania basi utafanya kazi na hao machawa wako. Tatizo linaonekana wazi ila unashupaa! Haya endelea kusifia utawala wa Samia. Endelea kutoa mikakati!
Muondoeni kidemokrasia hizi kelele zingine hazina msaada.
 
Back
Top Bottom