Ulitaka huo muda uwe ndani ya miezi minne hii? Si angalua wangeanza ku doubt huo muda baada hata mwaka mmoja. Haya wamefika wapi sasa hivi. Kila mmoja anawaona chadema wamefanya wrong calculations
Mbowe mwenyewe alijichaganya hapo kumjaribu mama ona sasa yuko jela CDM imepoteana. CDM waje na mipango mipya ya kufanya siasa na kutoa hamasa pia kuepuka clashes na dola na kuwa jela kumewapotezea focus