Mbowe: Hayati Rais Magufuli alikuwa na kipaji cha uthubutu wa hali ya juu, hakuwa mvivu hata kidogo



On a serious note: Unajua appointment ya huyo mwenzio kwa sasa!??? Hata kama huna smatifoni, basi waulize japo majirani zako, sawa!???
 
On a serious note: Unajua appointment ya huyo mwenzio kwa sasa!??? Hata kama huna smatifoni, basi waulize japo majirani zako, sawa!???
Which appointment has he been postenned into!?

Come clear..
MaCCM mmezoea taarabu.

Come clean.
 
Tulianza kusisitiza hili mapema mara tu baada ya kifo cha JPM kwamba haitakuwa rahisi kufuta legacy ya JPM iwe ulimpenda na kumkubali au kinyume chake.

Wale ambao walimpenda na kumkubali JPM legacy yake haiwezi kufutika mioyoni mwao maana kwetu JPM aliwakilisha kitu zaidi ya haiba yake ya uongozi. Huyu ni mtu aliyehubiri falsafa ya Tanzania kwanza, aliyeiishi falsafa hiyo na kuifia falsafa hiyo. Na sisi tuwaambie ukweli kwamba wale wanaoipenda Tanzania na kuitakia mema ni watu wengi sana, na JPM aliwakilisha tu hiyo spirit yao.

Wale ambao hamkumpenda JPM mtaendelea tu kuimba "never again" lakini katika kuimba huko ni kuendelea kumuweka JPM kwenye air waves. Ukweli ni kwamba hata mnaposema never again, never again about what? Kama ni never again kuhusu namna JPM alivyokuwa akitumbua watu, leo tu mama kawatumbua watu wa huko Morogoro. Kama ni never again kuhusu namna JPM alivyodeal na raslimali za nchi kutumika kwa ajili ya maslahi ya taifa, mtabali kuwa watu wa ajabu kweli kweli.
 
Wewe maamuzi yako yenye tija kwa taifa ni yapi?
Mengi Sana , mpaka Sasa , ndo maana hata nisipoendaga kanisani moyo wangu unakua na amani, maana niyafanyao yanamgusa mungu kupitia wanadam alio waaumba
 
Ni kweli alikuwa na uthubutu wa kuvunja hata katiba bila woga
 
Kwa bahati mbaya sana, "uthubutu" wake haukuwa na Breki. Ikawa ni kero na maumivu kwa taifa badala ya faida.
 
Kwa bahati mbaya sana, "uthubutu" wake haukuwa na Breki. Ikawa ni kero na maumivu kwa taifa badala ya faida.
Unamfundisha mbowe siasa?

Kuingia kwenye uchumi wa kati ndiyo kero kwako? Jinga kabisa
 
On a serious note: Unajua appointment ya huyo mwenzio kwa sasa!??? Hata kama huna smatifoni, basi waulize japo majirani zako, sawa!???
Appointment nayoijua ya Mwisho ilikua Urais wa bar ya wanasheria. Kama wanasheria wanavyojiita wasomi waliona Lissu ndio kila kitu ww kapuku wa darasa la sababu kumchukia haiwezi mpunguzia lolote.

Actually ndio anashikilia rekodi ya mpinzani wa Tanganyika aliyeshinda serikali nyingi za mitaa/vijiji tokea uhuru (42/45). So he has people's mandate

Hapo bado Makinda alikiri ndio mbunge aliyempa changamoto na miongozo objective zaidi kwenye kunyambua miswada na kutafsiri sheria/kanuni bungeni.

Yes alipigania waTanzania zaidi ya 450 directly kuepuka vifungo virefu kwenye maeneo ya migodini kwa kesi dhalimu. So he practically fought for Tanzania.

Kama ulifuatilia bunge 2011-17 lazima ukiri Lissu alikua pivot kwenye kupinga miswada mibovu ukiwemo wa Mapato ya Gesi na Mafuta, Cybercrime (Ambao mpaka Lusinde alitamani mwanae awe kma Lissu), lazima ukiri ni mzalendo mwenye ujasiri na uthubutu wa kulinda maslahi ya Mtanzania.

I rest my case
 
Unamfundisha mbowe siasa?

Kuingia kwenye uchumi wa kati ndiyo kero kwako? Jinga kabisa
Kilaza kama wewe unani'quote' mimi leo?

Mbona huwa sina muda wa kupoteza na watu kama wewe, au wenzako hawakukueleza hilo kama ulikuwa hujui?

Uchumi wa kati wameingia waTanzania, siyo mpuuzi wako huyo ambaye hakuwa na mchango wowote juu yake.
 
Kilaza kama wewe unani'quote' mimi leo?

Mbona huwa sina muda wa kupoteza na watu kama wewe, au wenzako hawakukueleza hilo kama ulikuwa hujui?

Uchumi wa kati wameingia waTanzania, siyo mpuuzi wako huyo ambaye hakuwa na mchango wowote juu yake.
Wewe mchango wako ni upi ?
Jinga kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…