Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni kweli mnamhitaji mwingine mfano wake yeye kwa kila kitu? Au kebehi tu.!?Inaumiza mno kumkosa huyo mwamba
Usubutu upi sasa ? KUKATALIA WATU WASIPANDISHWE MADARAJA KWA MUJIBU WA LAW?Hiyo ndio ilikuwa strength ya Magufuli and nobody can take it from him
Una hoja gani wewe, umejaza takataka tupu toka ujiunge JF, kwani nani hajui upuuzi unaojaza humu kila siku.Jikite kwenye hoja
Nakuacha ulivyo.Dawa iwaingie
Anaungua na motoEndelea kulala salama Mwamba
Na ukilinganisha watu wanaokufa kwakukosa dawa, chakula, maisha bora, ombaomba mitaani na hao basi ambao hata hawana uhakika nao, JPM anakuwa malaika...Wengine wanaua mamilioni kwasababu tu yakutojali welfare za watu wao bali maslahi binafsimagufuli hajawahi kua katili kamwe, wanaomwita magufuli katili ni wale alowagusa katika ufisadi, mikataba mibovu, madawa ya kulevya, wakwepa kodi, vyeti feki, wafanya kazi hewa na nk... ambao kimantiki alikua sahihi kuwashughulikia.
kuna nyakati mnaleta vihoja eti alikua muuaji na mtekaji bt hata tukiikubali hoja hii then tukalinganisha na watangulizi wake(kikwete &mkapa) bado magufuli hajawafikia labda kama umeanza fuatilia siasa majuzi ndo utakua huyajui haya.
Anaungua na moto
Anaungua moto mkali.sawa shetani, maana wewe ndio mungu na mtoa hukumu wa dunia
Ila huzijui njia za Mungu aliye hai
Kama charles mbowe?Anaungua moto mkali.
Kama babu YaqoKama charles mbowe?
"Lakini" akujua kuwa mimi mbowe ni GAIDI tu ndiyo maana nilikuwa sisemi ukweli kuhusu uwezo wa magufuliKwenye "lakini" umekata kuficha nini?
Au palikuwa na neno "ukatili" laja?
"Nimeamua kusacrifice maisha yangu kwa ajili ya watanzania"The president who really loved his people
Naamini chadema watamtaja na kumsiifu saana JPM kwenye kampeni zao zijazoSasa taanza muelewa Mbowe kama atakuwa naongea ukweli penye kupasa kusema ukweli.
Niliwahi kusema humu atakayetembelea nyota ya JPM kwenye uchguzi atakuwa na nafasi kubwa ya kutoboa tusubiri muda utaongea.
"Lakini" akujua kuwa mimi mbowe ni GAIDI tu ndiyo maana nilikuwa sisemi ukweli kuhusu uwezo wa magufuli
Hata wakifanya hivyo nani atawakubali maana walishabikia kifo cha magufuli ,upinzani tz ulijiua wenyewe kwa kumpiga vita magufuli labda kianzishwe chama kipya cha legacy ya magufuli na nyerere ndiyo kinaweza kutembelea nyota ya magufuli ,kwasasa tutegemee vita kali ndani ya ccm yenyewe baina ya MAGUFULI LEGACY NA MAFISADI LEGACY aka wanafikiNaamini chadema watamtaja na kumsiifu saana JPM kwenye kampeni zao zijazo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata wakifanya hivyo nani atawakubali maana walishabikia kifo cha magufuli ,upinzani tz ulijiua wenyewe kwa kumpiga vita magufuli labda kianzishwe chama kipya cha legacy ya magufuli na nyerere ndiyo kinaweza kutembelea nyota ya magufuli ,kwasasa tutegemee vita kali ndani ya ccm yenyewe baina ya MAGUFULI LEGACY NA MAFISADI LEGACY aka wanafiki