Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 1,353
- 3,060
Lissu uwa aachi swali akiulizwa atarijibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Domo wazi la nini? Fukuza takatakaBora umwamini msema kweli asiye na kizuio bwana Lisu kuliko huyo Nkurunziza wa Machame.
Wewe uwa unatokea ebu lete picha uliwa kwenye maamdamanoWewe nae ni chadema? Mbona mkiitwa maandamano hamtokei,mnakuwaga wapi?
Sasa hivi mpo wengi?[emoji13]
kumbe chadema ina makamanda wengi hivi mtandaoni
Makamanda mnakuwaga wapi?😝Wewe uwa unatokea ebu lete picha uliwa kwenye maamdamano
Je kwa kutangaza ghafla kugombea, amevunja Sheria?
Kwa sasa CHADEMA inamuhitaji sana LISSU kuliko Mbowe a.k.a Museveni"Kama kila moja aliona kwamba anastahili kugombea hatunyimani nafasi...lakini kwamba hatukuona athari tuliona athari kwa sababu tulishakubaliana juu ya nafasi za kugombea ila ikawa ghafla sana yeye kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti ngazi ya taifa..." - Freeman Mbowe kuhusu mgombea mwenza Tundu Lissu.
View attachment 3191687
Soma, Pia;
- Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
- Tundu Lissu: Haikuwa rahisi kwangu kuamua kugombea Uenyekiti
- Tundu Lissu ataka viongozi wa dini waingizwe kuwa wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA
kweli mkuu ndio maana amekaa kwenye uenyekiti 20 yrs na bado anataka awe kama mugabeMh. Mbowe ana busara sana - si mkurupukaji na ndiyo kinamfanya aitwe jabari la siasa Tanzania na Africa.
La hashaJe na Mbowe kugombea uenyekiti amevunja Sheria?
Jabari au Museveni wa bongo?Mh. Mbowe ana busara sana - si mkurupukaji na ndiyo kinamfanya aitwe jabari la siasa Tanzania na Africa.
Alisema walimpa taarifa kuwa watamtembeleaKule nyumbani kwake alitengeneza maigizo kwani watu waliovamia wasingeweza kupata viti vingi vya kukaa ina maana alipanga mapema
Ila nyie,MBOWE anatia huruma sana!!"Kama kila moja aliona kwamba anastahili kugombea hatunyimani nafasi...lakini kwamba hatukuona athari tuliona athari kwa sababu tulishakubaliana juu ya nafasi za kugombea ila ikawa ghafla sana yeye kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti ngazi ya taifa..." - Freeman Mbowe kuhusu mgombea mwenza Tundu Lissu.
View attachment 3191687
Soma, Pia;
- Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
- Tundu Lissu: Haikuwa rahisi kwangu kuamua kugombea Uenyekiti
- Tundu Lissu ataka viongozi wa dini waingizwe kuwa wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA
Alitaka atangaze nia mapema ili AMFURUSHE kwenye chama haraka? Hizo ni mbinu za kivita."Kama kila moja aliona kwamba anastahili kugombea hatunyimani nafasi...lakini kwamba hatukuona athari tuliona athari kwa sababu tulishakubaliana juu ya nafasi za kugombea ila ikawa ghafla sana yeye kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti ngazi ya taifa..." - Freeman Mbowe kuhusu mgombea mwenza Tundu Lissu.
View attachment 3191687
Soma, Pia;
- Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
- Tundu Lissu: Haikuwa rahisi kwangu kuamua kugombea Uenyekiti
- Tundu Lissu ataka viongozi wa dini waingizwe kuwa wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA
Mtu MWEUSI hata akiishi na watu waliostaarabika bado hawezi kuwa na akili. Ulemavu wa TAL ni "man made", unahusiana vipi na utambulisho wake? Acha dharau maisha ni safari..🤣
Hata Ms. Kiuruwi naye kamchenjia.
Kuishi kwingi ni kuona mengi.
Wamwachie tu Yuki Chiba aiongoze saccos yao tuone atapoifikisha.
Mbowe ametuchezea sana kwa miaka mingi, hakuna mpinzani wa dhati pale.Na mimi nimeshangazwa sana na kauli hii ya Mwamba...
Hakuweka wazi walipatana nini juu ya nani agombee...
Je, Tundu Lissu alikubali Freeman Mbowe aendelee...?
Ni kwanini Tundu Lissu akafanya U-TURN ya ghafla kwa kufuta nia yake ya kugombea Umakamu mwenyekiti badala yake kuutaka uenyekiti kabisa na hivyo kwenda kinyume na makubaliano yao na Mwenyekiti wake? Mbowe kakiri kuwa hata yeye alishangaa...!!!
Hebu media Jambo TV au maria Space mtafuteni Tundu Lissu ajibu swali hili...
Pamoja na haya, kumbukumbu zinaonesha, Tundu Lissu alishaligusia na kuitolea ufafanuzi hoja hii..
Za kutoka ndani ya CHADEMA zinasema, mpango wa Freeman Mbowe ni kugombea U - Rais. Hawezi kuitekeleza nia yake hiyo kwa ufanisi akiwa nje ya uongozi kama mwanachama wa kawaida tu..
Na kumbe haya ni Moja ya makubaliano yake na Bi Samia Suluhu Hassan (Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT) ktk kilichoitwa "maridhiano"
Ameambiwa ahakikishe huyu mwamba (Tundu Lissu) is completely out of the picture ndani ya CHADEMA kwa kutokuwa na nafasi yoyote ya uongozi. Ndiyo maana kwenye Umakamu mwenyekiti akawekewa Hezekiah Wenje..!
Na Tundu Lissu kuliona hili, akasema namfuata huko huko juu aliko. Huyu ndiye Tundu Lissu bhana😅😅😅
Lengo la Freeman Mbowe kugombea u - Rais ni kumpa unafuu Samia mgombea wa CCM kutopitia mikikimikiki ya mgombea wa aina ya Tundu Lissu...
Tuendelee kufuatilia...
Muhimbili utapelekwa wewe KAPUKU, Mungu hadhiakiwi.Siku nyingine msilipeleke Nairobi peleka Muhimbili
muulize mama yako kama mimi kapuku, short of that tusingelikuzaa. Mimi ndiye baba yako, huyo unayemuita baba yako ni wa kufikia tu. hicvyo kuwa na heshima na mimiMuhimbili utapelekwa wewe KAPUKU, Mungu hadhiakiwi.