Pre GE2025 Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa

Pre GE2025 Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe nae ni chadema? Mbona mkiitwa maandamano hamtokei,mnakuwaga wapi?
Sasa hivi mpo wengi?[emoji13]

kumbe chadema ina makamanda wengi hivi mtandaoni
Wewe uwa unatokea ebu lete picha uliwa kwenye maamdamano
 
Wewe uwa unatokea ebu lete picha uliwa kwenye maamdamano
Makamanda mnakuwaga wapi?😝
Maandamano anatokea Mbowe na mtoto wake makamanda mmejificha mitandaoni jf
Leo mmejaa humu mnampangia eti hafai aondoke😝,ulishaona wapi hii Duniani?

Hata mjinga wa Mwisho hawezi kubali,huo ujinga wenu

Mbowe shikilia hapo hapo,wao ndio waondoke

Kudadeki zenu manyumbu
 
Mzee Mbowe wewe unajua hicho chama ni biashara yako binafsi unajua bila Uenyekiti utakosa relevance utapigwa njaaa balaa😀😀😀
 
Mashina yanajengwa wenye shina sehemu husika au yanajengwa mwenyekiti wa chama taifa?...acheni upuuzi wenu
Hebu taja shina la ccm hata moja ambalo limejengwa na SSH?
 
"Kama kila moja aliona kwamba anastahili kugombea hatunyimani nafasi...lakini kwamba hatukuona athari tuliona athari kwa sababu tulishakubaliana juu ya nafasi za kugombea ila ikawa ghafla sana yeye kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti ngazi ya taifa..." - Freeman Mbowe kuhusu mgombea mwenza Tundu Lissu.
View attachment 3191687

Soma, Pia;

- Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

- Tundu Lissu: Haikuwa rahisi kwangu kuamua kugombea Uenyekiti

- Tundu Lissu ataka viongozi wa dini waingizwe kuwa wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA
Kwa sasa CHADEMA inamuhitaji sana LISSU kuliko Mbowe a.k.a Museveni
 
Mh. Mbowe ana busara sana - si mkurupukaji na ndiyo kinamfanya aitwe jabari la siasa Tanzania na Africa.
kweli mkuu ndio maana amekaa kwenye uenyekiti 20 yrs na bado anataka awe kama mugabe
 
Kule nyumbani kwake alitengeneza maigizo kwani watu waliovamia wasingeweza kupata viti vingi vya kukaa ina maana alipanga mapema
Alisema walimpa taarifa kuwa watamtembelea
Ila hakujua lengo lao ni nini.

Kwa haya anayoyasema sasahivi atatufanya tuamini kwamba aliwapanga.
 
"Kama kila moja aliona kwamba anastahili kugombea hatunyimani nafasi...lakini kwamba hatukuona athari tuliona athari kwa sababu tulishakubaliana juu ya nafasi za kugombea ila ikawa ghafla sana yeye kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti ngazi ya taifa..." - Freeman Mbowe kuhusu mgombea mwenza Tundu Lissu.
View attachment 3191687

Soma, Pia;

- Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

- Tundu Lissu: Haikuwa rahisi kwangu kuamua kugombea Uenyekiti

- Tundu Lissu ataka viongozi wa dini waingizwe kuwa wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA
Ila nyie,MBOWE anatia huruma sana!!
 
"Kama kila moja aliona kwamba anastahili kugombea hatunyimani nafasi...lakini kwamba hatukuona athari tuliona athari kwa sababu tulishakubaliana juu ya nafasi za kugombea ila ikawa ghafla sana yeye kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti ngazi ya taifa..." - Freeman Mbowe kuhusu mgombea mwenza Tundu Lissu.
View attachment 3191687

Soma, Pia;

- Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

- Tundu Lissu: Haikuwa rahisi kwangu kuamua kugombea Uenyekiti

- Tundu Lissu ataka viongozi wa dini waingizwe kuwa wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA
Alitaka atangaze nia mapema ili AMFURUSHE kwenye chama haraka? Hizo ni mbinu za kivita.
 
🤣

Hata Ms. Kiuruwi naye kamchenjia.

Kuishi kwingi ni kuona mengi.

Wamwachie tu Yuki Chiba aiongoze saccos yao tuone atapoifikisha.
Mtu MWEUSI hata akiishi na watu waliostaarabika bado hawezi kuwa na akili. Ulemavu wa TAL ni "man made", unahusiana vipi na utambulisho wake? Acha dharau maisha ni safari..
 
Na mimi nimeshangazwa sana na kauli hii ya Mwamba...

Hakuweka wazi walipatana nini juu ya nani agombee...

Je, Tundu Lissu alikubali Freeman Mbowe aendelee...?

Ni kwanini Tundu Lissu akafanya U-TURN ya ghafla kwa kufuta nia yake ya kugombea Umakamu mwenyekiti badala yake kuutaka uenyekiti kabisa na hivyo kwenda kinyume na makubaliano yao na Mwenyekiti wake? Mbowe kakiri kuwa hata yeye alishangaa...!!!

Hebu media Jambo TV au maria Space mtafuteni Tundu Lissu ajibu swali hili...

Pamoja na haya, kumbukumbu zinaonesha, Tundu Lissu alishaligusia na kuitolea ufafanuzi hoja hii..

Za kutoka ndani ya CHADEMA zinasema, mpango wa Freeman Mbowe ni kugombea U - Rais. Hawezi kuitekeleza nia yake hiyo kwa ufanisi akiwa nje ya uongozi kama mwanachama wa kawaida tu..

Na kumbe haya ni Moja ya makubaliano yake na Bi Samia Suluhu Hassan (Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT) ktk kilichoitwa "maridhiano"

Ameambiwa ahakikishe huyu mwamba (Tundu Lissu) is completely out of the picture ndani ya CHADEMA kwa kutokuwa na nafasi yoyote ya uongozi. Ndiyo maana kwenye Umakamu mwenyekiti akawekewa Hezekiah Wenje..!

Na Tundu Lissu kuliona hili, akasema namfuata huko huko juu aliko. Huyu ndiye Tundu Lissu bhana😅😅😅

Lengo la Freeman Mbowe kugombea u - Rais ni kumpa unafuu Samia mgombea wa CCM kutopitia mikikimikiki ya mgombea wa aina ya Tundu Lissu...

Tuendelee kufuatilia...
Mbowe ametuchezea sana kwa miaka mingi, hakuna mpinzani wa dhati pale.
 
Muhimbili utapelekwa wewe KAPUKU, Mungu hadhiakiwi.
muulize mama yako kama mimi kapuku, short of that tusingelikuzaa. Mimi ndiye baba yako, huyo unayemuita baba yako ni wa kufikia tu. hicvyo kuwa na heshima na mimi
 
Back
Top Bottom