Uchaguzi 2020 Mbowe itampa wakati mgumu sana kumnadi Lissu

Uchaguzi 2020 Mbowe itampa wakati mgumu sana kumnadi Lissu

Lisu ameshachacha, hata shughuli ijaanza kashachemka mapema. Na bado kazia anayo. Tusubiri mziki uanze ataondoka nchini kwa aibu baada ya uchaguzi, his political career will be over soon.
 
Kila uchaguzi una upekee wake kutokana na watu wanaoshiriki huo uchaguzi. 2015 uchaguzi ulikua wa kipekee na hauwezi kufanana tena na chaguzi zozote zinazofuatia kwa sababu kila uchaguzi unakua na watu tofauti katika ngazi mbalimbali. Hivyo Uchaguzi wa mwaka 2020 ni uchaguzi unaovutia kwa sababu Washiriki wa Uchaguzi huu kila mmoja ana Mengi ya kueleza Umma kuhusu Taifa na ni tofauti na uchaguzi wa 2015 ambapo Lowassa alikua haongei katika majukwaa ya siasa.Kuhusu Mbowe kutokua na Confidence si kweli Wakati wa kumnadi mgombea Wetu ni mpaka 26mwezi huu wa 8.Hivyo Mbowe kutokuonekana akiongea kuhusu Mgombea Wetu Mahiri si Hoja.
 
Lisu ameshachacha, hata shughuli ijaanza kashachemka mapema. Na bado kazia anayo. Tusubiri mziki uanze ataondoka nchini kwa aibu baada ya uchaguzi, his political career will be over soon.
Uko sahihi sana mkuu. Nikuongezee hili kwenye ufahamu wako, je unazijua principles za mgeni?
  1. Siku ya kwanza watu wanakuwa na hamu naye, hata yeye anakuwa na hamu sana na watu, sababu siku nyingi hawajaonani
  2. Siku ya pili bado hamu iko pale pale ila si kama ya siku ya kwanza
  3. Siku ya tatu watu wameshaanza kumzoea
  4. Siku ya nne watu wameshaanza kumchoka
  5. Ya tano, anaanza kutamani kurudi kwake
  6. Kasi ya kurudi ndo inazidi kupanda
  7. Mgeni hapa hana hamu tena ya kukaa
  8. Lazima atoke
Watu saizi wameshamzoe Lisu ndugu yangu, ndo na kauli zimeanza kubadilika
 
Kila uchaguzi una upekee wake kutokana na watu wanaoshiriki huo uchaguzi. 2015 uchaguzi ulikua wa kipekee na hauwezi kufanana tena na chaguzi zozote zinazofuatia kwa sababu kila uchaguzi unakua na watu tofauti katika ngazi mbalimbali. Hivyo Uchaguzi wa mwaka 2020 ni uchaguzi unaovutia kwa sababu Washiriki wa Uchaguzi huu kila mmoja ana Mengi ya kueleza Umma kuhusu Taifa na ni tofauti na uchaguzi wa 2015 ambapo Lowassa alikua haongei katika majukwaa ya siasa.Kuhusu Mbowe kutokua na Confidence si kweli Wakati wa kumnadi mgombea Wetu ni mpaka 26mwezi huu wa 8.Hivyo Mbowe kutokuonekana akiongea kuhusu Mgombea Wetu Mahiri si Hoja.
I doubt your conclusion mkuu, ila ndugu yangu endelea kutafakari sana, mimi naamini Mh. Mbowe hana furaha kama ya ukawa ule for really.
 
Uko sahihi sana mkuu. Nikuongezee hili kwenye ufahamu wako, je unazijua principles za mgeni?
  1. Siku ya kwanza watu wanakuwa na hamu naye, hata yeye anakuwa na hamu sana na watu, sababu siku nyingi hawajaonani
  2. Siku ya pili bado hamu iko pale pale ila si kama ya siku ya kwanza
  3. Siku ya tatu watu wameshaanza kumzoea
  4. Siku ya nne watu wameshaanza kumchoka
  5. Ya tano, anaanza kutamani kurudi kwake
  6. Kasi ya kurudi ndo inazidi kupanda
  7. Mgeni hapa hana hamu tena ya kukaa
  8. Lazima atoke
Watu saizi wameshamzoe Lisu ndugu yangu, ndo na kauli zimeanza kubadilika
[emoji23][emoji23][emoji23] r.i.p Bi kidude ...mgeni siku ya kwanza
 
Ndugu zangu,

Napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa siku ya leo.

Katika uchaguzi ambao niliufuatilia kwa karibu kubwa sana tangia nianze kufuatilia siasa na wanasiasa, basi ulikuwa ule wa 2015. Ulikuwa uchaguzi wa kipekee sana kuwahi kutokea hapa nchini, na ulikuwa uchaguzi mgumu sana kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ila CCM walicheza karata kubwa sana ya kumweka Mh. Magufuli. Kwa kutumia rekodi za nyuma za umahili wake wa uchapazi kazi katika kila wizara aliyoteuliwa, ilinifanya kura yangu nimpe huyu ndugu. Na kama CCM wangempitisha Membe, basi kura yangu ingeenda kwa Mh. Lowasa. Na itachukua miaka mingi sana kuwa na uchaguzi kama ule.

Kamari ambayo waliicheza Ukawa, hasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa kumkaribisa Mh. Lowasa (), Mh. Mbowe alikuwa na furaha mno na confidence kubwa sana huku alikuwa anajua kabisa Lowasa anaenda kuingia Ikulu, kulingana na nyota ya siasa amabayo Lowasa alikuwa nayo ambayo ilisababishwa na kuwa na maandalizi ya muda mrefu kwa nafasi hii kubwa kabisa katika kulitumikia taifa. Kama ukisikia mafuriko ya watu kipindi cha Mh. Lowasa, basi yalikuwa mafuriko kwelikweli, Tundulisu hawezi hata kumfikia nusu yake ()

().

Kipindi hiki naona kama Mh. Mbowe hana ile confidence kabisa ambayo aliyokuwa nayo 2015 kipindi cha Mh. Lowasa (). Kwa kutumia uwezo wangu, ambao amenipa mwenyezi Mungu wa kusoma saikolojia ya mtu, yafuatayo yanaweza kuwa ndio sababu ya Mh. Mbowe kuloose confidence kabisa kuelekea uchaguzi mkuu, yaani hajui kinachoenda kutokea. TL alipokuwa Arusha kusaka wadhamini, wananchi walimtaka Mbowe aongee, Mbowe akaja na hakusema chapuo lolote kwa TL, badala yake alitaja kauli mbiu tu (). Kwa jambo hili kwangu linaweza kubeba hoja zifuatazo:

  • Mbowe alikuwa anajua kabisa kuwa watu walikuwa wanamtaka Tundulisu ili aweze kupeperusha bendera ya uraisi Chadema kwa sababu ya lile tukio la mashambulizi dhidi yake ili kulenga kura za huruma ya wananchi, ila bado najiuliza kwa nini aliamua naye kutangaza nia, baadae akaacha?
  • Au Mbowe aliogopa aibu ya kushindwa na Lisu, maana asilimia kubwa ya wajumbe walikuwa wanataka Lisu apeperushe bendera?
  • Kuna uwezekano Mh. Mbowe alikuwa anajua kabisa, Tundulisu hana uwezo wa kupambana na Magufuli, ila kura atakazopata zitakuwa za huruma ya wananchi, ila kwakuwa mkutano mkuu ulikuwa unamtaka TL, basi hakuwa na namna yoyote zaida ya kuunga mkono
Namalizia nakusema, Mh. Mbowe hana confidence kabisa kwenye uchaguzi huu, japokuwa wengine wanaonekana wanayo, ila ni tofauti sana na huyu ndugu, anajua kabisa Lisu hawezi kuifikia level ya Lowasa, hata nusu yake hawezi, ila ataleta upinzani angalau kidogo tu.

Asante,
Nawasilisha
Kejuu

Mkuu utafiti wako ningeuunga mkono endapo muda wa kampeni ungekuwa umefika. Nimeangalia Tamasha letu la Miziki ya kampeni,nimeshtuka aina ya watu watakaomnadi Mh. Mkuu wetu!
Ninafikiri, ni vyema tusubiri kampeni zianze.
Hata hivyo, hadi sasa TL hana redio wala TV za kumpamba kama tunavyoona kwa wengine, nahisi muda ukifika kutakuwa na usawa na ndipo tumpime huyo Mwenyekiti.
 
Kam
Ndugu zangu,

Napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa siku ya leo.

Katika uchaguzi ambao niliufuatilia kwa karibu kubwa sana tangia nianze kufuatilia siasa na wanasiasa, basi ulikuwa ule wa 2015. Ulikuwa uchaguzi wa kipekee sana kuwahi kutokea hapa nchini, na ulikuwa uchaguzi mgumu sana kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ila CCM walicheza karata kubwa sana ya kumweka Mh. Magufuli. Kwa kutumia rekodi za nyuma za umahili wake wa uchapazi kazi katika kila wizara aliyoteuliwa, ilinifanya kura yangu nimpe huyu ndugu. Na kama CCM wangempitisha Membe, basi kura yangu ingeenda kwa Mh. Lowasa. Na itachukua miaka mingi sana kuwa na uchaguzi kama ule.

Kamari ambayo waliicheza Ukawa, hasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa kumkaribisa Mh. Lowasa (), Mh. Mbowe alikuwa na furaha mno na confidence kubwa sana huku alikuwa anajua kabisa Lowasa anaenda kuingia Ikulu, kulingana na nyota ya siasa amabayo Lowasa alikuwa nayo ambayo ilisababishwa na kuwa na maandalizi ya muda mrefu kwa nafasi hii kubwa kabisa katika kulitumikia taifa. Kama ukisikia mafuriko ya watu kipindi cha Mh. Lowasa, basi yalikuwa mafuriko kwelikweli, Tundulisu hawezi hata kumfikia nusu yake ()

().

Kipindi hiki naona kama Mh. Mbowe hana ile confidence kabisa ambayo aliyokuwa nayo 2015 kipindi cha Mh. Lowasa (). Kwa kutumia uwezo wangu, ambao amenipa mwenyezi Mungu wa kusoma saikolojia ya mtu, yafuatayo yanaweza kuwa ndio sababu ya Mh. Mbowe kuloose confidence kabisa kuelekea uchaguzi mkuu, yaani hajui kinachoenda kutokea. TL alipokuwa Arusha kusaka wadhamini, wananchi walimtaka Mbowe aongee, Mbowe akaja na hakusema chapuo lolote kwa TL, badala yake alitaja kauli mbiu tu (). Kwa jambo hili kwangu linaweza kubeba hoja zifuatazo:

  • Mbowe alikuwa anajua kabisa kuwa watu walikuwa wanamtaka Tundulisu ili aweze kupeperusha bendera ya uraisi Chadema kwa sababu ya lile tukio la mashambulizi dhidi yake ili kulenga kura za huruma ya wananchi, ila bado najiuliza kwa nini aliamua naye kutangaza nia, baadae akaacha?
  • Au Mbowe aliogopa aibu ya kushindwa na Lisu, maana asilimia kubwa ya wajumbe walikuwa wanataka Lisu apeperushe bendera?
  • Kuna uwezekano Mh. Mbowe alikuwa anajua kabisa, Tundulisu hana uwezo wa kupambana na Magufuli, ila kura atakazopata zitakuwa za huruma ya wananchi, ila kwakuwa mkutano mkuu ulikuwa unamtaka TL, basi hakuwa na namna yoyote zaida ya kuunga mkono
Namalizia nakusema, Mh. Mbowe hana confidence kabisa kwenye uchaguzi huu, japokuwa wengine wanaonekana wanayo, ila ni tofauti sana na huyu ndugu, anajua kabisa Lisu hawezi kuifikia level ya Lowasa, hata nusu yake hawezi, ila ataleta upinzani angalau kidogo tu.

Asante,
Nawasilisha
Kejuu

Kama mbowe akikosa confidence wewe na chama chako cha kijani kibichi na yesu wa Tanzania kinawauma nini?
 
Nyie jamaa na jiwe wenu mmefanya kampeni na kutukana watu miaka mitano peke yenu, mmevumiliwa. Lissu kuongea week moja tu mikanda imeanza kupwaya. Mods hizi threads zinazomuhusu Lissu kutoka kwa wanalumumba mziunganishe ziwe moja
@moderator fanyia kazi wazo la mdau hapa
 
Hivi wewe unamjua Magu, usijitoe ufahamu, Magu is hur the best president of our life time ever! Dunia nzima wanamjua wewe usilete utani kabisa. Amelipa heshima kubwa saba taifa letu
Hizi ID's zilizoanzishwa recently, katika kuliokoa jahazi linalozama la wana-Lumumba, zinatia huruma sana!

Kejuu joined JF on 20/05/2020
 
Mbowe nadhani kisiasa tayari kashapitwa na wakati japo kuna minung'uno kuhusu kuzomewa kwake tena Jimboni kwake hili linatoa picha halisi ya siasa za Mh mbowe.
 
Ndugu zangu,

Napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa siku ya leo.

Katika uchaguzi ambao niliufuatilia kwa karibu kubwa sana tangia nianze kufuatilia siasa na wanasiasa, basi ulikuwa ule wa 2015. Ulikuwa uchaguzi wa kipekee sana kuwahi kutokea hapa nchini, na ulikuwa uchaguzi mgumu sana kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ila CCM walicheza karata kubwa sana ya kumweka Mh. Magufuli. Kwa kutumia rekodi za nyuma za umahili wake wa uchapazi kazi katika kila wizara aliyoteuliwa, ilinifanya kura yangu nimpe huyu ndugu. Na kama CCM wangempitisha Membe, basi kura yangu ingeenda kwa Mh. Lowasa. Na itachukua miaka mingi sana kuwa na uchaguzi kama ule.

Kamari ambayo waliicheza Ukawa, hasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa kumkaribisa Mh. Lowasa (), Mh. Mbowe alikuwa na furaha mno na confidence kubwa sana huku alikuwa anajua kabisa Lowasa anaenda kuingia Ikulu, kulingana na nyota ya siasa amabayo Lowasa alikuwa nayo ambayo ilisababishwa na kuwa na maandalizi ya muda mrefu kwa nafasi hii kubwa kabisa katika kulitumikia taifa. Kama ukisikia mafuriko ya watu kipindi cha Mh. Lowasa, basi yalikuwa mafuriko kwelikweli, Tundulisu hawezi hata kumfikia nusu yake ()

().

Kipindi hiki naona kama Mh. Mbowe hana ile confidence kabisa ambayo aliyokuwa nayo 2015 kipindi cha Mh. Lowasa (). Kwa kutumia uwezo wangu, ambao amenipa mwenyezi Mungu wa kusoma saikolojia ya mtu, yafuatayo yanaweza kuwa ndio sababu ya Mh. Mbowe kuloose confidence kabisa kuelekea uchaguzi mkuu, yaani hajui kinachoenda kutokea. TL alipokuwa Arusha kusaka wadhamini, wananchi walimtaka Mbowe aongee, Mbowe akaja na hakusema chapuo lolote kwa TL, badala yake alitaja kauli mbiu tu (). Kwa jambo hili kwangu linaweza kubeba hoja zifuatazo:

  • Mbowe alikuwa anajua kabisa kuwa watu walikuwa wanamtaka Tundulisu ili aweze kupeperusha bendera ya uraisi Chadema kwa sababu ya lile tukio la mashambulizi dhidi yake ili kulenga kura za huruma ya wananchi, ila bado najiuliza kwa nini aliamua naye kutangaza nia, baadae akaacha?
  • Au Mbowe aliogopa aibu ya kushindwa na Lisu, maana asilimia kubwa ya wajumbe walikuwa wanataka Lisu apeperushe bendera?
  • Kuna uwezekano Mh. Mbowe alikuwa anajua kabisa, Tundulisu hana uwezo wa kupambana na Magufuli, ila kura atakazopata zitakuwa za huruma ya wananchi, ila kwakuwa mkutano mkuu ulikuwa unamtaka TL, basi hakuwa na namna yoyote zaida ya kuunga mkono
Namalizia nakusema, Mh. Mbowe hana confidence kabisa kwenye uchaguzi huu, japokuwa wengine wanaonekana wanayo, ila ni tofauti sana na huyu ndugu, anajua kabisa Lisu hawezi kuifikia level ya Lowasa, hata nusu yake hawezi, ila ataleta upinzani angalau kidogo tu.

Asante,
Nawasilisha
Kejuu

Mkilala Lissu, mkiamka Lissu, mkiwa chooni Lissu, kanisani mnamuwaza Lissu, tulieni dawa iwaingie, huwezi mfananisha ibilisi na Mungu
 
Back
Top Bottom