MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
Sukuma gang on the beatMbowe Mbowe Mbowe mheshimiwa Mbowe unapozungumzia Demokrasia na Katiba Mpya una maanisha nini?
Chama chako Democracy yake haiweki ukomo wa mwenyekiti kuongoza na sisi CCM tuna mpango kufuta ukomo wa urais ili atawale kwa amani bila bugdha,
Mbowe muachie Lissu aongoze Chama ntawapa mbinu
Hizi vodka za Urusi haha
Humuwezi Mbowe wewe, kaa kimya TU acha mambo ya flowMbowe Mbowe Mbowe mheshimiwa Mbowe unapozungumzia Demokrasia na Katiba Mpya una maanisha nini?
Chama chako Democracy yake haiweki ukomo wa mwenyekiti kuongoza na sisi CCM tuna mpango kufuta ukomo wa urais ili atawale kwa amani bila bugdha,
Mbowe muachie Lissu aongoze Chama ntawapa mbinu
Hizi vodka za Urusi haha
BritanicaMbowe Mbowe Mbowe mheshimiwa Mbowe unapozungumzia Demokrasia na Katiba Mpya una maanisha nini?
Chama chako Democracy yake haiweki ukomo wa mwenyekiti kuongoza na sisi CCM tuna mpango kufuta ukomo wa urais ili atawale kwa amani bila bugdha,
Mbowe muachie Lissu aongoze Chama ntawapa mbinu
Hizi vodka za Urusi haha
Wahafidhina on the beat!!Naona wewe una mpango wa kuiua kabisa chadema. Ni kweli chadema iko 'intensive care unit', kumwachia lisu ni kuipeleka mortuary kabisa: chadema itakufa. Shauri mtu mwingine; Msigwa yupo, Heche yupo, lakini siyo lisu. Kichaa hakabidhiwi rungu.
Unajua hadi sasa wanachama na wapenzi wa chama hicho hadi sasa hawajui kinachoendelea huko kwenye maridhiano, kama tusivyojua sisi sote.Akistaafu kwa heshima kidogo iliyobakia atakuwa ameitendea haki career yake yote ya kisiasa.
Ila akiamua kukomaa ataondoka kwa aibu kuu.
Haya maneno kayasema Mbowe, akimsemea mtu ambaye kafanya kazi na Magufuli kwa zaidi ya miaka sita!."Unafiki na uongo hulaanisha taifa, taifa letu linawatu wengi wasiosema na kuuwishi ukweli, hili ni chimbuko kubwa la mporomoko wa maadili, nakusihi sana mama epuka mtu yeyote anayejiita chawa wako, Mhe.Rais sisi wengine tumechagua kusema ukweli, na kukataa dhambi ya unafiki, tumelipa gharama kubwa kwa misingi na misimamo yetu hiyo, tunaamini ukweli, uwazi kutokuwa wanafiki, ndio njia bora ya kukusaidia uweze kuwa kiongozi bora"Mhe.Mbowe
Cha kushangaza wanaochukizwa na uenyekiti wa Mbowe ni CCM!! Ila wanajifanya hawaoni Mwenyekiti wa UDP, Cheyo Tsangu 1992! Wala hawaoni uenyekiti wa CUF wa Lipumba! Mbowe kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA hakusababishi wizi, ufisadi uliojaa serikalini. Ifike wakati CCM waachie madaraka maana hata baada ya miaka 60+ ya uhuru, ajira ya maana kwa vijana wanaona ni bodaboda!! Hilo ndio inatakiwa iwe kauli mbiu!! Inawezekana vipi baada ya miaka 60 ya uhuru, hii serikali ya CCM inaona ajira inayowafaa vijana ni kuendesha bodaboda!!Mbowe Mbowe Mbowe mheshimiwa Mbowe unapozungumzia Demokrasia na Katiba Mpya una maanisha nini?
Chama chako Democracy yake haiweki ukomo wa mwenyekiti kuongoza na sisi CCM tuna mpango kufuta ukomo wa urais ili atawale kwa amani bila bugdha,
Mbowe muachie Lissu aongoze Chama ntawapa mbinu
Hizi vodka za Urusi haha
Tuliijenga chadema kwa jasho, damu na mali ✌️Wahafidhina on the beat!!
Usichojua wewe na yeye ni kuwa anajinyoosha mwenyewe.w
mbowe amewanyoosha wapumbavu wote wa ccm
Mbowe Mbowe Mbowe mheshimiwa Mbowe unapozungumzia Demokrasia na Katiba Mpya una maanisha nini?
Chama chako Democracy yake haiweki ukomo wa mwenyekiti kuongoza na sisi CCM tuna mpango kufuta ukomo wa urais ili atawale kwa amani bila bugdha,
Mbowe muachie Lissu aongoze Chama ntawapa mbinu
Hizi vodka za Urusi haha
Tayaaar hapo umemaliza justification yako ya Mbowe kutoka madarakani 🤣🤣🤣🤣🤣Mbowe Mbowe Mbowe mheshimiwa Mbowe unapozungumzia Demokrasia na Katiba Mpya una maanisha nini?
Chama chako Democracy yake haiweki ukomo wa mwenyekiti kuongoza na sisi CCM tuna mpango kufuta ukomo wa urais ili atawale kwa amani bila bugdha,
Mbowe muachie Lissu aongoze Chama nitawapa mbinu
Hizi vodka za Urusi haha
HahaJirani hatukaribishani. Au kwa kuwa [emoji629] tunawasaidia kidogo kidogo Ukraine [emoji1255] Ila Gas yenu bado tuhitaji kwa ajili ya Heizung winter hii.
Mbowe lazima aendelee kuwa mwenyekiti kama hamtaki kaanzisheni chama chenuMbowe Mbowe Mbowe mheshimiwa Mbowe unapozungumzia Demokrasia na Katiba Mpya una maanisha nini?
Chama chako Democracy yake haiweki ukomo wa mwenyekiti kuongoza na sisi CCM tuna mpango kufuta ukomo wa urais ili atawale kwa amani bila bugdha,
Mbowe muachie Lissu aongoze Chama nitawapa mbinu
Hizi vodka za Urusi haha
Mbowe ndio kwanza anahitajika CHADEMA, labda baada ya miaka 20 hivi tutakubali aachie ngazi.Mbowe Mbowe Mbowe mheshimiwa Mbowe unapozungumzia Demokrasia na Katiba Mpya una maanisha nini?
Chama chako Democracy yake haiweki ukomo wa mwenyekiti kuongoza na sisi CCM tuna mpango kufuta ukomo wa urais ili atawale kwa amani bila bugdha,
Mbowe muachie Lissu aongoze Chama nitawapa mbinu
Hizi vodka za Urusi haha
Ha ha haaaaaJamaa achie kula pesa za wajinga?
Haha Sacoss inasubiri James akue aingie kulinda maslhai ya dingilai
Ni sawa tuu kuwa Sukuma Gang lakini lazima muambiwe ukweliSukuma gang on the beat