kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Ccm ikichanganya nafasi ya rais kuwa mwenyekiti na Chadema watafanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kuweka ukomo wa uongozi ndiyo kipimo cha demokrasia? Hii itakuwa ni elimu mpya na tafsiri mpya ya demokrasia.Mbowe Mbowe Mbowe mheshimiwa Mbowe unapozungumzia Demokrasia na Katiba Mpya una maanisha nini?
Chama chako Democracy yake haiweki ukomo wa mwenyekiti kuongoza na sisi CCM tuna mpango kufuta ukomo wa urais ili atawale kwa amani bila bugdha,
Mbowe muachie Lissu aongoze Chama nitawapa mbinu
Hizi vodka za Urusi haha
CCM ni chama kinaungwa mkono zaidi na wajinga. CHADEMA inapendwa zaidi na vijana na wasomi = TWAWEZA.Anaongoza wajinga kibao Ufipa. Sasa anawezaje kuachia kiti
Hii itakuwa ngumu kwa sababu Mrithi wake James "Harry" Mbowe bado hajakomaa kisiasa ingawa naona kapewa apprenticeship kwa Lema majuzi tulisikia wakiungana kuwalaani bodaboda na ugali. Ni bora tufanye 2035 waje kupambana na Bashe.Demokrasia inaishia kwenye ukomo?!
cjuwi nikuite mjinga au mpumbavu.Kwani mbowe unapofika uchaguzi0huwa hauitishwi au anajitangaza kuwa mwenyekiti?Mbowe Mbowe Mbowe mheshimiwa Mbowe unapozungumzia Demokrasia na Katiba Mpya una maanisha nini?
Chama chako Democracy yake haiweki ukomo wa mwenyekiti kuongoza na sisi CCM tuna mpango kufuta ukomo wa urais ili atawale kwa amani bila bugdha,
Mbowe muachie Lissu aongoze Chama nitawapa mbinu
Hizi vodka za Urusi haha
Twamekusikia shaka hamiduMbowe Mbowe Mbowe mheshimiwa Mbowe unapozungumzia Demokrasia na Katiba Mpya una maanisha nini?
Chama chako Democracy yake haiweki ukomo wa mwenyekiti kuongoza na sisi CCM tuna mpango kufuta ukomo wa urais ili atawale kwa amani bila bugdha,
Mbowe muachie Lissu aongoze Chama nitawapa mbinu
Hizi vodka za Urusi haha
Wamekusikia sofia njemaAkistaafu kwa heshima kidogo iliyobakia atakuwa ameitendea haki career yake yote ya kisiasa.
Ila akiamua kukomaa ataondoka kwa aibu kuu.
Hii ina maana kubwaAkistaafu kwa heshima kidogo iliyobakia atakuwa ameitendea haki career yake yote ya kisiasa.
Ila akiamua kukomaa ataondoka kwa aibu kuu.
Wengine akina nani hao wamekutuma uwapigie debe au sumaye aliyegombea pekee yake uwenyekiti wa Kanda na akakosaHakika, apishe na wengine
Mbowe Mbowe Mbowe mheshimiwa Mbowe unapozungumzia Demokrasia na Katiba Mpya una maanisha nini?
Chama chako Democracy yake haiweki ukomo wa mwenyekiti kuongoza na sisi CCM tuna mpango kufuta ukomo wa urais ili atawale kwa amani bila bugdha,
Mbowe muachie Lissu aongoze Chama nitawapa mbinu
Hizi vodka za Urusi haha
Mpeni uenyekiti Mr. UgaliMbowe Mbowe Mbowe mheshimiwa Mbowe unapozungumzia Demokrasia na Katiba Mpya una maanisha nini?
Chama chako Democracy yake haiweki ukomo wa mwenyekiti kuongoza na sisi CCM tuna mpango kufuta ukomo wa urais ili atawale kwa amani bila bugdha,
Mbowe muachie Lissu aongoze Chama nitawapa mbinu
Hizi vodka za Urusi haha
Kwa siasa na uchumi wa nchi hii ni heri Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti hadi katiba mpya ipatikane!Mbowe Mbowe Mbowe mheshimiwa Mbowe unapozungumzia Demokrasia na Katiba Mpya una maanisha nini?
Chama chako Democracy yake haiweki ukomo wa mwenyekiti kuongoza na sisi CCM tuna mpango kufuta ukomo wa urais ili atawale kwa amani bila bugdha,
Mbowe muachie Lissu aongoze Chama nitawapa mbinu
Hizi vodka za Urusi haha
Kama chama chako kiliwahi kuongozwa na shetani Magufuli basi wanachama wote ni wehu?Anaongoza wajinga kibao Ufipa. Sasa anawezaje kuachia kiti
KwaniniJamaa achie kula pesa za wajinga?
Haha Sacoss inasubiri James akue aingie kulinda maslhai ya dingilai
James hawezi vaa viatu hata vya Ole Sosopi achilia mbali baba yake Mbowe. Yule dogo sio mwanasiasa kabisa. Anachofanya Mbowe ni kulazimisha kumrithisha mwanae chama huku akiwa hana uwezo kabisa. Mbowe atafute mrithi mwingine ndani ya familia yake ili kulinda chama cha familia kisiangukie kwenye mikono ya mtu baki kama Lissu.Jamaa achie kula pesa za wajinga?
Haha Sacoss inasubiri James akue aingie kulinda maslhai ya dingilai
Duka la familia kakaKwanini
NaamAkistaafu kwa heshima kidogo iliyobakia atakuwa ameitendea haki career yake yote ya kisiasa.
Ila akiamua kukomaa ataondoka kwa aibu kuu.