Mbowe kahusishwa na MKIRU, IGP Sirro ameamua kurudisha jeshi huko

Mbowe kahusishwa na MKIRU, IGP Sirro ameamua kurudisha jeshi huko

Sirro hana uwezo wa kumshinda Mungu , ni mtu mdogo sana ambaye siku zake kwenye utumishi wa umma zinahesabika , Mbowe alimshinda Magufuli ndio aje kuwa huyu aliyepewa U IGP na Makonda ?
Alimshinda Magufuli? Kiaje mkuu? Mbona aliufyata Hadi alipokufa ndio akaenda kusherekea? Na mbona hajitoi gerezani Kama Ni mwamba kiasi hicho? Je yeye ndiye alomuua Hayati JPM au unamaanisha Nini kusema alimshinda?
 
Hii uleta shaka Ina maana mwendazake angemuacha Mbowe kwa ushahidi huu kule.

Huyu mzee wa picha ya mnato eti ndo ccctv ni ngumu Sana kumuamini.Eti dereva mchovu ndo amteke tajiri,mo mtu wa mazoezi yaani atekwe na dereva yule dhoofu,uleta shaka Sana kwenye weledi wa huyu kada mwahidiwa ubunge.
 
Sirro hana uwezo wa kumshinda Mungu , ni mtu mdogo sana ambaye siku zake kwenye utumishi wa umma zinahesabika , Mbowe alimshinda Magufuli ndio aje kuwa huyu aliyepewa U IGP na Makonda ?
Mbona yuko ndani? Mungu yuko wapi?

Mwacheni Mungu haya mambo
 
Hoja yako haina mantiki. Amezungumzia suala la Bodaboda kufa sana na kutokuvaa Helmet, amezungumzia vifo vya ushirikina na mauji ya wivu wa kimapenzi, yote hayo nayo Mbowe anahusika nayo?

Suala la MKIRU, ni washenzi wanaoamini kuwa Mungu anahitaji kupiganiwa kwa kuua watu. Mbowe na 'islamic terrorism' vinahusiana nini?
 
Sirro hana uwezo wa kumshinda Mungu , ni mtu mdogo sana ambaye siku zake kwenye utumishi wa umma zinahesabika , Mbowe alimshinda Magufuli ndio aje kuwa huyu aliyepewa U IGP na Makonda ?
Mbona mnapenda sana kumkimbilia Mungu. Hamna uwezo wa kupambana na mnategemea miujiza? Kwa mwendo huu, tutegemee siku moja, upinzani mtaanza kutumia wachawi kupambana na CCM.

By the way, Mbowe alimshinda vipi Magufuli. Maana as far as I know, 2020 'aliwanyang'anya' wabunge na halmashauri zote, na mgombea wenu akakimbia nchi.
 
Mbona mnapenda sana kumkimbilia Mungu. Hamna uwezo wa kupambana na mnategemea miujiza? Kwa mwendo huu, tutegemee siku moja, upinzani mtaanza kutumia wachawi kupambana na CCM.

By the way, Mbowe alimshinda vipi Magufuli. Maana as far as I know, 2020 'aliwanyang'anya' wabunge na halmashauri zote, na mgombea wenu akakimbia nchi.
Magufuli yuko wapi sasa ?
 
Naamini wewe ni muelewa kiasi cha kutosha kuweza kung'amua kuwa swali langu hilo lina majibu ndani yake.

Magufuli kufariki, Mbowe anakuwa ameshinda vipi? [emoji848]
Magufuli alianza kushindwa kabla hajafa , alifikia hadi kuiba hela za Mbowe kwenye akaunti , ulisikia Mbowe ametetereka ?
 
Magufuli alianza kushindwa kabla hajafa , alifikia hadi kuiba hela za Mbowe kwenye akaunti , ulisikia Mbowe ametetereka ?
From about 100 MPs to 0. From hundreds Councilors to Zero. Froms about tens Councils to 0. Bado unasema Mmlimshinda Magufuli. Unafaa kuwa Mchungaji. Neno la faraja unaliweza sana.
 
Magufuli alianza kushindwa kabla hajafa , alifikia hadi kuiba hela za Mbowe kwenye akaunti , ulisikia Mbowe ametetereka ?
Sasa ndiyo kushinda kwaMbowe huko shida yako unakuwa muoga hata kuandika wakati uko peke yako na huna kitu mfukoni, unajaribu kuondoa stress za uvivu wa kutokufanya kazi
 
Sasa ndiyo kushinda kwaMbowe huko shida yako unakuwa muoga hata kuandika wakati uko peke yako na huna kitu mfukoni, unajaribu kuondoa stress za uvivu wa kutokufanya kazi
Umeamua kuandika tu ili ulipwe !
 
Sirro ulianza vyema sana ILA unamaliza muda wako ukiwa na makandokando mengi mno.
Inshort ulianza na Mungu na unamaliza na yule aliye 'kinyume na Mungu'.
 
Back
Top Bottom