Mbowe kahusishwa na MKIRU, IGP Sirro ameamua kurudisha jeshi huko

Mbowe kahusishwa na MKIRU, IGP Sirro ameamua kurudisha jeshi huko

Wakuu,

Tunaweza kuwa tunalaumu sana mashitaka aliyofunguliwa mwenyekiti wa CHADEMA bila kuwa na uelewa kwamba anajihusisha na mambo hayo au hajihusishi.

Kufuatia press meeting aliyoifanya IGP Sirro akiwataka wanachadema kutokuonekana Mahakamani kupinga tuhuma zinazomkabili mwenyekiti na kueleza umma kuwa Mbowe amehusika.

Kitendo cha Sirro kuzungumzia mambo yaliyotokea huko Mkuranga na Rufiji katika press ile ni wazi kwamba alijaribu kutaka kusema kwamba Mbowe amehusishwa na mambo yale ya Mkiru.

Kwanini atumie press ile kutoa taarifa ya Mbowe na ugaidi uliofanyika miaka michache huko Mkuranga na Rufiji.. pia kuriamuru jeshi la polisi kuongeza nguvu huko.

Hapa naona moja kwa moja Mbowe akihusishwa na Mkiru.
Kweli wewe mjinga charge sheet ndivyo imesema hivyo, mlisema alitaka kuuwa viongozi sita je mashakta hamna hilo kosa mambo yauongo ni kazi ya shetani aacheni
 
Umeandika mengi ya kulalamika. Je, wewe unachukua hatua gani? Au kulalamika JF ndio umetimiza wajibu wako? DU!!!!
Mimi ni mwananchi ninayejitegemea . Sinufaiki chochote na siasa za vyama.
Wanufaika ndio wanaotakiwa wapiganie haki zao za kisiasa. Mimi napinga tu dhulma kwa yeyote kwani binadam anapaswa kuishi kwa ustarabu na kutenda haki kwa wengine.

Mtendee mwenzako kile unachotaka utendewe na usimtendee kile usichotaka kutendewa wewe.

Nitaacha kunywa pombe mwezi mzima na kupanda bodaboda mpaka Mbowe aachiwe kuonyesha kuchukizwa kwangu na binadam kumtafutia binadamu mwingine mabaya wakati korona inawamaliza watu bila kujali vyama.
Tunapaswa kuombeana na kutendeana mema mana adui corona anafyeka watu bila huruma.



Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Sirro hana uwezo wa kumshinda Mungu , ni mtu mdogo sana ambaye siku zake kwenye utumishi wa umma zinahesabika , Mbowe alimshinda Magufuli ndio aje kuwa huyu aliyepewa U IGP na Makonda ?
Mungu anaona kila njama wanazotufanyia. Sisi hatuna Mabunduki na mabomu. Tuna majonzi na vilio tu mioyoni
 
Mimi ni mwananchi ninayejitegemea . Sinufaiki chochote na siasa za vyama.
Wanufaika ndio wanaotakiwa wapiganie haki zao za kisiasa. Mimi napinga tu dhulma kwa yeyote kwani binadam anapaswa kuishi kwa ustarabu na kutenda haki kwa wengine.

Mtendee mwenzako kile unachotaka utendewe na usimtendee kile usichotaka kutendewa wewe.

Nitaacha kunywa pombe mwezi mzima na kupanda bodaboda mpaka Mbowe aachiwe kuonyesha kuchukizwa kwangu na binadam kumtafutia binadamu mwingine mabaya wakati korona inawamaliza watu bila kujali vyama.
Tunapaswa kuombeana na kutendeana mema mana adui corona anafyeka watu bila huruma.



Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
a word
 
Mbona mnapenda sana kumkimbilia Mungu. Hamna uwezo wa kupambana na mnategemea miujiza? Kwa mwendo huu, tutegemee siku moja, upinzani mtaanza kutumia wachawi kupambana na CCM.

By the way, Mbowe alimshinda vipi Magufuli. Maana as far as I know, 2020 'aliwanyang'anya' wabunge na halmashauri zote, na mgombea wenu akakimbia nchi.
Mi sio mwanasiasa, ila there is something fishy with the way politics is done. For sure, ccm is under protection, if you think this is not, allow free politics without bias and you will see what goes with you the next
 
Mi sio mwanasiasa, ila there is something fishy with the way politics is done. For sure ccm is under protection, if you think this is not, allow free politics withoout bias and you will see what will gowith you guys.
Of course CCM has been under protection since 1960s/70 during Party Supremacy era. System has remained the same till today!
 
Wakuu,

Tunaweza kuwa tunalaumu sana mashitaka aliyofunguliwa mwenyekiti wa CHADEMA bila kuwa na uelewa kwamba anajihusisha na mambo hayo au hajihusishi.

Kufuatia press meeting aliyoifanya IGP Sirro akiwataka wanachadema kutokuonekana Mahakamani kupinga tuhuma zinazomkabili mwenyekiti na kueleza umma kuwa Mbowe amehusika.

Kitendo cha Sirro kuzungumzia mambo yaliyotokea huko Mkuranga na Rufiji katika press ile ni wazi kwamba alijaribu kutaka kusema kwamba Mbowe amehusishwa na mambo yale ya Mkiru.

Kwanini atumie press ile kutoa taarifa ya Mbowe na ugaidi uliofanyika miaka michache huko Mkuranga na Rufiji.. pia kuriamuru jeshi la polisi kuongeza nguvu huko.

Hapa naona moja kwa moja Mbowe akihusishwa na Mkiru.
Lazima ile issue ya Mkurunga ni figisu la Wanasiasa,na wanajuwana vizuri sana,hakuna litakalo baki sirini!!
 
wacha siasa za maji taka broo

Mbowe alimshinda Magufuli nini
Mama amekubali kuingizwa kwenye siasa za kitoto, ndio maana anatumia fedha za umma kwenda kupambana na kesi ya kubambikizia, huku mambo ya msingi yakimshinda. Anashindwa kumkamata aliyekuwa anaitia serikali hasara kwa kijiunganishia bomba la mafuta, halafu anatumia hovyo pesa za serikali kwa kuendekeza siasa za kitoto, kisha unashanglia huo utoto kama zwazwa. Hapo wazungu wataacha kutuita manyani kweli?
 
Ila msoto atakua ameupitia haswa na chamoto amekiona

Wakati wa yule kiongozi muovu aliye motoni alikaa huko magereza miezi zaidi ya mitatu, hakuna jipya hapo. Hawa viongozi majizi ya kura ndio wanaogopa jela.
 
Hivi Mbowe si ndo huyu huyu alihusishwa na kifo cha yule mwanafunzi?
Ndugu,
Waliomhusisha ni walewale mapolisi mabingwa wa kubambikiza kesi. Fuatilia pia matokeo ya rufaa yao itajibu zaidi maswali yako.
 
Mbona yuko ndani? Mungu yuko wapi?

Mwacheni Mungu haya mambo
Pole sana ndugu,
Mungu wa haki yupo wakati wote hata katika kipindi cha giza, yu hai.
Shetani ndio anakudanganya yinginevyo, kama ilivyokuwa kwa waliyomdhihaki Yesu alipokuwa msalabani.
 
Wakuu,

Tunaweza kuwa tunalaumu sana mashitaka aliyofunguliwa mwenyekiti wa CHADEMA bila kuwa na uelewa kwamba anajihusisha na mambo hayo au hajihusishi.

Kufuatia press meeting aliyoifanya IGP Sirro akiwataka wanachadema kutokuonekana Mahakamani kupinga tuhuma zinazomkabili mwenyekiti na kueleza umma kuwa Mbowe amehusika.

Kitendo cha Sirro kuzungumzia mambo yaliyotokea huko Mkuranga na Rufiji katika press ile ni wazi kwamba alijaribu kutaka kusema kwamba Mbowe amehusishwa na mambo yale ya Mkiru.

Kwanini atumie press ile kutoa taarifa ya Mbowe na ugaidi uliofanyika miaka michache huko Mkuranga na Rufiji.. pia kuriamuru jeshi la polisi kuongeza nguvu huko.

Hapa naona moja kwa moja Mbowe akihusishwa na Mkiru.
Sasa mbona ITV Taarifa ya Habari 20:00PM..Msemaji wa Polisi kasema hakuna tishio la ugaidi maeneo hayo?Baada ya kufanya uchunguzi, kufuatia agizo la IGP Siro?
 
From about 100 MPs to 0. From hundreds Councilors to Zero. Froms about tens Councils to 0. Bado unasema Mmlimshinda Magufuli. Unafaa kuwa Mchungaji. Neno la faraja unaliweza sana.
Mliuzwa na Marehemu JPM Mkuu...Ushamba Sana CCM walitumia uchaguzi mkuu 2020.Tuna fahamu kila kitu,ni suala la muda tu,....tena mfupi mno.
 
Hizi ni propaganda za kufanya watu wasahau tozo za miamala ya simu na chanjo ya Covid 19-21
 
Wakuu,

Tunaweza kuwa tunalaumu sana mashitaka aliyofunguliwa mwenyekiti wa CHADEMA bila kuwa na uelewa kwamba anajihusisha na mambo hayo au hajihusishi.

Kufuatia press meeting aliyoifanya IGP Sirro akiwataka wanachadema kutokuonekana Mahakamani kupinga tuhuma zinazomkabili mwenyekiti na kueleza umma kuwa Mbowe amehusika.

Kitendo cha Sirro kuzungumzia mambo yaliyotokea huko Mkuranga na Rufiji katika press ile ni wazi kwamba alijaribu kutaka kusema kwamba Mbowe amehusishwa na mambo yale ya Mkiru.

Kwanini atumie press ile kutoa taarifa ya Mbowe na ugaidi uliofanyika miaka michache huko Mkuranga na Rufiji.. pia kuriamuru jeshi la polisi kuongeza nguvu huko.

Hapa naona moja kwa moja Mbowe akihusishwa na Mkiru.
Kama hujui kitu bora ukae kimya tu!!ina maana hujui kinachoendelea huko msumbiji ?kwa majeshi ya SADC na washirika, juu ya hao wana mgambo wanao isumbua msumbiji?!!kule kuna kichapo kikali sana kinaendelea hivyo ni rahisi kukimbilia Tz, ndio maana lazima kujihami, na huyo amesema tu lakini walioko huko ni wenye kazi yao ya kulinda nchi.
 
Kama hujui kitu bora ukae kimya tu!!ina maana hujui kinachoendelea huko msumbiji ?kwa majeshi ya SADC na washirika, juu ya hao wana mgambo wanao isumbua msumbiji?!!kule kuna kichapo kikali sana kinaendelea hivyo ni rahisi kukimbilia Tz, ndio maana lazima kujihami, na huyo amesema tu lakini walioko huko ni wenye kazi yao ya kulinda nchi.
Kwahiyo wanamtumia Mbowe kama chambo au? Sijaelewa!
 
Back
Top Bottom