Kila mwaka lazima aseme nimelazimishwa mbowe ni museveniMwaka 2014 alifanya drama hizi tena. Wakati ule alienda kuombwa na akina mama. Mwaka 2009 wakati Zitto Kabwe amemshika Pabaya, aliwapanga wazee wa chama wakaenda kumuomba kugombea. Ni drama kulia na kushoto.
Sawa.Wanaomuomba ni wale anaokula nao
Kakodi mziki au kautoa storeMtu anayeenda kulazimishwa anaandaje mazingira ya kwenda kulazimishwa? Anakodisha muziki kabisa na kujaza viti nyumbani kwake ili watu waende kumuomba agombee kweli tumekuwa watoto kiasi hicho ?
Acha uchawa, msikuluze huyu hapa .Amepata taarifa kuwa kuna appointment ya watu kuja kumuona hapo mikocheni , akauliza idadi akaambiwa nizaidi ya mia je asiweke maZingira(logistics) sawa kwa ajili ya ugeni?
Katumia chama kama chambo cha kufyonzea fedhaMchagga sehemu yenye mrija wa pesa hawezi achia............!! Mambo ya Demokrasia mtajua wenyewe.
Nimecheka mpaka nimepaliwa na mbege yangu hapa.Si yeye, hao wanaomlazimisha ndio waliofanya maandalizi yote hayo kwa nguvu. Inadaiwa kuwa yeye alijaribu kuwazuia lakini wakamzidi nguvu wakavunja geti wakaingiza hayo ma-tents na viti wakaanda kila kitu bila ridhaa yake
Haahaa na boni yai, na yule jamaa aliyejifanya ni agent wa tiss fake😂😂Sawa. Hao ni watu wanaonufaika na mgongo wake. Hivi unadhani mtu Kama John mrema atataka mbowe aondoke?
Unafiki ndo umewajaa😂Kuna wafuasi wa cdm uwa wanawasema vibaya kagame na mu7
Waelimisheni vijana Siasa na Sihasa. Anajiandaa kulazimishwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Sasa anatushawishi vipi kuwa akiwa raisi hatalazimiahwa kama akina Yoweri na Kagame? ,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.Mtu anayeenda kulazimishwa anaandaje mazingira ya kwenda kulazimishwa? Anakodisha muziki kabisa na kujaza viti nyumbani kwake ili watu waende kumuomba agombee kweli tumekuwa watoto kiasi hicho ?
Kuna mkubwa mmoja Jana alisema, uchaguzi huu utaamua mbowe akaungane na kina lipumba kuua vyama vyao au ajitenge nap na kukaa pembeni kubaki mtiifu na mshauri mkuu kwa chamaDah! Anatia huruma mbaya.Kwa hali ilikofikia Kwa sasa,yeye asihangaike kugombea tena na kama hana imani na Lisu basi aweke mtu anayemtaka yeye angalau watu watamwelewa.Otherwise atajidhalilis
Wee mbowe awe rais, miaka 10 madarakani atasema ni ya kukomaa kwanza😂😂Waelimisheni vijana Siasa na Sihasa. Anajiandaa kulazimishwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Sasa anatushawishi vipi kuwa akiwa raisi hatalazimiahwa kama akina Yoweri na Kagame? ,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Udikteta una sura nyingi sana, binafsi natamani Kila uongozi tugonge ukomo sio udiwani, ubunge, urais, uwenyekiti nkKila mwaka lazima aseme nimelazimishwa mbowe ni museveni
HahahahaaaaaaMtu anayeenda kulazimishwa anaandaje mazingira ya kwenda kulazimishwa? Anakodisha muziki kabisa na kujaza viti nyumbani kwake ili watu waende kumuomba agombee kweli tumekuwa watoto kiasi hicho ?
Ukweli ni kuwa demokrasia wanayoitaka hata wao hawaitekelezi.Wee mbowe awe rais, miaka 10 madarakani atasema ni ya kukomaa kwanza😂😂
Haya mambo mageni tumezoea kuyaona CCMMtu anayeenda kulazimishwa anaandaje mazingira ya kwenda kulazimishwa? Anakodisha muziki kabisa na kujaza viti nyumbani kwake ili watu waende kumuomba agombee kweli tumekuwa watoto kiasi hicho ?
🤔🤔🤔Ana watu wa kwenda kumuomba agombee, ila hana watu wa kuingia barabarani kumdai Deusdedith Soka