Mbowe, kama ubia ni kuuza waondoe Protea Hotel kwenye uendelezaji, uboreshaji, na uendeshaji wa hotel yenu ya Aishi Machame

Na wewe ukute kuna mwanaume anakuona unavutia
 
Na wewe ukute kuna mwanaume anakuona unavutia
Sema uongo juu yangu nami nitasema ukweli juu yako- wewe ni mpumbavu na ni kweli kwa sababu lugha za kudhalilisha hapa si mahala pake isipokuwa zinafaa kwenye jukwaa la wapumbavu
 
Nchi imeyumba
Nchi imetikisika
Wamepoteana na sasa kila.mtu ananena kwa lugha yake
 
wewe unazijua terms na conditions za HGA, CONCESSION, NA LEASE AGREEMENT kati ya TPA na DP World?
Acha ujinga. Na hutapata chochote zaidi ya kutumika kama toilet paper, leta majibu ya juu ya muda wa mkataba, Tanzania inapata nn ktk Kila muamala, Kwa nn sheria ya Mali asili za Taifa ya 2017 ikiukwe, Kwa nn DP WORLD wapewe Kila aina msamaha wa Kodi kadiri watakavyo, Kwa nn Tanzania Haina mamlaka ya kuvunja huu uhuni wenu pasi na ridhaa ya hao bwana zenu? Kwa uchache jibu hayo.

Naamini hata wazazi wako wakiona chapisho lako na kama wewe ni Mtanzania (sound mind) wanaweza kukukana.
 
Huwezi kupata hivyo vitu kwa sababu kilichopo siyo mkataba; utakuwa mjinga tu kupata hivyo vitu kutoka kwenye makubaliano. Wakili wenu kule mahakami Mbeya kasema hakuna mkataba- sasa wewe pinga hadi watakapo kwambia vinginevyo
 
Huwezi kupata hivyo vitu kwa sababu kilichopo siyo mkataba; utakuwa mjinga tu kupata hivyo vitu kutoka kwenye makubaliano. Wakili wenu kule mahakami Mbeya kasema hakuna mkataba- sasa wewe pinga hadi watakapo kwambia vinginevyo
Aliesema si mkataba ni nani?. Na kama si mkataba kazi ya bunge ilikuwa kujadili nn na wakapitisha nn?. Kwa mzaha mzaha wenu huu ndio mana watu wame opt kutumia maneno magumu majukwaani dhidi yenu ili kuwastua vichwa vyenu na Sasa imeanza kuwaingia.
 
Mkuu sawa hebu tujaribu pia hili
kwa arrangement ya Mbowe na Protea Hotel, kwa sasa Aishi Hotel ni mali ya nani? Je imeuzwa?
Ujaribu kwani wewe ni shareholder?

Kama ni shareholder au board member unaonaje hayo mkiyajadili kwenye vikao vyenu na huyo aliyekupa hint mshauriane hivyo?

Property za Mbowe iwe ni za kurithi iwe ni za kwake au ni ubia naona haituhusu kama inavyotuhusu hii blunder ya bandari ambayo ni yetu sote na hata kwa wajukuu na vizazi vijavyo vya Tanzania.

Tukianza kuweka record ya mali binafsi za viongozi wa kisiasa humu unafikiri utakua ni mjadala utakuwa na mizania sawa?

Please don't subvert people's will.
 
Tutasikia mengi na watu wataelewa mbichi na mbivu
 
Ujinga mzigo cjui nani kawaloga uvccm!! Kwann hamtaki kujadili hoja wanazopinga Kwenye huo mkataba? Uvccm mentality zenu za hivyo kbs!! Ishi humo 👇👇
 

Attachments

  • 1687761662681.jpeg
    182.2 KB · Views: 2
Nyumbu wana hasiraaa🤣🤣🤣🤣🤣

Ukiwagusa kidogo tu si kwa matusi hayo!
 
Hapo ndipo walipolikoroga zaidi.

Wanatoa kauli mbilimbili.

Kimsingi hawajamsaidia Rais bali wanafanya kilicho ndani ya fikra zao ambapo si usahihi wa matakwa ya nchi
 
Kwa vile Mbowe anajua faida ya kuwa kuyatumia makampuni yenye majina kuendeha biashara kuna tija na kunaongeza mapato.
Mleta mada utaendelea kuwa mpuuzi hadi lini?
Kwani kuna aliyekataa uwekezaji wewe kenge?
Kinachokataliwa ni huu upuuzi wa huu mkataba wa kitapeli na kifisadi!
 
We nyoko zako! usilinganishe na bandari zetu nyangau wahead! Sasa inabidi tutukane tu!
 
Aliesema si mkataba ni nani?. Na kama si mkataba kazi ya bunge ilikuwa kujadili nn na wakapitisha nn?. Kwa mzaha mzaha wenu huu ndio mana watu wame opt kutumia maneno magumu majukwaani dhidi yenu ili kuwastua vichwa vyenu na Sasa imeanza kuwaingia.
Mkuu muulize Mdude Chadema na wakili Boniface Mwambukusi walichosema mahakamani Mbeya
 
Mkuu muulize Mdude Chadema na wakili Boniface Mwambukusi walichosema mahakamani Mbeya
Kila siku nimefuatilia updates za hyo kesi Kwa de briefing ya mawakili Mwabukusi na mawakili wengine. Mdude si wakili wa hiyo kesi nimuulize nn Sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…