Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Mwanaume unatakiwa kukubali mateso kama anavyokomaa Sabaya.
Kwa nini unakubali kuuza utu wako kisa tu mateso?
Kwa nini unakubali kuuza utu wako kisa tu mateso?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama SII mmoja WA COVID 19,umoja,au wamichongo utani samehe🤔Mwanaume unatakiwa kukubali mateso kama anavyokomaa Sabaya.
Kwa nini unakubali kuuza utu wako kisa tu mateso?
View attachment 2264505
Alivo kaa gerezani kwa miezi 9 nyie mnao jifanya wazalendo mlimsaidiaje, mlicanga pesa yote kupelekea familia yake, katika wana siasa walio jitolea sana kulinda heshima ya upizani ni mbowe, ila wa tznia walimsaliti sana.Mwanaume unatakiwa kukubali mateso kama anavyokomaa Sabaya.
Kwa nini unakubali kuuza utu wako kisa tu mateso?
View attachment 2264505
Ni rahisi kusema tu kwamba mwanaume kubali kuvumilia mateso. Kwani nia na madhumuni ni kujenga uadui au ni kuwa na atmosphere nzuri ya kisiasa kwa mustakabali wa nchi?Mwanaume unatakiwa kukubali mateso kama anavyokomaa Sabaya.
Kwa nini unakubali kuuza utu wako kisa tu mateso?
View attachment 2264505
RubbishMwanaume unatakiwa kukubali mateso kama anavyokomaa Sabaya.
Kwa nini unakubali kuuza utu wako kisa tu mateso?
View attachment 2264505
Mashudu!Mwanaume unatakiwa kukubali mateso kama anavyokomaa Sabaya.
Kwa nini unakubali kuuza utu wako kisa tu mateso?
View attachment 2264505
Idiotic argument.Mwanaume unatakiwa kukubali mateso kama anavyokomaa Sabaya.
Kwa nini unakubali kuuza utu wako kisa tu mateso?
View attachment 2264505
Upuuzi mtupuMwanaume unatakiwa kukubali mateso kama anavyokomaa Sabaya.
Kwa nini unakubali kuuza utu wako kisa tu mateso?
View attachment 2264505
Huna kazi, kila mara Mbowe tu.Mwanaume unatakiwa kukubali mateso kama anavyokomaa Sabaya.
Kwa nini unakubali kuuza utu wako kisa tu mateso?
View attachment 2264505
Hata kama ungekuwa wewe ungeachaje kumsifia Rais Samia?Mwanaume unatakiwa kukubali mateso kama anavyokomaa Sabaya.
Kwa nini unakubali kuuza utu wako kisa tu mateso?
View attachment 2264505
Sabaya alikomaa kwa kipi? State iliamua kumfanyia DEMO ili iwe red alert kwa top officials wengine ambao wanafanya maovu kwa mgongo wa KIONGOZI MKUU.
State Ilishamfilisi hadi akashindwa kulipa legal fee ya wanasheria wake, wakajitoa. Baada ya kumuonyesha kuwa he is nothing mbele ya state wamemuachia in a technical way.
Hutosikia anafungua kesi sijui kudai fidia au kufungwa kimakosa, he will be a good citizen.
Unakumbuka Zombe alipotaka kuidai Serikali fidia nini kilimkuta? Walimwambia ukidai fidia basi tunafanya review ya kesi na kukushtaki upya. Where is he?! Katulia tulii.