Mwenyekiti kaomba "poo".....
Hii bagosha
Unawasikiliza kina Kamanda Asiyechoka shingoni:
View attachment 2141601
kuwa ndiyo wasemaji wake au wa CDM?
Mambo iko huku:
View attachment 2141559
Tambua nia njema ya siasa za kistaarabu imekuwa ikipotoshwa na wanyoa viduku na wenye kutupia jezi za Yanga Afrika hawa:
View attachment 2141561
Kumbuka mama katamka ,hii nchi ni yetu sote.
Nani kama Mama?
Ishindwe na ilegee timu hii:
View attachment 2141564
Au nasema uongo ndugu zangu?
Mwenyekiti kaomba "poo".....
Hii bagosha
Itifaki imezingatiwa
Watu walizungumza sanaaa lakini akishazungumza mazungumzo yanakua yamehitimishwa na kufungwa rasmi
Naunga mkono hoja.
Tujenge nchi yetu kwa upendo, amani na utulivu.
Tunajenga nchi moja.
Kuna watu watakonda sana Mwaka huu. Si kwa mapigo haya.Kuna watu wakiona wapinzani wanafurahi hivi wakiwa kwenye jengo ambalo nao wanalihudumia kupitia kodi zao nya inagonga pichu, Bwana yule nadhani alipandikizwa na maadui ili kuvuruga amani ya nchi, mambo aliyokuwa anafanya siyo ya kitanzania kabisa, hivi vifuasi vyake uchwara vimebaki kutapatapa tu kwa ID fake....Ni heri njama zake zilitambulika mapema before hajaharibu zaidi.....
View attachment 2140712
mimi sijui kwa nini wana ccm wanaumizwa na hali hii ya amani inayochipua nchini mwetu.Naunga mkono hoja.
Tujenge nchi yetu kwa upendo, amani na utulivu.
Tunajenga nchi moja.
imekula kwao Team Lumumba roho mbaya fcHaya mambo wakati mwingine nikiangalia chanzo chake ni propaganda nyepesi za lumumba tu zinawayumbisha wasiojiamini.
Maneno kama Mbowe amesalimu amri, amenunuliwa, ni afisa wa TISS, na mengine ni vitu vya kuchekesha sana.
Kila mtu anafahamu msimamo wa Mbowe akiwa gerezani mpaka alipotoka, nani waliomtoa na walimtoa akiwa na msimamo upi, sasa pressure ya kuogopa mazungumzo inatoka wapi?
Oooh Mbowe ni TISS, sasa kama angekuwa mwenzao wangehangaika kumfunga kila wakati si wangempa maelezo tu afanye nini? na kwa kizazi hiki sio rahisi kuwadanganya wengi kwa wakati mmoja, atashtukiwa tu.
Mazungumzo muhimu yawepo, kuanzia hapo ndio ramani nyingine ianze kuchorwa, hapo ndipo mwanasiasa atakuwa na "guts" za kwenda kwa wananchi awaambie kwa upande wangu nilifanya moja, mbili, tatu, hawakujibu; sio kususa, unasusa halafu wananchi wakikuuliza ulifanya nini utawajibu kitu gani?
Kususa ni siasa za kioga, za wasiojiamini na waviziaji, wanaotaka kutumia kila jambo kwa manufaa yao binafsi badala ya manufaa ya watanzania kwa ujumla wao.
Na tuache kumnanga kaka Freeman
Tumuunge mkono
mimi sijui kwa nini wana ccm wanaumizwa na hali hii ya amani inayochipua nchini mwetu.
Kumbe wanapenda vita na migogoro. Basi ni watu Duni.
🤣🤣🤣🤣Mkuu wameangaziwa sana hao:
Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa
Tuwatambue Wanaopotosha Ajenda kuhusu Katiba Mpya
Cc: Wakudadavuwa, mama D, Jumbe Brown, Naipendatz, Stroke, Mr Dudumizi, johnthebaptist, Idugunde na binamu zenu.
🤣🤣🤣Hakuna anaponangwa Mh. Mbowe.
Hali kadhalika asinangwe Mama Samia bali hawa hapa:
View attachment 2141762