SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Na bado, huku "carrot and stick" kule ni ...kazi tu...
Ukweli ni kwamba kukosa pesa haichafui jina la nchi.
Na kama jina limechafuka basi ni kwa sababu hizo mbili kuu...Kuhusu Uchaguzi Zanzibar na mchakato endelevu pamoja na hiyo cybercrime/statistics laws.
Wacha tukose fedha lakini sio uwerevu wa kuona haya yawe na kiupambele na yafanywe kwa uangalifu mkubwa.Lakini, yafanyike. Naamini Rais ataonyesha ujasiri kwenye hili la uchaguzi, na bunge kwenye hiyo sheria ya mtandaoni bila kujali vishinikizo vya nje ,medani yetu itaendelea kung'ara tu.
Ukweli ni kwamba kukosa pesa haichafui jina la nchi.
Na kama jina limechafuka basi ni kwa sababu hizo mbili kuu...Kuhusu Uchaguzi Zanzibar na mchakato endelevu pamoja na hiyo cybercrime/statistics laws.
Wacha tukose fedha lakini sio uwerevu wa kuona haya yawe na kiupambele na yafanywe kwa uangalifu mkubwa.Lakini, yafanyike. Naamini Rais ataonyesha ujasiri kwenye hili la uchaguzi, na bunge kwenye hiyo sheria ya mtandaoni bila kujali vishinikizo vya nje ,medani yetu itaendelea kung'ara tu.