Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Ficha upumbavu wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili za mbowe ni kama za muuza utumbo anabakia kupepea nzi badala ya kufuta mavi
sipendi kitu kinaitwa msaada toka kwa watu weupe hapo mbowe na kama ndo msimamo wa chadema siungi mkono hata kidogo...pesa zao wakae nazo na ss tukae na vyetu.
Povu tupu point hakuna.Wewe unamnyazisha Mbowe kama nani,hata mtoto ana haki ya kutoa maoni yake bila bugdha.ulitaka aseme nini kuhusu Zanzibar?Eti Lipumba,kana kwamba misimamo ya Mbowe na Lipumba kuhusu Zanzibar na cybercrime ni tofauti
Hivi nyie hamjachoka tu na kuwa omba omba ukizingatia utajiri tulionao???? Let's be positive and supportive to our president together we can. Just ask yourself how does mcc relate to internal matters? It's just another form of neo colonialism which we have to fight against. Obama alikuja bongo akacheza mpira pale ubungo na kelele zake za power Africa umeona chochote hadi leo?
mbowe anafurahia sisi tukiwa omba omba milele lakini yeye ana mapesa huko nje ya nchi. badala ya kushauri namna ya kuongeza pato la taifa ili kufidia hili gap anazidi kuunga mkono mabeberu wenzake.
UkisikiA UTUMWA WA AKILI NDO HUU. Kazi kuramba nanhii za wazungu. Nyerere angekuwa na akili kama zako hata asingedai uhuru.Hizo fedha za MCC ndizo zilizofanya ndugu zenu waishio vijijini kupata umeme. Kama Magufuli ana dhamila ya dhati kusaidia Taifa hili hana budi kutatua mgogoro wa zanzibar haraka sana. Nashangaa kuona watu wanamshabikia Magufuli kama timu ya mpira. Sasa naanza kuamini tafiti zilizoonesha kuwa "BLACK PEOPLE ARE NOT AS SMART AS WHITE"
Ungejiuliza kwanza bajeti ya nchi yako iliyopitishwa na wabunge wako wa CCM ambao walikuwa zaidi ya 80% bunge LA bajeti, bajeti hiyo inaonyesha utegemezi in % ngapi halafu utafakari watumwa wa akili ni akina nani.UkisikiA UTUMWA WA AKILI NDO HUU. Kazi kuramba nanhii za wazungu. Nyerere angekuwa na akili kama zako hata asingedai uhuru.
Mwambieni Mbowe hatutaki misaada, na yale mapesa ameficha nje ayarudishe haraka.
mbowe anafurahia sisi tukiwa omba omba milele lakini yeye ana mapesa huko nje ya nchi. badala ya kushauri namna ya kuongeza pato la taifa ili kufidia hili gap anazidi kuunga mkono mabeberu wenzake.