Mbowe kuna baadhi ya wana Ukawa mpaka leo hawazungumzi naye. Aliwauza Dr. Slaa

Mbowe kuna baadhi ya wana Ukawa mpaka leo hawazungumzi naye. Aliwauza Dr. Slaa

Aliyasema hayo Dr. Slaa kuhusiana na Uchaguzi 2015 na issue ya kile kituo cha kukusanyia matokeo. Kile kituo kilikuwa cha siri na watu waliofahamu wachache Mbowe akiwepo.

Inasemekana yeye ndo alitoa siri kwa akinq Jan Makamba akapokea Bil 5. Ili asaliti mapambano.akatoa siri ya wapi hicho kituo kilikuwepo maelezo ya hiyo Bilion 5 alikuja mweleza Magufuli, January Makamba . Ndo kisa cha Magufuli kuona wapinzani ni wezi tu.

Hayo yalisema na Dr. Slaa akijibu maswali kuhusiana na kitabu chake na yaliyojiri Mwaka 2015 na baada ya hapo. Anasema wapo baadhi ya watu waliokuwa Ukawa walishaacha hata kuongea na Mbowe. Anakumbukwa siku ambayo ilikuwa wakaonane na wenzie kupanga mikakati akazima simu siku nzima asipatikane kukwamisha juhudi.

Ni mambo ambayo yalimfanya Lowassa anyamaze tu baada ya kugundua msaliti alikuwa katikati yao akimega mkate nao na kunywa divai. Akawasaliti kwa kuwabusu. Kwa vipande vya fedha hivyo.

Haya maneno aliyazungumza Dr. Slaa aka Dr. Mihogo akielezea na kisa cha Abs. Mwang'onda aliyekuwa Mkurugenzi wa Tiss ambaye baadaye alikufa kwa kifo tatanishi akiwa amekata tamaa na kuchoka na kusalitiwa. Mwaka 2015 hadi Tiss walikuwa tayari kuibadilisha nchi.
Kama huyo padre aliyekengeuka aliyajua hayo tangu 2015 kwa nini amekuwa akibembeleza arejee CHADEMA ya Mbowe? Unajua kabisa unauzwa ,lakini bado unamg'ang'ania anayekuuza!.

Hivi kati ya Slaa na Mbowe nani amethibitika kujiuza kwa CCM? Pale Sheraton hotel alifichwa na baadae aliandaliwa press kwa uratibu wa Mwakyembe au anadhani watu wamesahau.

Sasa hivi huyo padre muasi hana thamani hivyo hana cha kuiuzia CCM hivyo anafosi kurejea CHADEMA ili akipata thamani ajiuze tena.

Mke amemkimbia, hana familia amebaki kulia na Mbowe.
 
Aliyasema hayo Dr. Slaa kuhusiana na Uchaguzi 2015 na issue ya kile kituo cha kukusanyia matokeo. Kile kituo kilikuwa cha siri na watu waliofahamu wachache Mbowe akiwepo.

Inasemekana yeye ndo alitoa siri kwa akinq Jan Makamba akapokea Bil 5. Ili asaliti mapambano.akatoa siri ya wapi hicho kituo kilikuwepo maelezo ya hiyo Bilion 5 alikuja mweleza Magufuli, January Makamba . Ndo kisa cha Magufuli kuona wapinzani ni wezi tu.

Hayo yalisema na Dr. Slaa akijibu maswali kuhusiana na kitabu chake na yaliyojiri Mwaka 2015 na baada ya hapo. Anasema wapo baadhi ya watu waliokuwa Ukawa walishaacha hata kuongea na Mbowe. Anakumbukwa siku ambayo ilikuwa wakaonane na wenzie kupanga mikakati akazima simu siku nzima asipatikane kukwamisha juhudi.

Ni mambo ambayo yalimfanya Lowassa anyamaze tu baada ya kugundua msaliti alikuwa katikati yao akimega mkate nao na kunywa divai. Akawasaliti kwa kuwabusu. Kwa vipande vya fedha hivyo.

Haya maneno aliyazungumza Dr. Slaa aka Dr. Mihogo akielezea na kisa cha Abs. Mwang'onda aliyekuwa Mkurugenzi wa Tiss ambaye baadaye alikufa kwa kifo tatanishi akiwa amekata tamaa na kuchoka na kusalitiwa. Mwaka 2015 hadi Tiss walikuwa tayari kuibadilisha nchi.
Aisee kumbe. Yuda askariyote
 
Swala la kujilipa ruzuku kwa kisingizo cha kukikopesha Chama kumbe kipo toka enzi za akina Chacha Wangwe
 
Porojo tupu,mlikuwa wapi!?hizi sio kampeni za kutafuta kura,Dr Slaa ana zuri gani la kumzidi Mbowe,yeye si ndio alikuwa wa kwanza kukimbia chadema!?
Kasome waraka wa Chacha Wangwe wa mwaka 2005 ndo ujue hya mambo hayajaanza leo
 
Kwa yanayoendelea sasa na hela ya Abdul ilivyoivuruga chadema naweza kuamini ,Mbowe siyo wa kumuamini tena
 
1735642187888.png
Slaa = NdumilaKunane(OCTOPUS)! 🤣
 
...
Sasa hivi huyo padre muasi hana thamani hivyo hana cha kuiuzia CCM hivyo anafosi kurejea CHADEMA ili akipata thamani ajiuze tena.

Mke amemkimbia, hana familia amebaki kulia na Mbowe.
... THINK TWICE! ... don't think twice! ... don't think twice! 🎼🎼🎼🎹
😎😎🤣
 
Back
Top Bottom