Hajamalizana na wapambe wanaomzunguuka,anataka kuwalipaWakuu,
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amewashangaa wanaomuonea huruma na kumtaka aondoke madarakani kwasababu tayari ametimiza mambo mengi.
Mbowe ambaye pia anatetea nafasi yake ya Uenyekiti, ameongeza pia kwamba anaamini huu ndio muhula wake wa mwisho madarakani huku akisisitiza kwamba ana ndoto anayotaka kuitimiza kabla hajaondoka madarakani.
Mbowe kafanya mengi apumzike awe mshauri wa chama ampishe Lisu.Ni utapeli tupu, unaongoza miaka 20 bila bila lakini miaka 5 ndiyo utaweza
Hawezi kubali, haiwezekani chama kinapata ruzuku miaka 20 kimeshindwa kuwa na hostel zake pamoja na kumbi ajili ya kuongeza kipato.Mbowe kafanya mengi apumzike awe mshauri wa chama ampishe Lisu.
Atafanikiwa kupata nini na hatafanikiwa nini.Huyu bwana anataka kushindana na wakati/nyakati, ila sijui kama atafanikiwa.
Hana lolote mkuu kashindwa miaka ishirini na moja aje aweze miaka mitanoMbowe ana kitu anataka kusukuma lugha hii kwangu ni ngumu sana😁
Lengo la chama cha siasa sio kujenga hostel.Hawezi kubali, haiwezekani chama kinapata ruzuku miaka 20 kimeshindwa kuwa na hostel zake pamoja na kumbi ajili ya kuongeza kipato.
Wakuu,
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akiwa kwenye mahojiano na BBC amesema;
"Leo Mbowe wa 2025 nina uwezo mkubwa wa kiakili, uzoefu wa kunitosha, nguvu, lakini zaidi nina adhma, dhamira, nina ndoto, nina ndoto ninayotaka kuifikia, kuna kitu nataka nikisukume. Utafika tu wakati ambako (nitapumzika). Hata mimi nimeshatangaza, sidhani kama baada ya kipindi hiki nitakwenda tena kwenye kipindi kingine. Kwamba mimi nimefanya mambo makubwa na wangetamani nipumzika, hiyo huruma inatoka wapi?
"Lakini, siyo kweli kwamba kila damu changa ina uwezo bora kuliko damu ya zamani, hiyo nayo ni dhana potofu, kwasababu ni udhalilishaji vilevile. Katika maisha haya hakuna kitu muhimu kama uzoefu. Siwezi kukimbia kuondoka wakati hatujakamilisha ndoto yetu, tuna ndoto. Binadamu tunafanya kazi kwa maelngo na malengo ni ndoto.
Baada ya kuambiwa ndoto hiyo anaweza kutimizwa na wengine kwenye chama, Mbowe akasema;
"Sahihi, lakini kiongozi mwanandamizi anayeongoza kuitafuta ndoto huwezi kukimbia katikati ya vita, hii ni sawa sawa na vita. Tuko porini tunapigana vita tunautaka uhuru wa nchi yetu. Siwezi nikawaacha wenzangu kwenye mapambano nikakimbia kwasababu nimekaa miaka 20"
Ndo maana nikaomba watu wote tumupuuzeNdoto ambayo ameshindwa kwa miaka 20 ataweza kwa miaka 5?
Usipokuwa na mapato yako siutaendelea kuwa mtumwaLengo la chama cha siasa sio kujenga hostel.
Tamaa mbaya sn Mbowe amekuja kuharibu mwishoniNdo maana nikaomba watu wote tumupuuze
Angekilinda chama kwa wivu mkubwaNauliza tu ndugu zangu makamanda Uchwara huyu Mbowe mbele ya shujaa Magufuli angegombea Uenyekiti Chadema?
Ni hilo tu 😂
Tofauti ya Mbowe na Lipumba ni kuwa mmoja ni Profesa na mwingine ni DJMbowe hana tofauti na akina Cheyo, Lipumba, Mrema n.k
Kwenye hiyo b12 aliyovuta angetumia b2 kuwatupia hao nyumbu wake b10 akaweka kibindoniHajamalizana na wapambe wanaomzunguuka,anataka kuwalipa
Ndoto miaka 20 ? Au ni malue lue na mauza uza.Wakuu,
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akiwa kwenye mahojiano na BBC amesema;
"Leo Mbowe wa 2025 nina uwezo mkubwa wa kiakili, uzoefu wa kunitosha, nguvu, lakini zaidi nina adhma, dhamira, nina ndoto, nina ndoto ninayotaka kuifikia, kuna kitu nataka nikisukume. Utafika tu wakati ambako (nitapumzika). Hata mimi nimeshatangaza, sidhani kama baada ya kipindi hiki nitakwenda tena kwenye kipindi kingine. Kwamba mimi nimefanya mambo makubwa na wangetamani nipumzika, hiyo huruma inatoka wapi?
"Lakini, siyo kweli kwamba kila damu changa ina uwezo bora kuliko damu ya zamani, hiyo nayo ni dhana potofu, kwasababu ni udhalilishaji vilevile. Katika maisha haya hakuna kitu muhimu kama uzoefu. Siwezi kukimbia kuondoka wakati hatujakamilisha ndoto yetu, tuna ndoto. Binadamu tunafanya kazi kwa maelngo na malengo ni ndoto.
Pia soma: Tundu Lissu: Chama hakitaokolewa na mtu ambaye ameshakiongoza kwa miaka 21. Namuokoa Mbowe asiwe 'Mugabe'
Baada ya kuambiwa ndoto hiyo anaweza kutimizwa na wengine kwenye chama, Mbowe akasema;
"Sahihi, lakini kiongozi mwanandamizi anayeongoza kuitafuta ndoto huwezi kukimbia katikati ya vita, hii ni sawa sawa na vita. Tuko porini tunapigana vita tunautaka uhuru wa nchi yetu. Siwezi nikawaacha wenzangu kwenye mapambano nikakimbia kwasababu nimekaa miaka 20"
Amechagua fedheha badala ya heshima.Mbowe kafanya mengi apumzike awe mshauri wa chama ampishe Lisu.
Hakutegemea kama Lisu atachukua fomu ya uwenyekiti kachanganyikiwa kuna mifereji yake hajaziweka sawaAnataka pige hela za mwisho mwisho za bmaza.
Sahihi kabisa lakini wote tabia ni mojaTofauti ya Mbowe na Lipumba ni kuwa mmoja ni Profesa na mwingine ni DJ