Pre GE2025 Mbowe: Kuna kitu nataka nikisukume, wanaotamani nipumzike huruma inatoka wapi?

Pre GE2025 Mbowe: Kuna kitu nataka nikisukume, wanaotamani nipumzike huruma inatoka wapi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni haki yake kuendelea kama ilivyo haki wa wanaotaka kumtoa wamtoe..., kwa ustaarabu yeye angeamua kutoka angetoka (sio kumshinikiza) na akibaki wanaotaka kumtoa wamtoe (kwenye box la kura) na sio kumfukuza wala kumtishia... Nadhani huo ndio utaratibu waliojiwekea wenye Chama chao...
 
Back
Top Bottom