4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Mr Mbowe na chadema kama chama , ccm mpaka sasa imetapatapa , nafikili sio vyema mwenyekiti. M/ mwenyekiti wote kua kwenye chopa moja mnaweza peana zam au achana nayo pia mkapiga ardhi kwa ardhiMwenyekiti wa CHADEMA Mbowe amesema wale wanaodhani ana mgogoro na Tundu Antipas Lissu na wanasema CHADEMA imepasuka Watasubiri sana.
Mbowe amesema Chopa inaanza operation Jimbo la Karatu na ndani ya Chopa atakuwemo yeye Mbowe na Tundu Lissu.
Mlale Unono πππ₯
View attachment 3018963
Credit: Vitus Nkuna Ukurasani X
Pia soma: Kuelekea 2025 - Ni kweli Mbowe hawataki Lissu, Heche, Lema, Msigwa na Wenje ndani ya CHADEMA?
Uyu ndugu yangu , amebeba jina kubwa sana nafikiri alisha jitambua , mwanzo mzee Mgaya alikua anamsumbua sanaJoh sijawahi muelewa yupo upande upi. Kila sehemu anashabikia iwe kwa mama yupo kwa Lissu pia yupo
Hiyo ndege ilitengenezwa na kampuni ya Dornier ya Ujerumani siyo usoviet ingawa upo sawa ilitengenezwa wakati wa Soviet error 1989Ndiyo lakini ni Soviet era aircraft - extremely old and probably with obsolete technology and not airworthy. Waangalie chopa wanazotumia zisiwe zimechakaa kama hayo mabati yaliyoliwa na kutu katika hiyo picha...
Nimecheka kijingaPropagandist ya Chadema iko njema sana...imewapigisha kwata chawa mpaka wakachachawa
---HAKIKA MBOWE ANA HEKIMA SANA, AMETUMIA BUSARA KUUFICHA MPASUKO ULIOPO, HONGERA MWENYEKITI.---Mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe amesema wale wanaodhani ana mgogoro na Tundu Antipas Lissu na wanasema CHADEMA imepasuka Watasubiri sana.
Mbowe amesema Chopa inaanza operation Jimbo la Karatu na ndani ya Chopa atakuwemo yeye Mbowe na Tundu Lissu.
Mlale Unono πππ₯
View attachment 3018963
Credit: Vitus Nkuna Ukurasani X
Pia soma: Kuelekea 2025 - Ni kweli Mbowe hawataki Lissu, Heche, Lema, Msigwa na Wenje ndani ya CHADEMA?
Wote wasitumie nashauriMwenyekiti wa CHADEMA Mbowe amesema wale wanaodhani ana mgogoro na Tundu Antipas Lissu na wanasema CHADEMA imepasuka Watasubiri sana.
Mbowe amesema Chopa inaanza operation Jimbo la Karatu na ndani ya Chopa atakuwemo yeye Mbowe na Tundu Lissu.
Mlale Unono πππ₯
View attachment 3018963
Credit: Vitus Nkuna Ukurasani X
Pia soma: Kuelekea 2025 - Ni kweli Mbowe hawataki Lissu, Heche, Lema, Msigwa na Wenje ndani ya CHADEMA?
Umewaza mbali km mie yaani.Lissu asikubali kuachwa peke yake kwenye chopa, Mbowe ana mpango wa kuiangusha chopa ili Lissu apoteze maisha.
Upinzani alioutabiri Nyerere umejaa wehu kama wewe..Ukiambiwa hiki ndio chama alichoasisi Nyerere huwezi amini kwamba kina wajinga kama hawa.
Kabisa mkuu,we subiri utaniambiaUmewaza mbali km mie yaani.
Hela za chopa mumetoa wapi?Mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe amesema wale wanaodhani ana mgogoro na Tundu Antipas Lissu na wanasema CHADEMA imepasuka Watasubiri sana.
Mbowe amesema Chopa inaanza operation Jimbo la Karatu na ndani ya Chopa atakuwemo yeye Mbowe na Tundu Lissu.
Mlale Unono πππ₯
View attachment 3018963
Credit: Vitus Nkuna Ukurasani X
Pia soma: Kuelekea 2025 - Ni kweli Mbowe hawataki Lissu, Heche, Lema, Msigwa na Wenje ndani ya CHADEMA?
Lissu asikubalii, safarii atapatwa na wa chamani kwake, mwaka ule risasi zilishindwa, safarii hii chopa itamuondoa.Kabisa mkuu,we subiri utaniambia
Bora,mimi nimetahadharisha,CHADEMA wamenitukana mnoo yani kwenye pm yangu.nimewaacha tu,yawezekana hawana hela ya kuchinja mbuzi leo.Lissu asikubalii, safarii atapatwa na wa chamani kwake, mwaka ule risasi zilishindwa, safarii hii chopa itamuondoa.
Lissu awe makini, asituke mapemaa, huu ni mtego. Aaaah
Saivi Joh yupo vizuri naona amejitambua mapemaUyu ndugu yangu , amebeba jina kubwa sana nafikiri alisha jitambua , mwanzo mzee Mgaya alikua anamsumbua sana
Saivi amebadilika hii ndo tunaita kukua kisiasa.johnthebaptist yuko vizuri, anashabikia na kukosa issues. Hataki uchawa.
VX je?Kwahiyo chopa ni kwaajili ya mbowe tu??