the issue is kuandika uongo!Sasa U Dc haumfai Mbowe?acheni dharau jmn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
the issue is kuandika uongo!Sasa U Dc haumfai Mbowe?acheni dharau jmn
Dr Slaa aliteuliwa Ubalozi akiwa na miaka mingapi?DC ni mtumishi wa umma, Mbowe yuko 63 keshastaafu zamaaaani.
Akili zingine, hadhi ya Mbowe ni ya kuwa DC kweli? 😂Hawa Watoto wametoka Huko FB wamekuja na mibange yao huku
Cheo ambacho mbowe anastahili nchi hii kwa heshima na uwezo wa kisiasa aliojijengea ni kuwa waziri mkuu, makamu wa raisi au raisi tu. Huko kwingine kote ni kumvunjia heshima.Mheshimiwa anaenda Kula uteuzi DC Mbozi kupoza maumivu ya kushindwa uchaguzi
Mboe ana hadhi gani?Akili zingine, hadhi ya Mbowe ni ya kuwa DC kweli? 😂
Moderators ndiyo wana entertain huu utoto wakidhalilishwa viongozi wa CCM uzi unafutwa ghafla lakini akidhalilishwa wa upinzani wanafumba macho ila ni kushusha hadhi ya hili jukwaa tu.the issue is kuandika uongo!
huo utakuwa ni udhalilishaji sana kwa "pipozi pawa"Mheshimiwa anaenda Kula uteuzi DC Mbozi kupoza maumivu ya kushindwa uchaguzi
MBOWE SI MWANA CCM,..ATASIMAMIAJE SERA ZA CCM?!!!Mheshimiwa anaenda Kula uteuzi DC Mbozi kupoza maumivu ya kushindwa uchaguzi
ChaiMheshimiwa anaenda Kula uteuzi DC Mbozi kupoza maumivu ya kushindwa uchaguzi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wacha dharau. Mbowe saizi yake Urais akishuka kidogo Waziri Mkuu.
😂😂😂 Imefilisika watu wenye akili wallahIla jamiiforum aisee!!!!
Mashinji na Nassari waliingia CCM lini?MBOWE SI MWANA CCM,..ATASIMAMIAJE SERA ZA CCM?!!!
Yaanii😂😂😂 Imefilisika watu wenye akili wallah
Kamba!!!Nimevuta kitu gani hebu nyoosha maelezo