Legacy defenders.team Legacy
Sisi tulilala na Koroboi na Asubuhi tulikuwa tunapanga foleni ya Sabuni ya kuogeaKweli tumefikia hatua ya kupanga foleni kununua uneme
Hapo nyakato nilishapita Hapo mwaka jana
Wanapiga kura?
Vip Leo kumbe ni haki mtu kama uyu kufungwa mbona kila siku mnapiga kelele mdude chadema aachiwe wakat matusi yake huyu haifikiii hata roboSirro yuko wapi kumbaini huyu member Elitwege na kumfikisha panapo husika?
Huyu anamadharau dhidi ya mkuu wa nchi. Mtu kama huyu ana nia ya kuleta taharuki. Itakuwa ni kutumika na mabeberu si bure!