Ha ha ha!!!! Wanakipigia kura wewe uwe raisi wa tanzania!!!!Wanapiga kura?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha!!!! Wanakipigia kura wewe uwe raisi wa tanzania!!!!Wanapiga kura?
Mwendazake kaenda. ILA wale wauaji bado wapo na sasa wanajulikanaNini kinachomfanya Lema aendelee kukaa Ulaya?
Walivyokuwa wanakemea kemea kwa magufuli ilikuwa ni siasa za kisasa kwa kipindi kile??Taifa haliwezi kuendeshwa kwa fukuza fukuza ila linaweza kuendeshwa kwa uwepo wa Taasisi zilizo imara zenye kuwajibika
Kukemea kemea ni Siasa za kijinga na za kizamani
KabisaaaUhai wa mti ni mizizi yake na sio majani yake
Kama serikali iliyopo madarakani mizizi yake ni dhaifu tegemea uhai na uimara wa huo mti utakuwa mashakani
Tunaweka tegemeo kwenye mizizi dhaifu na tunajaribu kuficha ukweli
Kwa kweli huu ni unafiki, namna Rais wa awamu ya tano alivyokosolewa kwenye utendaji wake na hivyo hivyo tusiyafumbie macho hizi changamoto tunazokumbana nazo kwenye hii awamu ya sita.
Lakini umekumbuka? Au ndo umetia pamba masikioni!?Ebu ondoa taka zako
Ukosefu wa Luku, umefurahi sasa?Nini kinachomfanya Lema aendelee kukaa Ulaya?
Anatafuta hela ili akirudi akuoe kabisa anajisikia kutenda dhambi kukutafuna tu kila siku bila ndoa, na wewe jiandae kwenda kwa mume huenda ukatulia.Nini kinachomfanya Lema aendelee kukaa Ulaya?
Magufuli alikuwa anashutumiwa sio kukemewa jifunze ligha kwanzaWalivyokuwa wanakemea kemea kwa magufuli ilikuwa ni siasa za kisasa kwa kipindi kile??
za kishamba aka za wendawazimTaifa haliwezi kuendeshwa kwa fukuza fukuza ila linaweza kuendeshwa kwa uwepo wa Taasisi zilizo imara zenye kuwajibika
Kukemea kemea ni Siasa za kijinga na za kizamani
Yaani wewe huwezi kukemea mpaka uwatafute watu wengine?Kweli tumefikia hatua ya kupanga foleni kununua umeme?
Yaani kwa wakati mmoja mfumo wa TRA unasumbua, mfumo wa bandari unasumbua, mfumo wa LUKU unasumbua na TFF nao wamekula hela za wananchi.
Hapa hutaona Lissu, Lema wala Mbowe wakilaani shughuli za wananchi kusimama na kupanga foleni ya kununua umeme.!!
Subiri uolewe wewe utadanga hadi lini,anakuja Lemma kukutuliza maana kwa siku unamtaja zaidi ya mara kumi,unapenda vibaya wewe dada.Hana malinda huko ulaya, wazungu hawawezi kukulisha bure
Vip Leo kumbe ni haki mtu kama uyu kufungwa mbona kila siku mnapiga kelele mdude chadema aachiwe wakat matusi yake huyu haifikiii hata robo
Wala sikubish kumbe kuua watu ni haki ila tu inategemea uyo alie uliwa yupo Upande Gan?Ulikumbuka kumkumbusha mwendazake kuwa alichokuwa akiwafanyia kina Ben, Azory, Lissu, nk kuwa hakikuwha sawa?
Kumbe mkuki sasa umewageukia binadamu?
Dada tuliza genye,kwani mbowe ndio mtawala....shida ni huyo mumeo kalemani yupo kama taahira flani,anabebwa tu wakti hata uwezo wa kua mtendaji wa kata haweziKweli tumefikia hatua ya kupanga foleni kununua umeme?
Yaani kwa wakati mmoja mfumo wa TRA unasumbua, mfumo wa bandari unasumbua, mfumo wa LUKU unasumbua na TFF nao wamekula hela za wananchi.
Hapa hutaona Lissu, Lema wala Mbowe wakilaani shughuli za wananchi kusimama na kupanga foleni ya kununua umeme.!!
Mbowe amekemea jamaa kujengewa kaburi kwenye banda la kufungiwa kukuMbona kwenye madini alikemea akasema tutashitakiwa MIGA?
Team magu at last watakuwa na hao ni suala LA MudaEti leo pro Magufuli mnataka sapot ya Mbowe na Lema mliowafunga gerezani na Liaau mliyempiga risasi