Mbowe, Lema, Lissu kwanini hamkemei yanayoendelea nchini?

Mbowe, Lema, Lissu kwanini hamkemei yanayoendelea nchini?

Foleni za vitambulisho vya NIDA mbona hamsemi? Korosho je? All in all Samia hawezi kupendwa na watu wa Dikteta, kafumuafumua ujinga wote kwa less than 60 days sasa mmekasirika.
 
Team Legacy ya mwenda zake..

Ila mtoa Post unaugua Posttraumatic stress disorder au Obsessive compulsive disorder...

Kuna kitu CHADEMA walikufanyia.. kina kuuma mpaka leo..
Atakua jambazi aliyekatwa mkia toka hai district office
 
Foleni za vitambulisho vya NIDA mbona hamsemi? Korosho je? All in all Samia hawezi kupendwa na watu wa Dikteta, kafumuafumua ujinga wote kwa less than 60 days sasa mmekasirika.
Wakemee yote hayo
 
Ila Mama awe mkali.La sivyo kutakua na genge la watu watakaojaribu kufanya kila njia kumkwamisha.Aache upole upole uliopitiliza .Oooohooo!!!
Udikiteta peleka kwa marehemu huko chato
 
Kweli tumefikia hatua ya kupanga foleni kununua umeme?

Yaani kwa wakati mmoja mfumo wa TRA unasumbua, mfumo wa bandari unasumbua, mfumo wa LUKU unasumbua na TFF nao wamekula hela za wananchi.

Hapa hutaona Lissu, Lema wala Mbowe wakilaani shughuli za wananchi kusimama na kupanga foleni ya kununua umeme!
Mwambie paulo makonda na polepole wakemee
 
Hii ndio furaha ya upinzani, kuona serikali ina haribu na kufeli maana kwao ndio points za ushindi hizo.
Wewe jamaa huna hoja za msingi kwenye masuala kama haya, nakushauri ujikite zaidi kwenye lile eneo lako ulilobobea la kukandia dada zetu
 
Taifa haliwezi kuendeshwa kwa fukuza fukuza ila linaweza kuendeshwa kwa uwepo wa Taasisi zilizo imara zenye kuwajibika

Kukemea kemea ni Siasa za kijinga na za kizamani
Lazima uwe umeishi kwenye civilized society kuweze kuwa na mawazo kama yako
 
Wewe jamaa huna hoja za msingi kwenye masuala kama haya, nakushauri ujikite zaidi kwenye lile eneo lako ulilobobea la kukandia dada zetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa nimekosea wapi lakini mbona nilichoandika ni sahihi kabisa.

Kwahiyo mkuu wangu unataka kusema nchi yoyote ukienda upinzani wanafurahia pale wanapoona serikali iliyopo madarakani inapatia maamuzi yake na wananchi wanaridhika kabisa.....

Mkuu acha kuninyima haki yangu ya kikatiba ya kutoa maoni huru. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa nimekosea wapi lakini mbona nilichoandika ni sahihi kabisa.

Kwahiyo mkuu wangu unataka kusema nchi yoyote ukienda upinzani wanafurahia pale wanapoona serikali iliyopo madarakani inapatia maamuzi yake na wananchi wanaridhika kabisa.....

Mkuu acha kuninyima haki yangu ya kikatiba ya kutoa maoni huru. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe umeishi ngapi hadi sasa?
 
Wewe acha wacheze 2025 wakija kwetu tutawambia hamukupaza sauti wakati tunakosa huduma za msingi kama Umeme N.K
 
Naona umesahau la simba kuonekana vikindu badala ya kubaki mbugani,bado watajwa wamekaa kimya.
 
Kweli tumefikia hatua ya kupanga foleni kununua umeme?

Yaani kwa wakati mmoja mfumo wa TRA unasumbua, mfumo wa bandari unasumbua, mfumo wa LUKU unasumbua na TFF nao wamekula hela za wananchi.

Hapa hutaona Lissu, Lema wala Mbowe wakilaani shughuli za wananchi kusimama na kupanga foleni ya kununua umeme!

Kwa wenye akili wanajua kabisa kuwa, hicho unacho kitaka kikemewe kinafanywa makusudi na mfumo ulio ndani ya mfumo ili utawala wa mama uonekane dhaifu, na ili wananchi waseme "mwendazake kaondoka, mambo yanaharibika".

hii yote ya kumjaribu mama ni ili wale chawa na mchwa wanao itafuna nchi kwa mgongo wa uzalendo, wasiondolewe au kupangiwa kazi zingine, kana kwamba kuwaondoa wao ni kuondoa legacy ya mwendazake..

Hao unahitaji wakemee hujuma kwa mama, walikemea mengi ya msingi, ikiwapo kuonya na kushauri wakaitwa wasaliti, sio wazalendo, wakaitwa vibaraka wa mabeberu nk..

Kenya wapo mbele wanaangalia utaifa kwanza kiuchumi, huku tunajadili watu kiunafik ili kulinda matumbo yetu tu.
 
Kwa wenye akili wanajua kabisa kuwa, hicho unacho kitaka kikemewe kinafanywa makusudi na mfumo ulio ndani ya mfumo ili utawala wa mama uonekane dhaifu, na ili wananchi waseme "mwendazake kaondoka, mambo yanaharibika".

hii yote ya kumjaribu mama ni ili wale chawa na mchwa wanao itafuna nchi kwa mgongo wa uzalendo, wasiondolewe au kupangiwa kazi zingine, kana kwamba kuwaondoa wao ni kuondoa legacy ya mwendazake..

Hao unahitaji wakemee hujuma kwa mama, walikemea mengi ya msingi, ikiwapo kuonya na kushauri wakaitwa wasaliti, sio wazalendo, wakaitwa vibaraka wa mabeberu nk..

Kenya wapo mbele wanaangalia utaifa kwanza kiuchumi, huku tunajadili watu kiunafik ili kulinda matumbo yetu tu.
Samia mwenyewe ni masalia ya JPM.

Bila kutajwa na JPM asingekuwa hapo alipo.

Hao masalia wanaoharibu utawala wa mama ni akina nani?
 
Back
Top Bottom