Muda wa mabadiliko umefika. Mbowe ache ujinga wa udikteta. Mbowe must go.Mbowe ameyasema hayo wakati akihojiwa na Salim Kikeke katika kipindi cha Kasri kinachorushwa na CrownFM
Mbowe amesema kwamba Lissu anashiriki vikao vyote vya chama lakini hajawahi kuwasilisha hoja katika vikao ya kuomba wajadili kuondoa ukomo wa uongozi
Huu wako udini, muislam Hana haki ya kutoa maoni humu? Kabendera sheikh wa wapi?Sheikh naona umeamua hasa kudeal na kafiri yeyote aliye mbele yako, ahahahaa...!
Ilitaka mcheza bao ndio arekebishe.Mwanasheria mkuu ndio anarekebisha katiba?
Chadema ni Wahuni sana 😂😂😂
Chadema na Dr Shoo mnafanana sana Kikatiba 😂😂Ilitaka mcheza bao ndio arekebishe.
Tatizo lako unakimbia hoja kijanja.Chadema na Dr Shoo mnafanana sana Kikatiba 😂😂
Hili swala la kuondoa ukomo, wa uongozi, Lisu alilifafanua vzr tu, wakati chama bado kichanga! Chama hakina watu, wanajitokeza wachache, then unawapa kigezo cha ukomo, ilikuwa simple logic tu, sasa hv chama kimekuwa, ukomo lazima urudishwe, sasa Mbowe kujifanya hamnazo kwamba haelewi hiki kitu, ni utapeli, aacha spinning, kutaka kuwaaminisha watu kuwa Lisu hakutaka ukomo wa uongozi, kwa vile ni mrafi wa madaraka! So stupidMbowe ameyasema hayo wakati akihojiwa na Salim Kikeke katika kipindi cha Kasri kinachorushwa na CrownFM
Mbowe amesema kwamba Lissu anashiriki vikao vyote vya chama lakini hajawahi kuwasilisha hoja katika vikao ya kuomba wajadili kuondoa ukomo wa uongozi
Dr kajiongezea miaka 6 ya uaskofu kupitia mwanasheria mkuu wa dayosisi 🐼Tatizo lako unakimbia hoja kijanja.
Mpiga kura wa lissu au maria space team? Naona unatoka mapovuHili swala la kuondoa ukomo, wa uongozi, Lisu alilifafanua vzr tu, wakati chama bado kichanga! Chama hakina watu, wanajitokeza wachache, then unawapa kigezo cha ukomo, ilikuwa simple logic tu, sasa hv chama kimekuwa, ukomo lazima urudishwe, sasa Mbowe kujifanya hamnazo kwamba haelewi hiki kitu, ni utapeli, aacha spinning, kutaka kuwaaminisha watu kuwa Lisu hakutaka ukomo wa uongozi, kwa vile ni mrafi wa madaraka! So stupid
Wote tumemsikiliza Mbowe vizuri, hakuna sehemu amesema Lisu aligoma kuweka ukomo wa madaraka bali alishiriki kuandaa katiba iliyoondoa ukomo wa madaraka.Hili swala la kuondoa ukomo, wa uongozi, Lisu alilifafanua vzr tu, wakati chama bado kichanga! Chama hakina watu, wanajitokeza wachache, then unawapa kigezo cha ukomo, ilikuwa simple logic tu, sasa hv chama kimekuwa, ukomo lazima urudishwe, sasa Mbowe kujifanya hamnazo kwamba haelewi hiki kitu, ni utapeli, aacha spinning, kutaka kuwaaminisha watu kuwa Lisu hakutaka ukomo wa uongozi, kwa vile ni mrafi wa madaraka! So stupid
Mwenyekiti ndiye hurekebisha katiba? Chama ni wanachama… kwanini Lissu hakuwahi peleka hiyo hoja ili iungwe mkono au laa?Mwanasheria mkuu ndio anarekebisha katiba?
Chadema ni Wahuni sana 😂😂😂
Rudia kusoma tena.Mwanasheria mkuu ndio anarekebisha katiba?
Chadema ni Wahuni sana 😂😂😂
CCM inatumika kwa Mbowe na pia kwa Lissu kupitia Msigwa safari hii mmepatikana. CCM babu kubwaMwenyekiti ndiye hurekebisha katiba? Chama ni wanachama… kwanini Lissu hakuwahi peleka hiyo hoja ili iungwe mkono au laa?
Lissu ana agenda zake na muda ni hakimu wa yote tupo hapa siku moja tutasimuliana jinsi gani samia anamtumia Msigwa kuivuruga CHADEMA!
Chadema bado hakijakomaaHili swala la kuondoa ukomo, wa uongozi, Lisu alilifafanua vzr tu, wakati chama bado kichanga! Chama hakina watu, wanajitokeza wachache, then unawapa kigezo cha ukomo, ilikuwa simple logic tu, sasa hv chama kimekuwa, ukomo lazima urudishwe, sasa Mbowe kujifanya hamnazo kwamba haelewi hiki kitu, ni utapeli, aacha spinning, kutaka kuwaaminisha watu kuwa Lisu hakutaka ukomo wa uongozi, kwa vile ni mrafi wa madaraka! So stupid