Mwanasheria mkuu ndio anarekebisha katiba?
Chadema ni Wahuni sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenye akili finyu ataamini mchezo unaochezwa na CCM!!cc
CCM inatumika kwa Mbowe na pia kwa Lissu kupitia Msigwa safari hii mmepatikana. CCM babu kubwa
Mbona Lissu naye anapiga kelele badala ya kusubiri uchaguzi kwani huoni?πMbowe asubiri sanduku la kura kelele za nini
Must Go Go GoMuda wa mabadiliko umefika. Mbowe ache ujinga wa udikteta. Mbowe must go.
Ila tuseme ukwl Lissu hafai kuwa kiongozi mkuu, amekaa kitoto sana. Halafu ni mnafki, siyo mkweli wala hana msimamo.Mbowe ameyasema hayo wakati akihojiwa na Salim Kikeke katika kipindi cha Kasri kinachorushwa na CrownFM
Mbowe amesema kwamba Lissu anashiriki vikao vyote vya chama lakini hajawahi kuwasilisha hoja katika vikao ya kuomba wajadili kuondoa ukomo wa uongozi
Mchaga na ulaji ni km nzi na kidondaDr kajiongezea miaka 6 ya uaskofu kupitia mwanasheria mkuu wa dayosisi πΌ
Sahihidho: Mbowe ni mhuni sanaMwanasheria mkuu ndio anarekebisha katiba?
Chadema ni Wahuni sana πππ
Malaria sugu imeshapanda utosini hiyoHuu wako udini, muislam Hana haki ya kutoa maoni humu? Kabendera sheikh wa wapi?
Mbowe ameyasema hayo wakati akihojiwa na Salim Kikeke katika kipindi cha Kasri kinachorushwa na CrownFM
Mbowe amesema kwamba Lissu anashiriki vikao vyote vya chama lakini hajawahi kuwasilisha hoja katika vikao ya kuomba wajadili kuondoa ukomo wa uongozi
Tatizo ni kwamba Lissu anaaminisha watu kuwa Mbowe ndiye anayeng'ang'aniza kutokuwapo ukomo wa madaraka, wakati kama kweli ni tatizo, yeye Lissu ndio amelitengenezaHili swala la kuondoa ukomo, wa uongozi, Lisu alilifafanua vzr tu, wakati chama bado kichanga! Chama hakina watu, wanajitokeza wachache, then unawapa kigezo cha ukomo, ilikuwa simple logic tu, sasa hv chama kimekuwa, ukomo lazima urudishwe, sasa Mbowe kujifanya hamnazo kwamba haelewi hiki kitu, ni utapeli, aacha spinning, kutaka kuwaaminisha watu kuwa Lisu hakutaka ukomo wa uongozi, kwa vile ni mrafi wa madaraka! So stupid
Ungekuwa unajua wanaopiga kura ni akina nani, pengine ungetambua Mbowe yupo comfortable zaidi kwenye kura kuliko nje huku kwenye hakuna wapiga kuraMbowe asubiri sanduku la kura kelele za nini
Ungesikiliza mahojiano na si kuweka neno kwenye tafsiri ya mahojiano ya mtu mwingine. Mbowe amesema Katiba imeweka utaratibu wa kufuata ili kufanya mabadiliko ya Katiba, na mtu akiwa na hoja anatumia huo utaratibu, na kisha wajumbe wanaupitisha kama wakiona unakidhi mahitaji. Kuhusu katiba yao, Mbowe anasema ni Lissu mwenyewe aliyeiweka kisheria, lakini leo zigo zima anasukumiwa yeye peke yake as if Lissu anayetoa tuhuma mbalimbali hakushiriki kuitunga. Ninavyo mimi, mambo yote kasukimiwa Mbowe, maana ni rahisi Kwa baadhi ya watu kupanda juu Kwa kukanyaga mabega ya wenzao. Mfano, Lissu amekuwa akimsukumia Mbowe kuhusu maridhiano na tuzo ya Samia. Hebu sikiliza mwenyewe Lissu alisema nini kuhusu vyote viwili:Mwanasheria mkuu ndio anarekebisha katiba?
Chadema ni Wahuni sana πππ
Lissu hajawahi kusema kuwa hakushiriki katika kuwe ukomo wa madaraka. Kinyume chake amekiri kushiriki na kama mwanasheria mkuu wa chama sehemu yake ilikuwa kubwa.Tulisema sana miaka ile tulionekana wasalititi.
Lissu ameshiriki kuliweka jini kwenye chupa na sasa anahangaika kulitoa.
Mwanasheria Mkuu ndiye anatoa ushauri wa kisheria na kikatiba, hivyo yeye kama mwanasheria Mkuu ndiye aliyeshauri kuondolewa kwa ukomo wa madarakaMwanasheria mkuu ndio anarekebisha katiba?
Chadema ni Wahuni sana πππ
Lissu alishaeleza wazi kuwa kutokuwa na ukomo wa madaraka au uongozi ilikuwa mahitaji ya wakati, lakini sasa wakati huu chama kimekua hivyo akipata nafasi atashauri ukomo wa uongozi uondolewe.Mbowe ameyasema hayo wakati akihojiwa na Salim Kikeke katika kipindi cha Kasri kinachorushwa na CrownFM
Mbowe amesema kwamba Lissu anashiriki vikao vyote vya chama lakini hajawahi kuwasilisha hoja katika vikao ya kuomba wajadili kuondoa ukomo wa uongozi
Nimeona hayo mazungumzo, Mbowe anaongea taratibu sana lakini kwa UCHUNGU endapo Mbowe atapita sio nafasi ya Lissu Chadema.Lissu hajawahi kusema kuwa hakushiriki katika kuwe ukomo wa madaraka. Kinyume chake amekiri kushiriki na kama mwanasheria mkuu wa chama sehemu yake ilikuwa kubwa.
Alichokisema Lissu ni kwamba wakati wa kuuondoa ukomo wa madara sasa umewadia baada ya chama kujengeka na kuimarika kuwa chama kikuu cha uponzani.
Mimi namuunga Lissu mkono katika hoja hii. Wewe pia ukielewa hoja yake, tafakari na chukua hatua.
Sio Mbowe wala Lisu waliopitisha hilo bali lilikuwa wazo la CDM wote. Kumsema Mbowe hataki kuwe na ukomo wa madaraka na wanaleta hoja karibu na uchaguzi wanakurupuka sana. Je CDM ikiunda serikali itakuwa inakurupuka hivi kwenye maamuzi? Inafikirisha sana juu ya uwezo wao wa kuongoza nchiTatizo ni kwamba Lissu anaaminisha watu kuwa Mbowe ndiye anayeng'ang'aniza kutokuwapo ukomo wa madaraka, wakati kama kweli ni tatizo, yeye Lissu ndio amelitengeneza