Pre GE2025 Mbowe: Lissu kuhutubia Taifa ni kukosa nidhamu na kufanya kazi isiyo yake

Pre GE2025 Mbowe: Lissu kuhutubia Taifa ni kukosa nidhamu na kufanya kazi isiyo yake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Freeman akihojiwa na Crown FM leo Januari 06, 2025 amesema...

“Unaweza ukanitukana tusi lolote halitanitoa katika focus ninachosema sio kwamba nina uhakika wa ushindi kwa sababu ninakubalika na watu..nani asiyekubalika?”

"Kwa mfano nikupe mfano rahisi nimemsikia majuzi ndugu yangu Makamu wangu(Tundu Lissu) anasema anahutubia taifa, ni Makamu Mwenyekiti (wa CHADEMA Bara) anahutubia taifa ameshakuwa kiongozi wa chama anahutubia taifa ni kukosa nidhamu. Sio Mwenyekiti wa chama soma katiba ya chama imeeleza kazi za Mwenyekiti na kazi za Makamu Mwenyekiti kila mmoja amefafanuliwa kwenye katiba kazi zake ni zipi anazifanyaje kama umeweza kwenda kufanya kazi ambayo si ya kwako.”

“Kama navyosema sio kila wakati kuchukua hatua ndiyo kumrekebisha kiongozi…sio kwamba hatumuelezi na hajui lakini mtu anapoamua kutoka nje ya misingi kwa sababu anafikiri labda yeye ni mkubwa kuliko chama kwamba yeye anaweza akafanya chochote anachotaka muda utaongea. Muda utazungumza ni nani mwenye haki na ukweli utabaki kuwa ukweli.”

Mbowe alipoulizwa kwamba Lissu anafanya kwa umakusudi na yeye Mbowe hachukui hatua labda anahisi ni kwa nini Lissu anafanya hivyo anafanya hivyo Mbowe akajibu “hilo swali ungemuuliza yeye angekusaidia zaidi.”
 
Mbowe anaroho mbaya sana, na to be honest huenda huwa anakawivu fulani hivi dhidi ya Lissu, kwasababu ya Elimu ya Lissu wakati yeye kafeli form four.

Lissu alisema analitangazia taifa nia yake ya kugombania uenyekiti CHADEMA ni kipi alichokosea hapo?!
 
Freeman akihojiwa na Crown FM leo Januari 06, 2025 amesema...

“Unaweza ukanitukana tusi lolote halitanitoa katika focus ninachosema sio kwamba nina uhakika wa ushindi kwa sababu ninakubalika na watu..nani asiyekubalika?”

"Kwa mfano nikupe mfano rahisi nimemsikia majuzi ndugu yangu Makamu wangu(Tundu Lissu) anasema anahutubia taifa, ni Makamu Mwenyekiti (wa CHADEMA Bara) anahutubia taifa ameshakuwa kiongozi wa chama anahutubia taifa ni kukosa nidhamu. Sio Mwenyekiti wa chama soma katiba ya chama imeeleza kazi za Mwenyekiti na kazi za Makamu Mwenyekiti kila mmoja amefafanuliwa kwenye katiba kazi zake ni zipi anazifanyaje kama umeweza kwenda kufanya kazi ambayo si ya kwako.”

“Kama navyosema sio kila wakati kuchukua hatua ndiyo kumrekebisha kiongozi…sio kwamba hatumuelezi na hajui lakini mtu anapoamua kutoka nje ya misingi kwa sababu anafikiri labda yeye ni mkubwa kuliko chama kwamba yeye anaweza akafanya chochote anachotaka muda utaongea. Muda utazungumza ni nani mwenye haki na ukweli utabaki kuwa ukweli.”

Mbowe alipoulizwa kwamba Lissu anafanya kwa umakusudi na yeye Mbowe hachukui hatua labda anahisi ni kwa nini Lissu anafanya hivyo anafanya hivyo Mbowe akajibu “hilo swali ungemuuliza yeye angekusaidia zaidi.”

Chanzo: Jambo Tv
😂😂 kwani hii ni mara ya kwanza Lissu kuhutubia Taifa?
 
Freeman akihojiwa na Crown FM leo Januari 06, 2025 amesema...

“Unaweza ukanitukana tusi lolote halitanitoa katika focus ninachosema sio kwamba nina uhakika wa ushindi kwa sababu ninakubalika na watu..nani asiyekubalika?”

"Kwa mfano nikupe mfano rahisi nimemsikia majuzi ndugu yangu Makamu wangu(Tundu Lissu) anasema anahutubia taifa, ni Makamu Mwenyekiti (wa CHADEMA Bara) anahutubia taifa ameshakuwa kiongozi wa chama anahutubia taifa ni kukosa nidhamu. Sio Mwenyekiti wa chama soma katiba ya chama imeeleza kazi za Mwenyekiti na kazi za Makamu Mwenyekiti kila mmoja amefafanuliwa kwenye katiba kazi zake ni zipi anazifanyaje kama umeweza kwenda kufanya kazi ambayo si ya kwako.”

“Kama navyosema sio kila wakati kuchukua hatua ndiyo kumrekebisha kiongozi…sio kwamba hatumuelezi na hajui lakini mtu anapoamua kutoka nje ya misingi kwa sababu anafikiri labda yeye ni mkubwa kuliko chama kwamba yeye anaweza akafanya chochote anachotaka muda utaongea. Muda utazungumza ni nani mwenye haki na ukweli utabaki kuwa ukweli.”

Mbowe alipoulizwa kwamba Lissu anafanya kwa umakusudi na yeye Mbowe hachukui hatua labda anahisi ni kwa nini Lissu anafanya hivyo anafanya hivyo Mbowe akajibu “hilo swali ungemuuliza yeye angekusaidia zaidi.”

Chanzo: Jambo Tv
Kwani hawa mafahari wawili, vyeo vyao bado vipo hai?

Siyo kwamba vina cease mara tu watangazapo nia, tena ilikuwa mwishoni mwa mwaka jana?

Navyojua, hapo hakuna cha mwenyekiti wala naibu, wote wanasubiri kikaango cha Trh 21, hivyo wasitishane.
 
Mbowe anaroho mbaya sana na to be honestly huenda huwa anakawivu fulani hivi dhidi ya Lissu kwasababu ya Elimu ya Lissu wakati yeye kafeli form four.

Lissu alisema analitangazia taifa nia yake ya kugimbania uenyekiti CHADEMA ni kipi alichokosea hapo?!
Lissu amejaa sifa kichwani, hajui siasa hakuanza yeye, yupo wapi Kassim Hanga?
 
Kuna watu watakuja kusema mbowe ni Ayatollah
Hapa katoa jabu ya hatari! Na sababu za kumtimua Lissu zimeishapatikana! Na ni sababu za Msingi.

Mtu ambaye hajui mipaka ya kazi zake ndiye mmpe Chama mtakuwa mmekwisha! Lissu Alivyoshambulia Uongozi wa Uganda na Rwanda nilijua na nilisema/ andika hapa kuwa amejimaliza; wengi walinishambulia hadharani na wengine kimoyo moyo!
 
Mbowe anaroho mbaya sana na to be honestly huenda huwa anakawivu fulani hivi dhidi ya Lissu kwasababu ya Elimu ya Lissu wakati yeye kafeli form four.

Lissu alisema analitangazia taifa nia yake ya kugimbania uenyekiti CHADEMA ni kipi alichokosea hapo?!
Kaeni kwa kutulia DJ atawaonyesha muujiza mwingine kama alivyo fanya kwa covid 19.

Tuliwaambiaga humu DJ anajua kinacho endelea kuhusu covid 19 mka jaa upepo. Sasa akili zinaanza kuwarudia.

Kunasiku mtamuomba radhi Magu kimyakimya.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Kaeni kwa kutulia DJ atawaonyesha muujiza mwingine kama alivyo fanya kwa covid 19.

Tuliwaambiaga humu DJ anajua kinacho endelea kuhusu covid 19 mka jaa upepo. Sasa akili zinaanza kuwarudia.

Kunasiku mtamuomba radhi Magu kimyakimya.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Lissu utadhani siasa kainza yeye, yupo wapi Kambona?
 
Back
Top Bottom