Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makamanda uchwara akina imhotep wameshachanganyikiwa😁Tukimbwaga naagiza ndafu.
We una malaria 🦟 kweli Tena it's has affected your brain huwezi kuwaza SAWA #Shut up ,tunahitaji majedari kama kina lissu 50 tu Tanzania itakuwa nchi ya asali na maziwa wasio ogopa ukweli na nidhamu za uogaLissu amejaa sifa kichwani, hajui siasa hakuanza yeye, yupo wapi Kassim Hanga?
Hayo ni Mawazo Yako among the Majority ni haki Yako kaa nayo ,but will not affect the fact thus why kwenye demokrasia hawakosi wajinga wasio jua kufanya analysis na wewe ni Mmoja wapoLisu alikua mtu sahihi sana wa kuleta challenge kwa mbowe na kuchukua nafasi hiyo,ila kwa tabia yake ya kuwa kama wakike,beki hazikabi yaani ropo ropo sana imefanya nikaona kwamba hata kama ningekuwa mmoja wa wapiga kura basi lisu asingeipata kura yangu,
Hakuna ukomavu kwa lisu,ameonyesha udhaifu mkubwa sana kwa mberere zake
Sawa mwerevu, punguza jazba na hisiaHayo ni Mawazo Yako among the Majority ni haki Yako kaa nayo ,but will not affect the fact thus why kwenye demokrasia hawakosi wajinga wasio jua kufanya analysis na wewe ni Mmoja wapo
Mpaka msemeee!!! Ha hahahaha aaa!Huna hoja chawa wewe
Hamna cha ndafu wala nini. Mbowe ndio mwenyekiti wa kudumu wa makamanda wote na lazima watamtii😁View attachment 3194473
Siku hiyo ya ushindi wa Lissu na Heche 👆umemuona Mwali?!
Freeman akihojiwa na Crown FM leo Januari 06, 2025 amesema...
“Unaweza ukanitukana tusi lolote halitanitoa katika focus ninachosema sio kwamba nina uhakika wa ushindi kwa sababu ninakubalika na watu..nani asiyekubalika?”
"Kwa mfano nikupe mfano rahisi nimemsikia majuzi ndugu yangu Makamu wangu(Tundu Lissu) anasema anahutubia taifa, ni Makamu Mwenyekiti (wa CHADEMA Bara) anahutubia taifa ameshakuwa kiongozi wa chama anahutubia taifa ni kukosa nidhamu. Sio Mwenyekiti wa chama soma katiba ya chama imeeleza kazi za Mwenyekiti na kazi za Makamu Mwenyekiti kila mmoja amefafanuliwa kwenye katiba kazi zake ni zipi anazifanyaje kama umeweza kwenda kufanya kazi ambayo si ya kwako.”
“Kama navyosema sio kila wakati kuchukua hatua ndiyo kumrekebisha kiongozi…sio kwamba hatumuelezi na hajui lakini mtu anapoamua kutoka nje ya misingi kwa sababu anafikiri labda yeye ni mkubwa kuliko chama kwamba yeye anaweza akafanya chochote anachotaka muda utaongea. Muda utazungumza ni nani mwenye haki na ukweli utabaki kuwa ukweli.”
Mbowe alipoulizwa kwamba Lissu anafanya kwa umakusudi na yeye Mbowe hachukui hatua labda anahisi ni kwa nini Lissu anafanya hivyo anafanya hivyo Mbowe akajibu “hilo swali ungemuuliza yeye angekusaidia zaidi.”
Kumbe una tatizo! Umesahau hiiMbowe anaroho mbaya sana, na to be honest huenda huwa anakawivu fulani hivi dhidi ya Lissu, kwasababu ya Elimu ya Lissu wakati yeye kafeli form four.
Lissu alisema analitangazia taifa nia yake ya kugombania uenyekiti CHADEMA ni kipi alichokosea hapo?!
Huu ni wakati wa kampeni za uchaguzi mambo ya itifaki weka pembeni.Kumbe una tatizo! Umesahau hii
Tundu Lissu kuhutubia Taifa leo 01/01/2025 majira ya saa 6 mchana
Habari ndio hio wadau kwahiyo kaeni mkao wa kula.www.jamiiforums.com
Mh!Huu ni wakati wa kampeni za uchaguzi mambo ya itifaki weka pembeni.
Labda aibe kura au amtegemee mchawi wake yeriko.Hamna cha ndafu wala nini. Mbowe ndio mwenyekiti wa kudumu wa makamanda wote na lazima watamtii😁
Haya, sawa😂Labda aibe kura au amtegemee mchawi wake yeriko.