Pre GE2025 Mbowe: Lissu kuhutubia Taifa ni kukosa nidhamu na kufanya kazi isiyo yake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kadiri Mhe Mbowe anavyozidi kuongea
Ndivyo anavyozidi kuidhihirisha chuki yake dhidi ya Lissu ..

Mwaka huu mlango ni wazi wagombea wa CCM.
Njia nyeupeee ..
 
1. Kwanza hakuna kanuni au kifungu ndani ya miongozo ya CHADEMA inayozuia mwanachadema yeyote kuongea na Watanzania wote.

2. Pili kila mtanzania ana haki ya freedom of speech inayompa haki ya kuongea na Watanzania wote.

3. Tatu, Lissu hakuongea na Watanzania ili kutoa msimamo wowote wa chama bali ameongea ya kwake anayotaka yeye, na wala hakuongea kwa kofia ya makamu mwenyekiti.

4. Mbowe aache kuongea kijumlajumla, aseme ni kanuni gani ya chama Lissu kakosea. Mwanasheria wa chama anaweza.kusaidia ktk hili.

5. Mbowe asitake kuwa mfalme wa chama, kwamba Yeye peke yake ndo mwenye haki ya kuongea waliobaki wans jukumu la kusikiliza tu. Natambua kuwa Mwenyekiti ndiye msemaji mkuu wa chama, hii haimaanishi kuwa eanschadema waliobaki ni mabubu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…