Wapumbavu sana hawa watoto wa CCM, yaani teuzi kwao ni muhimu kuliko kesho yao ambayo ni katiba mpya.Inaonekana ww ni kijana unayebalehe, kama sio basi utakuwa ni mshamba fulani. Maana hivyo viemoj vinaonyesha umri wako.
Badala ya kutoa hoja kama Mbowe alivyofanya, wewe unakimbilia kutukana bila kutoa hoja.Kwa hiyo MBOWE akisema HAPANA ndio anawasemea WATANZANIA WOTE?!!!
Hapana yake ni ya KIJINGA TU.....walisema HAPANA....na hawakutokea pale UBUNGO.....asimbabaishe mtu bana....
#KaziInaendelea
duh, kumbe ulitukamia hivyo!Kavu mzee ili nipate mistari ya kudondoka JeiEfu
Mathalani tungeambiwa hao wote amewatoa kwa huruma yake nani angemuelewa ? Lazima zitumike sababu za kufunika kombe mwanaharamu apite kama hizo za kutokuwa na ushahidi na mfano wa hayo.Acha kuandika ujinga wewe! Eti ametoka kwa huruma ya mama wakati hukumu inasema kwamba hakukuwa na ushahidi wa kumtia hatiani. Kwanini unaandika uongo kiasi hili kama vile wengine hatukusikia hukumu husika? Na nani aliyekudanganya huruma ya mama ndiyo iliwatoa masheikh wa uamsho!? Uwe unasikiliza kwa makini badala ya kuja hapa na kupindisha ukweli husika.
Ishu ya katiba sio nyepesi mzee! Hata wewe kwenye mambo ya kuamua kwenye familia yako lazima kuna jambo utasema hili tusubiri kwanza! Mm naamini atalifanyia kaziUchumi uendelee kujengwa lakini na mambo mengine lazima yaendelee!Tusitoe mwanya wa hivi maana itakuwa kisingizio cha kila Rais akiingia madarakani!
Sasa hivi hakuna katiba mpya, hizo ajira zipi? Na katiba mpya inazuiaje ajira?We unataka uchumi au katiba ...ajira au katiba sie hio katiba kwa africa hua zinanufaisha viongozi wa kisiasa ila ajira na uchumi ndio kitu kikubwa
Huu ujinga mnaoufanya yakianza tena yale yakina Sabaya na Konda boy tusilaumiane maana mnaanza wenyewe kuiweka nchi kwenye tension na taharuki za kipumbavu kabisa..mnapoichokonoa dola mkumbuke pia ina namna yake yakufanya kazi ili kila mtu aishi kwa amani....
Well said.
Hata wewe mkomavu !!.Fanyeni kazi nyinyi, acheni porojo. Uchumi kwanza.
Akili ndogo. kwani raisi ndio jajiMdude Nyagali ametoka RUMANDE kwa huruma ya mh. Rais Samia Suluhu Hassan......
Masheikh wa UAMSHO wanakula biriani mtaani kwa sababu ya huruma ya mh. Rais Samia Suluhu Hassan...
Kumbuka : kauli ya mbowe ndio dira ya nchiKwa hiyo MBOWE akisema HAPANA ndio anawasemea WATANZANIA WOTE?!!!
Hapana yake ni ya KIJINGA TU.....walisema HAPANA....na hawakutokea pale UBUNGO.....asimbabaishe mtu bana....
#KaziInaendelea